Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,147
- 14,699
Wewe nawe ndo walewale wafata mkumbo. Anyway, kila mtu ana uhuru wa kuamini anachoamini...Mwenzako ameweka fact za ku support, wewe unabwabwaja tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nawe ndo walewale wafata mkumbo. Anyway, kila mtu ana uhuru wa kuamini anachoamini...Mwenzako ameweka fact za ku support, wewe unabwabwaja tu.
Haha! Malizia kabisa kuwa hata member wote wa JF ni usalama wa taifa!...Bakwata ni kitengo cha Usalama wa Taifa na hawa wachungaji wengi matapeli ni usalama wa Taifa
Kiongozi wa dini hatembei na bastola au bunduki ??
huyo enzi za uhai wake alikuwa mshirikina
Haha! Malizia kabisa kuwa hata member wote wa JF ni usalama wa taifa!...
Kazi kwelikweli...
walewaleCurrentLY na wasiwasi sana na HuYu sheikh wa mkoa wa sasa
Wekeni picha yake ili nasisi watoto wa 96 tumjue
Acha upumbavu dogo, nikasirike kwa sababu ya nini? Kwa hiyo kila mwenye bastola ni shushushu? Utakua lini!...Hapo Itakuwa umekasirika , ni bora kutuliza mihemko ukakojowe ukalale
Unafikiri haijulikani? Viongozi wa bakwata mnatembea na bastola Za kazi gani??
Unajua tofauti ya usalama wa taifa na informer (mtoa taarifa)? Si kila anayeyajua yanayoendelea chini ya zulia ni usalama...It was just a cover. Remember alitabiri Obote atapinduliwa in 1970s. Alikuwa anajua nini kinaendelea through his secret circles of friends and people he was healing
Sawa yaani Imamu awe na bastola kiunoni 😜😜😜Acha upumbavu dogo, nikasirike kwa sababu ya nini? Kwa hiyo kila mwenye bastola ni shushushu? Utakua lini!...
Yes he used his work as a magician to extract information useful for the stateWewe nawe ndo walewale wafata mkumbo. Anyway, kila mtu ana uhuru wa kuamini anachoamini...
JifunzeNinyi ndo hata mkiona wendawazimu wanaokota makopo mnasema usalama...
Haha! Unaongea kana kwamba unanifahamu...Jifunze
Ni muhimu kuheshimu waliotutangulia mbele za haki,sio busara hata kidogo kumsema Marehemu Shk.Yahaya Hussein bila uthibitisho.yule alikuwa mfuga majini tu wa hapo Buguruni
JESUS IS LORD&SAVIOR