Sheikh Rusaganya anasema Makkah kuna msikiti wa Majini, je ni mkweli ama ni muongo?

Sheikh Rusaganya anasema Makkah kuna msikiti wa Majini, je ni mkweli ama ni muongo?

mapepo yale Yesu aliyatreat kama mashetani na aliyafukuza toka kwa yule mtu. majini na aina zote za mashetani ni machafu na sio mazuri, shetani haji ila kuua kuchinja na kuharibu ndivyo Yesu alivyosema. na Yesu aliyakemea na kuyafukuza ili yasiendelee kumdhuru mtu yule, Yesu hakuyaonea huruma na hakuchangamana nayo kuyaona kama ni mema.
Vipi Yesu alipo kufa alienda kuzimu kufanya nini? Bible inasema alienda kuzihubiria injili roho za kuzimu . Ni zipo hizo roho za kuzimu? Sio majini?
 
Habari wadau.

Sheikh Rusaganya anasema Makkah kuna msikiti wa majini.

Je, ni mkweli ama muongo?


View: https://m.youtube.com/watch?v=jPi5CicFiyk

Vipi mkuu, una la kwako moyoni nin?
Mbona kama unasema wewe!!! Yeye kasema kuna msikiti, ila alipoenda kusali/kudhuru aliona mambo ya ajabu. Akimaanisha walikuwemo wao pamoja na majini, sio kwamba ni msikiti wa majini. Tunatofautiana uelewa kama mimi sijaelewa basi nieleweshe zaidi.
Ila kama ni swali lako ndio hilo hilo basi mimi kuhusu maka sina uhakika ila pale Zanzibar upo msikiti wa majini. Unaitwa (msikiti mabuluu)
 
Vipi Yesu alipo kufa alienda kuzimu kufanya nini? Bible inasema alienda kuzihubiria injili roho za kuzimu . Ni zipo hizo roho za kuzimu? Sio majini?
hao walikuwa ni roho zilizoshikiliwa na shetani za watu ambao walikufa kabla yeye hajaja, ili siku ya hukumu wasije kujitetea kuwa hawakusikia injili kwasababu walikufa kabla Yesu hajaja, kwasababu siku ya mwisho yeyote asiyemwamini na kumpokea Yesu atahukumiwa. hata wewe utahukumiwa kwa ugumu wa moyo wako kumkataa Yesu na kumkubali mtu aliyeelekeza kushirikiana na majini maishani.
 
hao walikuwa ni roho zilizoshikiliwa na shetani za watu ambao walikufa kabla yeye hajaja, ili siku ya hukumu wasije kujitetea kuwa hawakusikia injili kwasababu walikufa kabla Yesu hajaja, kwasababu siku ya mwisho yeyote asiyemwamini na kumpokea Yesu atahukumiwa. hata wewe utahukumiwa kwa ugumu wa moyo wako kumkataa Yesu na kumkubali mtu aliyeelekeza kushirikiana na majini maishani.
Just like that?
 
Vipi Yesu alipo kufa alienda kuzimu kufanya nini? Bible inasema alienda kuzihubiria injili roho za kuzimu . Ni zipo hizo roho za kuzimu? Sio majini?

Alipokufa kilichotokea ni kufufuliwa kwa wanadamu waliokufa katika usafi wa roho lakini walishikwa mateka na shetani na majeshi yake...

Mathayo 27
52 makaburi yakafunuka; ikainuka miili mingi ya watakatifu waliolala;

53 nao wakiisha kutoka makaburini mwao, baada ya kufufuka kwake, wakauingia mji mtakatifu, wakawatokea wengi.
 
Habari wadau.

Sheikh Rusaganya anasema Makkah kuna msikiti wa majini.

Je, ni mkweli ama muongo?


View: https://m.youtube.com/watch?v=jPi5CicFiyk

Sasa kwa akili yako unafikiri majini hawafanyi ibada ? Wapo majini wanafanya ibada na wapo majini waliokengeuka kama unavyoona binaadamu ambao hawafuati maamlisho ya mungu hata uli msikiti wa al aqsa unaogombaniwa na israel na palestine history yake umejengwa na majini kwa amrii ya nabii suleimani aliepewa uwezo huo na mungu kuweza kuwatumikisha majini anavyotaka
 
Ni sawa na tulivyoamini unaweza kupiga simu kuzimu kwa namba fulani shetani au wasaidizi wake wakapokea, na kweli ukipiga hizo namba zinapokelewa kumbe umepiga simu polisi au faya wamepokea. Hakuna cha majini kuazini wala nini. Huo ni ujinga kama ujinga mwingine, ni simulizi za kipumbavu
 
Back
Top Bottom