Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
Anamatatizo ya akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kuna shekhe anaitwa kurjuani au siohakunaga sheikh anaeitwa mwaipopo
unaweza ukawa wa alufu moja 77 na bado ukawa mjinga kuwa na umri mkubwa haiondoi ujinga kichwan mwakoWewe wasema
Utakua wa afu mbili
sheikh magomap😀😆Ila kuna shekhe anaitwa kurjuani au sio
Tutoto tea buku mbili banaaaaunaweza ukawa wa alufu moja 77 na bado ukawa mjinga kuwa na umri mkubwa haiondoi ujinga kichwan mwako
amna shida ngoja nimsikilize diamond paltnumzTutoto tea buku mbili banaaaa
Kamebisha hakuna shekhe a anaitwa mwaipopo, kamejibiwa tu tayari kamefungua tobo La mitusi na linatema mbwambwambwa
Anyways - ni makosa ya malezi mabaya
Huu ni ukweli mchungu hakuna mwanasiasa atakwambia ila ndio ukweli wenyewe.Shekh Mwaipopo wakati akizungumza na waandishi wa habari mapema leo jijini Dar es salaam kuhusu masuala ya utekaji. Amesema Dunia serikali zote zinawauwaji wake hakuna serikali isiyo fanya mauwaji.
Naomba niseme leo watu waviheshimu vitu vitatu na waviogope. Jambo la kwanza muogope sana Mwenyenzi Mungu na Manabii wake na Vitabu vyake, Waogope sana na kuheshimu baba yako na mama yako wana mamlaka makubwa sana na Jambo la tatu viogope Serikali na Vyombo vyake vya dola.
Soma Pia:
Nilijua tu wanasiasa kumbe hata viongozi wa dini wana tabia za Kimalayamalaya😡Shekh Mwaipopo wakati akizungumza na waandishi wa habari mapema leo jijini Dar es salaam kuhusu masuala ya utekaji. Amesema Dunia serikali zote zinawauwaji wake hakuna serikali isiyo fanya mauwaji.
Naomba niseme leo watu waviheshimu vitu vitatu na waviogope. Jambo la kwanza muogope sana Mwenyenzi Mungu na Manabii wake na Vitabu vyake, Waogope sana na kuheshimu baba yako na mama yako wana mamlaka makubwa sana na Jambo la tatu viogope Serikali na Vyombo vyake vya dola.
Soma Pia:
Mwaipopo wa Mwakareli hukoMwaipopo Wa Wapi tena huyu....!!🚮🚮🚮🚮
Unampa wakati mgumu!...Faiza Foxy....
Ila kwa upande mmoja hajakosea amesema ukweli.Shekh Mwaipopo wakati akizungumza na waandishi wa habari mapema leo jijini Dar es salaam kuhusu masuala ya utekaji. Amesema Dunia serikali zote zinawauwaji wake hakuna serikali isiyo fanya mauwaji.
Naomba niseme leo watu waviheshimu vitu vitatu na waviogope. Jambo la kwanza muogope sana Mwenyenzi Mungu na Manabii wake na Vitabu vyake, Waogope sana na kuheshimu baba yako na mama yako wana mamlaka makubwa sana na Jambo la tatu viogope Serikali na Vyombo vyake vya dola.
Soma Pia:
Dada chumvi kaja kutia chumvi zake.Mwaipopo wa Mwakareli huko
HUyu mzee anavyoonekana mstaarabu ,tena kajipandia zake bus kwenda kwa familia yake huku wao wakiwa kwenye ma v8 sidhani kama alimkosea mtu yoyote kudeserve kutolewa roho yake, mungu amsanehe madhambi yakeShekh Mwaipopo wakati akizungumza na waandishi wa habari mapema leo jijini Dar es salaam kuhusu masuala ya utekaji. Amesema Dunia serikali zote zinawauwaji wake hakuna serikali isiyo fanya mauwaji.
Naomba niseme leo watu waviheshimu vitu vitatu na waviogope. Jambo la kwanza muogope sana Mwenyenzi Mungu na Manabii wake na Vitabu vyake, Waogope sana na kuheshimu baba yako na mama yako wana mamlaka makubwa sana na Jambo la tatu viogope Serikali na Vyombo vyake vya dola.
Soma Pia: