Sheikh Yahya Hussein alikuwa mtu wa usalama!?

Possible, pia kuna mmoja kazi yake ilikuwa ni mchimba makaburi na alikuwa anaishi maisha duni sana, nyumba ya miti na nyasi, nguo kuukuu... Alipofariki time ya kutambua mali alizoziacha, kila mmoja alibaki kinywa wazi, alkuwa na assets za maana tu, nyumba za maana, lodges, mashamba, mifugo, frem za biashara etc. Usalama sio watu wa mchezo mchezo hata kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…