Tatizo hayamuhusu aongelee mashehe wa uamsho kuminywa pyumbu gerezani ndio ntamuelewasiyo uongo anaongea kweli ndiyo maana maadili yanapolomoka kama kweli uko commited na uaskofu huwezi kufanya upuuzi bagonza , mwamakula nao ni maaskofu
Mh"Nilikuwa nadhani kupata uaskofu wa kanisa katoliki ni rahisi tu unakwenda Kariakoo ukanunua tu na kuvaa, kumbe uwe askofu unapatikana kwa kazi kwelikweli siyo kitu rahisi. Tunashida kubwa na msiba mkubwa, mitaani mtu anajipa tu uaskofu"-Alhad Mussa Salum
Ajikite kwenye dini yake, ya wenzie awaachie wao wenyewe. Kama na ye anapanda kua Askofu basi aachane na U Sheikh"Nilikuwa nadhani kupata uaskofu wa kanisa katoliki ni rahisi tu unakwenda Kariakoo ukanunua tu na kuvaa, kumbe uwe askofu unapatikana kwa kazi kwelikweli siyo kitu rahisi. Tunashida kubwa na msiba mkubwa, mitaani mtu anajipa tu uaskofu"-Alhad Mussa Salum
"Nilikuwa nadhani kupata uaskofu wa kanisa katoliki ni rahisi tu unakwenda Kariakoo ukanunua tu na kuvaa, kumbe uwe askofu unapatikana kwa kazi kwelikweli siyo kitu rahisi. Tunashida kubwa na msiba mkubwa, mitaani mtu anajipa tu uaskofu"-Alhad Mussa Salum
Hahaha, kaongea ukweli! Siku hizi mtu yeyote mwenye njaa anaweza kujiita Askofu na kuanza kukusanya sadaka kujikimu na maishaAnamtafuta Gwajima sasa
Hahhahhhaah kuna jirani yangu anakula kitimoto msikitini anaenda na anaitwa SheikhHuyu jamaa naye mpuuzi tu, hajui kuwa huku uraiani kila muisilamu anajiita sheikh? Mbona hajaliona Hilo,Hadi Mimi mwenyewe sijui vigezo vya mtu kuwa sheikh,au labda ukiwa muisilamu Basi wewe tayari Ni sheikh? Maana hapa kazini kwangu tuna waislamu wawili lakini wote wanaitana sheikh!! Sheikh!!
Wapo wengi hao kiongozi, wengi wanaongozwa na njaa, hata hawaamini huyo Mungu wanayemuimba kila siku!! Ishu ndogo tu ya kujiuliza, kulikuwa na sababu gani Gwajima kwenda kugombea ubunge? Kiasi kwamba kwa sasa hata amecompromise mahubiri yake, kila atachosema kanisani kinasikilizwa, akikosea kidogo tu kinahusishwa na siasa na anaanza kushambuliwa na kufokewa na hata watoto wadogo kama KihongosiHahhahhhaah kuna jirani yangu anakula kitimoto msikitini anaenda na anaitwa Sheikh
Mpenda 🕳️Shehe wa bashite alimkana bashite mara tatu baada ya bashite kupigwa chini
Yeye mwenyewe hana hadhi ya kuitwa SheikhHuyu jamaa naye mpuuzi tu, hajui kuwa huku uraiani kila muisilamu anajiita sheikh? Mbona hajaliona Hilo,Hadi Mimi mwenyewe sijui vigezo vya mtu kuwa sheikh,au labda ukiwa muisilamu Basi wewe tayari Ni sheikh? Maana hapa kazini kwangu tuna waislamu wawili lakini wote wanaitana sheikh!! Sheikh!!
Tangu lini? Mbona viongozi wengi wa CCM huongea siasa makanisani na misikitini, na ndiko hukohuko tulikojulishwa Magufuli yuko ofisini anachapa kazi, mlitaka mumuone Kariakoo!Aache kuingilia imani za watu na aheshimu imani za watu
Kila dini inautamaduni wake
Huu utamaduni wa kanisa kumkarisha mtu kuongea siasa muda wa ibada sio sawa