Duuuh, 🙄
Majini ni ndugu zetu yarab hasa wale walio wema wanaomcha Allah.Majini tena? Au ndo majini mazuri ya kukuletea mihela?
yaani kuna majini wema? na kuna majini hawataenda motoni? na moto haukuumbiwa majini? kwamba hata hapo walipo wapo majini? wanaswali pamoja nao? Mungu awasaidie. Mungu mtakatifu hawezi kuchangamana na majini. mungu rafiki wa majini ni shetani sio Mungu, fungukeni macho, mmepoteza mchana kweupe.Habari wadau.
Sheikh Rusaganya anasema Makkah kuna msikiti wa majini.
Je, ni mkweli ama muongo?
View: https://m.youtube.com/watch?v=jPi5CicFiyk
yaani kuna majini yanamcha alllah? ndio maana huwa tunasema mungu wenu ni tofauti na Mungu wetu. allah sio Mungu. ni kitu kingine kabisa.Majini ni ndugu zetu yarab hasa wale walio wema wanaomcha Allah.
ninachofurai ni kwamba, majini yote hayo ukitaja Jina la Yesu Kristo, yanatimua mbio. hapo ndipo utajua nuru na giza.Inawezekana kabisa
Mbona china wamejenga mpaka hoteli majini..
Sembuse makkah hapo..
Na kuna kiwanja cha tenes hapo hapo makkah nazani ni cha majini.
Kipo ndani ya maji kabisa
Vipi kuhusu wale mapepo walio muita Yesu " wewe ni mwana wa Mungu" tofauti yao na wakristu ni ipi? Maana hata wakristu wana amini Yesu ni mwana wa Munguyaani kuna majini yanamcha alllah? ndio maana huwa tunasema mungu wenu ni tofauti na Mungu wetu. allah sio Mungu. ni kitu kingine kabisa.
uyu shehe kwao anasema ni Kigoma.Sheikh Mohamed Iddi lazima atajibu hii kutolea ufafanuzi
Una miaka mingapi Afsa?! Umewahi kuonana nayo ukalitaja hilo jina la yesu wakakimbia?!ninachofurai ni kwamba, majini yote hayo ukitaja Jina la Yesu Kristo, yanatimua mbio. hapo ndipo utajua nuru na giza.
mapepo yale Yesu aliyatreat kama mashetani na aliyafukuza toka kwa yule mtu. majini na aina zote za mashetani ni machafu na sio mazuri, shetani haji ila kuua kuchinja na kuharibu ndivyo Yesu alivyosema. na Yesu aliyakemea na kuyafukuza ili yasiendelee kumdhuru mtu yule, Yesu hakuyaonea huruma na hakuchangamana nayo kuyaona kama ni mema.Vipi kuhusu wale mapepo walio muita Yesu " wewe ni mwana wa Mungu" tofauti yao na wakristu ni ipi? Maana hata wakristu wana amini Yesu ni mwana wa Mungu
hata wewe kama ni jini, wewe ni shetani tu, na huna Nguvu mbele ya Jina la Yesu. hilo unalijua.Una miaka mingapi Afsa?! Umewahi kuonana nayo ukalitaja hilo jina la yesu wakakimbia?!
Wachana na drama za kina Lusekelo na wapuuzi wanaojiita mitume
na wewe unaamini kuna majini wazuri na wana azini?Una miaka mingapi Afsa?! Umewahi kuonana nayo ukalitaja hilo jina la yesu wakakimbia?!
Wachana na drama za kina Lusekelo na wapuuzi wanaojiita mitume