Hizo ndio hoja zenu za kuwaza magereza.ponda anakamatwa anapelekwa zanzibar
kuna mkataba wa kubadilishana .Ponda ajiandae kwenda gereza zanzibar
Waliomtuma/kinachomsukuma wala sio Zanzibar, kinachotafutwa ni base ya kupenetrate East Africa, Kenya kuna resistance, Uganda sio easy na Bara ni Moto.. so the easy touch ni huko Zenj, na once wako hapo Bara iko puani...But guess what!?..The Republic is standing Firm na hakuna Compromise.SHEHE Ponda sio mzanzibarI akamatwe UPESI akaungane na mashehe wenzie ndani. Zanzibar ni nchi kamili na huru.Hawezi fanya Tanzania bara eneo lake la kuishambulia nchi ya zanzibar .AKAMATWE UPESI
Wote warundi
Sentensi moja lakini ina maelezo zaidi ya kitabu cha jasusi cha Yericko Nyerere.ili Zanzibar kinuke lazima vyombo vya dola viwe busy huku bara, kazi kwenu watanganyika sasa
Hao si ni mabeberu mkuuWewe mbona ulikuwa unataka US na Iran wapigane?
Katibu mkuu wa Jumuiya za Kiislamu Tanzania sheikh Issa Ponda amedai kuwa kuna wazanzibar wengi hawajaandikishwa kwenye daftari la wapiga kura kinyume cha utaratibu.
Ponda amesema kwa Siasa zinazoendelea Zanzibar kwa sasa ni wazi kabisa kama amani itavunjika wakati wa uchaguzi basi mlango wake utakuwa ni huko Zanzibar.
Sheikh Ponda amesema hayo katika mahojiano yaliyorushwa mubashara na Star tv katika kipindi cha Tuongee Asubuhi mada ikiwa Amani wakati wa Uchaguzi.
Maendeleo hayana vyama!
Una akili timamu ?SHEHE Ponda sio mzanzibarI akamatwe UPESI akaungane na mashehe wenzie ndani. Zanzibar ni nchi kamili na huru.Hawezi fanya Tanzania bara eneo lake la kuishambulia nchi ya zanzibar .AKAMATWE UPESI
Katibu mkuu wa Jumuiya za Kiislamu Tanzania sheikh Issa Ponda amedai kuwa kuna wazanzibar wengi hawajaandikishwa kwenye daftari la wapiga kura kinyume cha utaratibu.
Ponda amesema kwa Siasa zinazoendelea Zanzibar kwa sasa ni wazi kabisa kama amani itavunjika wakati wa uchaguzi basi mlango wake utakuwa ni huko Zanzibar.
Sheikh Ponda amesema hayo katika mahojiano yaliyorushwa mubashara na Star tv katika kipindi cha Tuongee Asubuhi mada ikiwa Amani wakati wa Uchaguzi.
Maendeleo hayana vyama!
Eti we nawe ni mlokole,mfuasi wa Yesu Kristo. Wewe na wapuuzi wenzio ndo mnafanya watu wasite kumpokea Yesu maishani mwao.SHEHE Ponda sio mzanzibarI akamatwe UPESI akaungane na mashehe wenzie ndani. Zanzibar ni nchi kamili na huru.Hawezi fanya Tanzania bara eneo lake la kuishambulia nchi ya zanzibar .AKAMATWE UPESI
Nchi za nje huko Zanzibar. Sawa na zile Mali mali huko.SHEHE Ponda sio mzanzibarI akamatwe UPESI akaungane na mashehe wenzie ndani. Zanzibar ni nchi kamili na huru.Hawezi fanya Tanzania bara eneo lake la kuishambulia nchi ya zanzibar .AKAMATWE UPESI
Umepatia sana....wabara kama Shehe Ponda, Zito Kabwe na nk. wanaumia kuona Zanzibar inatulia/ama inadhibitiwa vyema na serikali ya muungano.....wanatamani Zanzibar ishindikane (pachafuke) na muungano uvunjike ili liwe chako lao (kituo chao) cha kufanyia mashambulizi dhidi ya bara (ya udini, siasa chafu na nk.)Waliomtuma/kinachomsukuma wala sio Zanzibar, kinachotafutwa ni base ya kupenetrate East Africa, Kenya kuna resistance, Uganda sio easy na Bara ni Moto.. so the easy touch ni huko Zenj, na once wako hapo Bara iko puani...But guess what!?..The Republic is standing Firm na hakuna Compromise.
Ndiko CCM inavyotaka vita vitokee
CCM bila Polisi ni weupe kama karatasj- Freeman Aikael Mbowe, (2005)SHEHE Ponda sio mzanzibarI akamatwe UPESI akaungane na mashehe wenzie ndani. Zanzibar ni nchi kamili na huru.Hawezi fanya Tanzania bara eneo lake la kuishambulia nchi ya zanzibar .AKAMATWE UPESI
Vita ya Syria ilianza kwa kijana mdogo tu. Siku ukweli ukidhihiri hakuna Tanganyika wala Zanzibar kitawaka tu chenyeweKwa kitendo cha kufanya mahojiano na huyo mchochezi sugu, Star tv wanapaswa kunyangwanywa leseni
TCRA /& Wizara ya Habari na Mawaliano shughulikia hiyo
Mahakama ilikosea sana kumwachilia huyo mtu na Dola inazidi kukosea kwa kumwachilia kuendelea kuwepo uraianiAwe makini atarudishwa tena lupango shauri yake
Kwahiyo kumbe wapinzani siyo watanzania?!Sema itaheshimu vyema pinzani sio watanzania usisema kwa ujumla japo hata Mimi siipendi
Sent using Jamii Forums mobile app