Sheikh Yahya Hussein alikuwa mtu wa usalama!?

Sheikh Yahya Hussein alikuwa mtu wa usalama!?

Usibishe kwa kuwa hukuwahi kuwa Mjini!

Ukiacha Mwalimu Nyerere huyu Sheikh Yahya 1978 alikuwa na TV na ndie aliekuwa akiruhusiwa kuonesha Wakati huo hata Mawaziri hawakuruhusiwa!

Ndie alieshiriki kuwabaini na kuwanasisha kwny Mitego Wale waliokuwa wakimpinga Nyerere

Kundi la Waumini waliojipanga kuiangusha Bakwata 1993 Waliingia Mkenge wakamshirikisha Huyu Jamaa nae haraka haraka akawaingiza Mkenge Waanzishe Balukta kuidoa Bakwata Kumbe ndo wakaongia kwny Kilengeo na UKAWA Mwisho wao!
[emoji33][emoji33][emoji33]‼
 
Kuna benz limozin alipewaga zawadi na mfalme wa uarabuni.
Pia sheikh yahya kuonana na maraisi wa nchi tofauti tofauti kwake haikuwa shida kbs!

Kuna kipindi bakwata walijifanya kumsimamisha uongozi kwa mambo yake aliokuwa anafanya yalikuwa yanapingana na dini(ramli) lakini baada ya muda mfupi tu sikuamini nilimkuta answalisha makao makuu ya bakwata pale kinondoni.

Binafsi naamini hata nje ya dini alikuwa na mizizi mirefu mno!
 
Possible, pia kuna mmoja kazi yake ilikuwa ni mchimba makaburi na alikuwa anaishi maisha duni sana, nyumba ya miti na nyasi, nguo kuukuu... Alipofariki time ya kutambua mali alizoziacha, kila mmoja alibaki kinywa wazi, alkuwa na assets za maana tu, nyumba za maana, lodges, mashamba, mifugo, frem za biashara etc. Usalama sio watu wa mchezo mchezo hata kidogo
Poor mindset in the current era
 
Kuna benz limozin alipewaga zawadi na mfalme wa uarabuni.
Pia sheikh yahya kuonana na maraisi wa nchi tofauti tofauti kwake haikuwa shida kbs!

Kuna kipindi bakwata walijifanya kumsimamisha uongozi kwa mambo yake aliokuwa anafanya yalikuwa yanapingana na dini(ramli) lakini baada ya muda mfupi tu sikuamini nilimkuta answalisha makao makuu ya bakwata pale kinondoni.

Binafsi naamini hata nje ya dini alikuwa na mizizi mirefu mno!
Kwanza alikua akisoma yeye quran hasomi tena mtu mwingine, yeye anakua wa mwisho
 
Hio stori ya Ludovick Kaijage ni very captivating
Kuanzia pilika za huko Botswana na sio tu Sheikh Yahya bali wale watanzania wote aliokuwa akikutana nao huko wanaojifanya kutaka kumsaidia kumbe wote walikuwa wa kitengo, na wale wa South Africa waliojifanya ni ANC wote kama walipewa kazi ya kumfuatilia.
Mpaka Frelimo wa Mozambique, walivyoletewa na kumfunga jela huku akisubiri kusafirishwa.
Nyerere alikuwa mshenzi tu kwa kweli, kutumia resource zote kumkamata mtu mwenyewe alikuwa mwanafunzi.
 
Back
Top Bottom