Sheikh Rusaganya anasema Makkah kuna msikiti wa Majini, je ni mkweli ama ni muongo?

Sheikh Rusaganya anasema Makkah kuna msikiti wa Majini, je ni mkweli ama ni muongo?

Shida ni kwamba mtu huuliza swali kwa kejeli, na huwa ashaanda jibu analolitaka yeye, ukipa jibu sahihi huwa halitaki na wala yeye hana elimu juu ya hilo jambo. Pia na ukimuuliza yeye hawezi jibu swali lako.
inahitajika elimu kubwa kumuelimisha mtu kama huyo mkuu
 
Waislam na Wakristo mmeshindwa kabisa kuelewa Majinni ni nini. Mnafikiri labda ni kitu cha ajabu sana.


Mbona hata hapa JF 90% tu majinni. Tunaonana hapa? unajuwana hapa? Labda 10% ya member wa JF ndiyo wanajuwana, wengine wote ni majinni tu.
 
Ngoja waislam wa JF waje watufafanunulie
Elimu zenu nyinyi ni finyu sana tofauti na waislamu.wanajua habari za viumbe wengi wa Mwenyezi Mungu wanaoonekana na wasioonekana.Wanajua habari za mbinguni na hata akhera.
Hadithi yenu kubwa ni kibanzi na boriti jichoni.Hata kutawadha na kunawa mikono hamkujua mpaka ilipokuja corona.
 
Hizi dini tunapigwa dah kwahyo kuna majini wema😂😂😂
 
Elimu zenu nyinyi ni finyu sana tofauti na waislamu.wanajua habari za viumbe wengi wa Mwenyezi Mungu wanaoonekana na wasioonekana.Wanajua habari za mbinguni na hata akhera.
Hadithi yenu kubwa ni kibanzi na boriti jichoni.Hata kutawadha na kunawa mikono hamkujua mpaka ilipokuja corona.
Nyie si mnajua mpaka mnajitia kidole ili mtawaze vizuri 😂
 
mapepo yale Yesu aliyatreat kama mashetani na aliyafukuza toka kwa yule mtu. majini na aina zote za mashetani ni machafu na sio mazuri, shetani haji ila kuua kuchinja na kuharibu ndivyo Yesu alivyosema. na Yesu aliyakemea na kuyafukuza ili yasiendelee kumdhuru mtu yule, Yesu hakuyaonea huruma na hakuchangamana nayo kuyaona kama ni mema.
Kwani huyo yesu wenu na shetani nani mwenye nguvu? Inaonesha wanaogopana na kuwindana kama Al ahy na Simba . IPO siku wakikutana ndani ya 18 watatwangana ngumu kugombea watu.
 
Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo, Mungu wa Israel asiyechangamana na majini/mashetani. sio mungu Baal anayeendekeza ushirikina wa majini.
Sisis mumgubwetubndie aliumba kila kitu. Eg Mbingu, Ardhi, Majini, Binaadamu, Malaika, Ndege warukao nk. Kwa kua wenu hakuumba majini, sisi wetu tunampenda tuachieni wenyewe, kwani ninyi anawauma nini?
 
Majini tena? Au ndo majini mazuri ya kukuletea mihela?
Screenshot_20231021-105558.png


Nimeota Jana naokota sarafu za zamani hata sizijui nikaona ngoja ni-google, watu wa mnyaazi Mungu wananielekeza hivyo

Jana nilipokea hela kimaajabu nikapotezea tu, usiku nalala naona naokota masarafu kibao kibao hata siyajui ya Nchi gani yaan hayaeleweki nikashtuka nikasema emu kwanza nikuulize Google una majibu ndio nikaletewa hio hapo naambiwa nitakua na Pesa mfululizo yaani nyingi sana, waeslamu kuna ukweli wowote hapo au nemeengezwa Chaka la majini?
FaizaFoxy
The Boss
THE BIG SHOW
 
ninachofurai ni kwamba, majini yote hayo ukitaja Jina la Yesu Kristo, yanatimua mbio. hapo ndipo utajua nuru na giza.
Sio kweli, wala usijidanganye, unajua chimbuko, la neno , IESU. Ikapelekea mpaka kutwa yesu na siri zake!
 
Waislam na Wakristo mmeshindwa kabisa kuelewa Majinni ni nini. Mnafikiri labda ni kitu cha ajabu sana.


Mbona hata hapa JF 90% tu majinni. Tunaonana hapa? unajuwana hapa? Labda 10% ya member wa JF ndiyo wanajuwana, wengine wote ni majinni tu.
dada naomba uniunganishe na jinni mmoja pisi kali,,,ntakupa maokoto!!!....lakini sitaki lilitokea nloganzira!!
 
Wajinga ndiyo waliwao.

Soma.
Baada ya kuusoma ujumbe huu nimewaza mengi sana. Yawezekana ndugu zetu wanafukuana sana na hawasemi kufikia mpaka hatua ya kulivalia njuga hili suala, mpaka kuanza kuendesha kampeni kwa njia ya jumbe fupi za maneno.



Mjumbe huu nilipokewa kutoka kwa mdada jina linaanza na Z.. nanukuu

"Ukiwa kama mwislam mwenzangu leo hiii nakuhusia na kuihusia nafsi yangu kuto kujaribu kuwa miongoni mwa kuingilia mtu kinyume na maumbile (UFIRAJI)

KWANI SISI SOTE TUNAJUA ADHABU YA ATAKAYE FANYA HIVYO NI KUULIWA

SASA SIJUI WEWE MWENZANGU KAMA UNAFANYA HIVYO UTAKUWA MGENI WA NANI HAPO AKHERA KAMA KWA DUNIANI TUU ADHABU NI YA KIFO 😭

TUKUMBUKE PIA HAUTAFUFULIWA NA UMMA WA MUHAMMAD BALI NA ULE UMMA ULIO ANGAMIA😔
BADILIKAA SASA BADO WAKATI UNAO

KAMA HUAMINI NGOJEA UFE 😒

Mtumie na muislam mwenzio unae mpenda ili ajirekebishe / asiingie katika mkumbo huo

na bold tena
Mtumie na muislam mwenzio unae mpenda ili ajirekebishe / asiingie katika mkumbo huo

Mwisho wa nukuu

Waislam wanafukuana na amsemi

Screenshot_20231021-113820.png


C&P Sa 7 mchana
 
Wajinga ndiyo waliwao.

Soma.
nimewasoma sana kupitia "suratul jinn",,,,kikuweli hawa viumbe wamenitesa mno,,,kuna kipindi nilikuwa namwota mwanadada mweupeeeeeeeeeeeeeeeeee alaf nampiga mabao,,,ilikuwa mechi tamu sana,,,kuna kipindi nilikuwa naota alaf naongea kiarabu"kaswida!!!" kwa jina la mwenyezi MUNGU ,,mtaani kwetu wananiita mchawi kwani kila anaeletea matatizo anapatikana na mabalaa!!!''''''.................hapa nilipo nipo mwaka wa tatau mke kanondika,,,,kuna wakati naskia haruf ya ubani mtaani,,,,,,yaani naishi maish ya shida sana!!..........dada ata wewe nakuotaga tunafanya mapenzi!!
 
Kwani unajua nn kuhsu majini🤣🤣?

Kwa hiyo majini sio viumbe wa Mungu? Nan kawaumba?
 
Back
Top Bottom