Sheikh Rusaganya: Kwa mujibu wa Hadithi za Mtume Mohamad, Watu wafupi ni marufuku kukanyaga Peponi

Sheikh Rusaganya: Kwa mujibu wa Hadithi za Mtume Mohamad, Watu wafupi ni marufuku kukanyaga Peponi

Itafika wakati watu wataachana na imani za kipuuzi kama hizi. Watu wengi duniani wamedanganyika na kuamini mafundisho ya uongo
 
Jifunze kufuatilia kitu kwa umakini , huyo Sheikh kaamaanisha kuwa watu peponi watakuwa katika umbile jipya kwa maana mtu hata akiwa mfupi atakuwa umbo la urefu , mbaya kuwa umbile na sura ya kuvutia ,kinyongo kuwa roho safi vinyongo vyote kutolewa nk.. hapo amezungumza kwa njia ya utani tu.
Hapo sawa, nilitakaisikitike kabisa kwamba zile bikra nisiende kuzikaza!
 
Alichokosa kufafanua hapo ni kuwa, watenda mema watakao ingia Peponi, hawatakuwa na miili ya hapa Duniani bali Watapewa miili mipya na maumbo mapya anayoyajua Muumba wa Mbingu na Ardhi
Mmeanza kumsaidia kutoa tafsiri
 
Sheikh Rusaganya ameonya kwamba kwa kujibu wa mafundisho ya kiisilamu, watu wafupi wamepigwa marufuku kukanyaga Peponi.

Sheikh anasisitiza kwamba watu wafupi ni marufuku kukanyaga Peponi na hawatakiwi kuonekana kule.

Msikilize Sheikh Rusaganya hapa.
View attachment 2948976
Hizi dini ni ukichaa

Muumbaji ni huyo mmoja iweje awabague waja wake
 
Mdogo wangu GENTAMYCINE anatakiwa kuhamia haraka kwenye hii dini mapema iwezekanavyo ili atakapoenda huko peponi, basi na yeye aweze kurefuka kwa mara ya kwanza kabisa katika maisha yake mapya.

Maana kwenye familia yetu yeye ndiye kitinda mimba, na pia ndiye mfupi kuliko hata nyundo ya kugongea misumari.
 
huyu sheik kinacho msumbua fangasi za ubongo
LAKINI AMENUKUU ANDIKO, AJAJISEMEA TU, AU KUOKOTEZA NENO TU MITAANI, KWENYE HIVI VITABU VYETU VYA KIIMANI, PIA TUJIONGEZE.
-Hata vitabu vya madhehebu mengine vilikuwa na mistari ya ajabu ajabu na waliiondosha kimya kimya l
 
Mbona jina la sheikh ni la kinywarwanda? Anyway, hizo hadithi ataziamini yeye na waumini wake, wengine wanaona ni upuuzi mtupu na hawataziamini
 
Sheikh Rusaganya ameonya kwamba kwa kujibu wa mafundisho ya kiisilamu, watu wafupi wamepigwa marufuku kukanyaga Peponi.

Sheikh anasisitiza kwamba watu wafupi ni marufuku kukanyaga Peponi na hawatakiwi kuonekana kule.

Msikilize Sheikh Rusaganya hapa.
View attachment 2948976
adriz na Accumen Mo njooni huku mutu wenu mhaya muislamu.
 
Hapo sawa, nilitakaisikitike kabisa kwamba zile bikra nisiende kuzikaza!
Mtu akifa kafiri hatoonja hizo bikra , peponi kila mtu anakuwa katika umbile jipya zuri tena la ujana ambao mtu atafurahia hata akiwa amekufa Mzee ,mlemavu nk anakuja upya katika uzuri usio wa kifani na starehe za aina mbalimbali ambazo hakuwahi kuona ,kusikia Wala kudhani.
 
Hamna shekhe hapo. Pepono watu wote wanakuwa na height sawa. Asiseme mtu mfupi ni marufuku
 
Mtu akifa kafiri hatoonja hizo bikra , peponi kila mtu anakuwa katika umbile jipya zuri tena la ujana ambao mtu atafurahia hata akiwa amekufa Mzee ,mlemavu nk anakuja upya katika uzuri usio wa kifani na starehe za aina mbalimbali ambazo hakuwahi kuona ,kusikia Wala kudhani.
Ni kweli mkuu?

Yaani nisipokufa kafiri nitaenda peponi na kukabidhiwa wanawake wengi kabisa mabikra kazi yangu kuwashughulikia tu?
 
Back
Top Bottom