[emoji33][emoji33][emoji33]βΌUsibishe kwa kuwa hukuwahi kuwa Mjini!
Ukiacha Mwalimu Nyerere huyu Sheikh Yahya 1978 alikuwa na TV na ndie aliekuwa akiruhusiwa kuonesha Wakati huo hata Mawaziri hawakuruhusiwa!
Ndie alieshiriki kuwabaini na kuwanasisha kwny Mitego Wale waliokuwa wakimpinga Nyerere
Kundi la Waumini waliojipanga kuiangusha Bakwata 1993 Waliingia Mkenge wakamshirikisha Huyu Jamaa nae haraka haraka akawaingiza Mkenge Waanzishe Balukta kuidoa Bakwata Kumbe ndo wakaongia kwny Kilengeo na UKAWA Mwisho wao!
Yah kweli aisee nahisi walianzisha warumi ili watu wawe wanajishtaki wenyewe wakidhani wanaenda kuungama ..Halafu jambazi unamaono!
Mimi hiyo nilishaigundua muda mrefu na nikastuka.
Muungamie Mungu wako pekee kwa kujuta dhambi na si binadamu mwenzako.
Sheikh YahYa pia alikuwa ni mtu wa iman na ameshiriki sana kwenYe kukalim wagen na kuusimamisha uislam hapa bara piaView attachment 464230
Wasiwasi wako ni nini? kwa huyu sheikh?, ni mtu wa imani sana Sheikh ALHAD MUSSA,lazima awepo katika imani Mkoa wa Daresalaaam katika kuwakarimu wageni/viongozi wanaokuja jijini
Haijasahulika tu?Hilo linajulikana wazi
ndo maana alikuwa free kufanya lolote kwenye utawala wa Nyerere...
Historia yake inaanzia kwenye historia ya Mwenge
na historia ya Nyerere Bagamoyo
Funguka kimtindoHilo linajulikana wazi
ndo maana alikuwa free kufanya lolote kwenye utawala wa Nyerere...
Historia yake inaanzia kwenye historia ya Mwenge
na historia ya Nyerere Bagamoyo
Ukaona kwann ufenalo wakati wezako washatangulia wakukuliza umesema yann hawapo ,rweyamamu yupo bado au sio yeyenilisoma hii ishu kwenye kitabu The dark side of Nyerere cha Ludovick Kaijage. baadhi ya sehemu anasema.
walivyokutana.
View attachment 456850
hapa akamuibia documents.
View attachment 456858
Hapa anakuta vitu vyake kwenyaa mikono salama.
View attachment 456849
Yah kweli aisee nahisi walianzisha warumi ili watu wawe wanajishtaki wenyewe wakidhani wanaenda kuungama ..
Poor mindset in the current eraPossible, pia kuna mmoja kazi yake ilikuwa ni mchimba makaburi na alikuwa anaishi maisha duni sana, nyumba ya miti na nyasi, nguo kuukuu... Alipofariki time ya kutambua mali alizoziacha, kila mmoja alibaki kinywa wazi, alkuwa na assets za maana tu, nyumba za maana, lodges, mashamba, mifugo, frem za biashara etc. Usalama sio watu wa mchezo mchezo hata kidogo
Unaropoka usilolijua...
nilisoma hii ishu kwenye kitabu The dark side of Nyerere cha Ludovick Kaijage. baadhi ya sehemu anasema.
walivyokutana.
View attachment 456850
hapa akamuibia documents.
View attachment 456858
Hapa anakuta vitu vyake kwenye mikono salama.
View attachment 456849
Sawa sawaBAKWATA YOTE NI KITENGO CHA USALAMA , Iliundwa na Nyerere haikuundwa na waislamu
Kwanza alikua akisoma yeye quran hasomi tena mtu mwingine, yeye anakua wa mwishoKuna benz limozin alipewaga zawadi na mfalme wa uarabuni.
Pia sheikh yahya kuonana na maraisi wa nchi tofauti tofauti kwake haikuwa shida kbs!
Kuna kipindi bakwata walijifanya kumsimamisha uongozi kwa mambo yake aliokuwa anafanya yalikuwa yanapingana na dini(ramli) lakini baada ya muda mfupi tu sikuamini nilimkuta answalisha makao makuu ya bakwata pale kinondoni.
Binafsi naamini hata nje ya dini alikuwa na mizizi mirefu mno!
kamba hii π π π π π ...mkuu acha kutuletea stori za kitoto ,za za vijiweniKwanza alikua akisoma yeye quran hasomi tena mtu mwingine, yeye anakua wa mwisho
Hahahahahakamba hii π π π π π ...mkuu acha kutuletea stori za kitoto ,za za vijiweni
Mwenzako ameweka fact za ku support, wewe unabwabwaja tu.Ninyi ndo hata mkiona wendawazimu wanaokota makopo mnasema usalama...