Sheikh Yahya Hussein alikuwa mtu wa usalama!?

Sheikh Yahya Hussein alikuwa mtu wa usalama!?

Hilo linajulikana wazi
ndo maana alikuwa free kufanya lolote kwenye utawala wa Nyerere...

Historia yake inaanzia kwenye historia ya Mwenge
na historia ya Nyerere Bagamoyo
Naungana na wewe mkuu babu yangu alishanieleza hili kuhusu huyo Sheik Yahya, maranyingi alipokuwa anakuja huku kwenye shughuli ya kidini, walikuwa wakikutana na babu, lakini yeye babu akawa anatuambia kuwa sheikh ni mtu wa system. Lakini hata huyu babu yetu tulikuwa hatumuelewi vikao vya juu kabisa vya kiserikali na chama alikuwa anashiriki mpaka basi lakini sura yake ya nje mtu wa dini hatari na anafundisha kabisa lkn naamini viongozi wa kidini kwa namna fulani wanatumika
 
Mkienda kwa padre kuungama/kutubu madhambi yenu makanisani huwa mnasema yale mliyo yatenda mnasamehewa dhambi zenu hapo ndiyo wanapo anza kukusanya data

Waganga wengi ni hawa jamaa UWT
 
Usalama?! Are you kidding?...

Usibishe kwa kuwa hukuwahi kuwa Mjini!

Ukiacha Mwalimu Nyerere huyu Sheikh Yahya 1978 alikuwa na TV na ndie aliekuwa akiruhusiwa kuonesha Wakati huo hata Mawaziri hawakuruhusiwa!

Ndie alieshiriki kuwabaini na kuwanasisha kwny Mitego Wale waliokuwa wakimpinga Nyerere

Kundi la Waumini waliojipanga kuiangusha Bakwata 1993 Waliingia Mkenge wakamshirikisha Huyu Jamaa nae haraka haraka akawaingiza Mkenge Waanzishe Balukta kuidoa Bakwata Kumbe ndo wakaongia kwny Kilengeo na UKAWA Mwisho wao!
 
Usibishe kwa kuwa hukuwahi kuwa Mjini!

Ukiacha Mwalimu Nyerere huyu Sheikh Yahya 1978 alikuwa na TV na ndie aliekuwa akiruhusiwa kuonesha Wakati huo hata Mawaziri hawakuruhusiwa!

Ndie alieshiriki kuwabaini na kuwanasisha kwny Mitego Wale waliokuwa wakimpinga Nyerere

Kundi la Waumini waliojipanga kuiangusha Bakwata 1993 Waliingia Mkenge wakamshirikisha Huyu Jamaa nae haraka haraka akawaingiza Mkenge Waanzishe Balukta kuidoa Bakwata Kumbe ndo wakaongia kwny Kilengeo na UKAWA Mwisho wao!

Unaropoka usilolijua...
 
Alikuwa ni msanii mzuri sana wa kucheza na akili za watu. Mimi ni mkatoliki lakini mzee huyu alikuwa ananfurahisha sana alipokuwa anasoma quran. Alikuwa na mbwembwe fulani hivi, anaziba masikia, anaiimba baadaye anaweka pozi gafla, tena anamalizia kwa tune ya bass , wakati mwanzoni ameanza na soprano. Kitu ambacho nilikuwa sijui je ? ule utabiri, kusoma nyota, pamoja na kufafahamu majini inakubaliwa na dini yake?
 
uwezekano ni mkubwa sana,pia usisahau katika watu walioaminiwa sana na mwalimu kuhusu swala la mwenge wa uhuru huyu nae alikuwamo pamoja na wwnzake watatu akiwamo Folojo Ganze na ndiye aliyetabil mwlm kufalik 1999!,utabili yaweA kuwa ilikuwa ni cover ya shughul yake na ndio maana hata basement yake japo ilikuwa nairobi bado jamaa hawakumwamin sana!
 
Alikuwa ni msanii mzuri sana wa kucheza na akili za watu. Mimi ni mkatoliki lakini mzee huyu alikuwa ananfurahisha sana alipokuwa anasoma quran. Alikuwa na mbwembwe fulani hivi, anaziba masikia, anaiimba baadaye anaweka pozi gafla, tena anamalizia kwa tune ya bass , wakati mwanzoni ameanza na soprano. Kitu ambacho nilikuwa sijui je ? ule utabiri, kusoma nyota, pamoja na kufafahamu majini inakubaliwa na dini yake?
Amelaaniwa Mtu anayejihusisha na nyota"astronomy " - prophet Mohammad

Kuhusu usomaji jamaa ni bingwa huko misri aliwaacha midomo wazi wataalamu wa fani ya tajwid "usomaji wa aina hiyo"
 
Alikuwa ni msanii mzuri sana wa kucheza na akili za watu. Mimi ni mkatoliki lakini mzee huyu alikuwa ananfurahisha sana alipokuwa anasoma quran. Alikuwa na mbwembwe fulani hivi, anaziba masikia, anaiimba baadaye anaweka pozi gafla, tena anamalizia kwa tune ya bass , wakati mwanzoni ameanza na soprano. Kitu ambacho nilikuwa sijui je ? ule utabiri, kusoma nyota, pamoja na kufafahamu majini inakubaliwa na dini yake?
mambo ya utabiri kisoma nyota na hayo mambo ya majini hayaruhusiwi katika uislamu na ni shirki kubwa (inamtpa mtu kwenye uislam na inafuta mema yake na inamfanya awe mtu wa motoni milele)
 
Alikuwa ni msanii mzuri sana wa kucheza na akili za watu. Mimi ni mkatoliki lakini mzee huyu alikuwa ananfurahisha sana alipokuwa anasoma quran. Alikuwa na mbwembwe fulani hivi, anaziba masikia, anaiimba baadaye anaweka pozi gafla, tena anamalizia kwa tune ya bass , wakati mwanzoni ameanza na soprano. Kitu ambacho nilikuwa sijui je ? ule utabiri, kusoma nyota, pamoja na kufafahamu majini inakubaliwa na dini yake?

Kwa Mujibu wa Uislam Utabiri na kutazamia nyota ni haramu.

Hairuhusiwi hata kuswalishwa na Mtu anaetabiri au kutazamia nyota kwa kuwa huo ni Ushirikina.

Kwa Muslam hairuhusiwi hata kumsikiliza na kumuamini tu Mshirikina
 
Hilo linajulikana wazi
ndo maana alikuwa free kufanya lolote kwenye utawala wa Nyerere...

Historia yake inaanzia kwenye historia ya Mwenge
na historia ya Nyerere Bagamoyo
kabla Shein hajachaguliwa alitabiri kuwa makamu atakuwa na sura ya duara. alipochaguliwa nilimkubali sana Yahya. kumbe katoa jikoni. Ndiyo maana tabiri zake nyingi zilikuwa pro goverment . sasa hata mwanaye simuamini.
 
Back
Top Bottom