SINGLE WINDOW
JF-Expert Member
- Sep 2, 2021
- 356
- 278
kwasababu ni chademaShehe Ponda pekee ndie Shehe wengine ni shehena za mizigo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwasababu ni chademaShehe Ponda pekee ndie Shehe wengine ni shehena za mizigo
Amejitolea kuwapigania walioteswa na shetani.kwasababu ni chadema
Ila alichosema ni kweli siyo!Aaah hamna kitu humo...alishindwa kuwatetea wenzake wa uamsho akawa busy na makonda
TakbiiirHuyu jamaa naye mpuuzi tu, hajui kuwa huku uraiani kila muisilamu anajiita sheikh? Mbona hajaliona Hilo,Hadi Mimi mwenyewe sijui vigezo vya mtu kuwa sheikh,au labda ukiwa muisilamu Basi wewe tayari Ni sheikh? Maana hapa kazini kwangu tuna waislamu wawili lakini wote wanaitana sheikh!! Sheikh!!
He is right kuwa askofu kanisa katoliki ni sala na toba siyo rahisi hata kidogo. Ila makanisa ya siku hizi eti hata Masanja askofu. Tuna utani na Mungu"Nilikuwa nadhani kupata uaskofu wa kanisa katoliki ni rahisi tu unakwenda Kariakoo ukanunua tu na kuvaa, kumbe uwe askofu unapatikana kwa kazi kwelikweli siyo kitu rahisi. Tunashida kubwa na msiba mkubwa, mitaani mtu anajipa tu uaskofu"-Alhad Mussa Salum
![]()
Sheria ipi?Sheria ya Ili uwe mchungaji/Shekhe degree ya philosophy iwe lazima from accredited universities,na sio hizo Ph.D za jalalani za kina Gwajiboy.
Huwa wanaanza choka mbaya, mtafute baada ya miaka miwili utashangaa, and ni bullies, wanawapelekesha sana waumini wao!! Huo upuuzi wa hawa maaskofu uchwara nimeupiga marufuku home kwanguHaya makanisa ya mifukoni mwa watu ndio yamekuja kuharibu kila kitu, watu wanajipachika hilo jina kutafuta mkate wao wa kila siku.
Nadhani tujadili hilo alilosema, hayo mengine tumwachie yeyeVipi kuhusu yeye na Usheikh wake alinunua wapi? Vipi ahadi yake kuhusu Mange? Mbona bado anadunda kitaa?
Nabii TitoMasanja & Mc Pilipili
Mambo ya Ngoso wawaachie kina Ngoso wenyewe, maana hawa watu wakisemwa hawakawii kutoa hukumu za kifo! Sasa sijui kipi afadhali, kutoa hukumu za kifo kwa makosa ambayo yanasameheka au kujipachika uaskofu?"Nilikuwa nadhani kupata uaskofu wa kanisa katoliki ni rahisi tu unakwenda Kariakoo ukanunua tu na kuvaa, kumbe uwe askofu unapatikana kwa kazi kwelikweli siyo kitu rahisi. Tunashida kubwa na msiba mkubwa, mitaani mtu anajipa tu uaskofu"-Alhad Mussa Salum
Nadhani tujadili hilo alilosema, hayo mengine tumwachie yeye
Hivi hukumu ya afande sele iliendaje?Mambo ya Ngoso wawaachie kina Ngoso wenyewe, maana hawa watu wakisemwa hawakawii kutoa hukumu za kifo! Sasa sijui kipi afadhali, kutoa hukumu za kifo kwa makosa ambayo yanasameheka au kujipachika uaskofu?
Msikiti sio Mali ya SheikhKunywa maji mengi utulie kivulini.
Halafu ukishatulia, jiulize; hao wanaojiita masheikh kazini kwako wana misikiti yao?
Sheria ipi?