Shekh Mwaipopo: Duniani kote serikali kuna watu wanafanya mauaji, watu wanapaswa kulifahamu hilo!

Shekh Mwaipopo: Duniani kote serikali kuna watu wanafanya mauaji, watu wanapaswa kulifahamu hilo!

Shekh Mwaipopo wakati akizungumza na waandishi wa habari mapema leo jijini Dar es salaam kuhusu masuala ya utekaji. Amesema Dunia serikali zote zinawauwaji wake hakuna serikali isiyo fanya mauwaji.

Naomba niseme leo watu waviheshimu vitu vitatu na waviogope. Jambo la kwanza muogope sana Mwenyenzi Mungu na Manabii wake na Vitabu vyake, Waogope sana na kuheshimu baba yako na mama yako wana mamlaka makubwa sana na Jambo la tatu viogope Serikali na Vyombo vyake vya dola.

Soma Pia:
Tatizo la kuwa na viongozi wa dini mashoga
 
Shekh Mwaipopo wakati akizungumza na waandishi wa habari mapema leo jijini Dar es salaam kuhusu masuala ya utekaji. Amesema Dunia serikali zote zinawauwaji wake hakuna serikali isiyo fanya mauwaji.

Naomba niseme leo watu waviheshimu vitu vitatu na waviogope. Jambo la kwanza muogope sana Mwenyenzi Mungu na Manabii wake na Vitabu vyake, Waogope sana na kuheshimu baba yako na mama yako wana mamlaka makubwa sana na Jambo la tatu viogope Serikali na Vyombo vyake vya dola.

Soma Pia:

Wenye dini, dini imevamiwa🙄🙄🙄🙄🙄
 
Ila kwa upande mmoja hajakosea amesema ukweli.
Duniani hakuna serikali isiyoua,kila serikali duniani inafanya mauaji.
Mambo mengine ya kisiasa ni bora mtu ukae nayo mbali.
Mkuu kosugi samahani sana naomba kuuliza
Wewe ni wa kwenda ijumaa, jumamosi, au jumapili?
 
Mkuu kosugi samahani sana naomba kuuliza
Wewe ni wa kwenda ijumaa, jumamosi, au jumapili?
Ijumaa mimi ni muislam mkuu.
Ila tukirudi kwa mada ni kweli hakuna serikali isiyoua,japo hilo halizuii kukemea mauaji yanayofanyika.
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Ijumaa mimi ni muislam mkuu.
Ila tukirudi kwa mada ni kweli hakuna serikali isiyoua,japo hilo halizuii kukemea mauaji yanayofanyika.
Imebidi niulize maana kuna kua na malalamiko ya kwamba kila mtu anavutia kwake. Ila mwaipopo akili yake ni ndogo huwezi kuja kuitisha press ya kusema hakuna serikali isiyoua
 
Imebidi niulize maana kuna kua na malalamiko ya kwamba kila mtu anavutia kwake. Ila mwaipopo akili yake ni ndogo huwezi kuja kuitisha press ya kusema hakuna serikali isiyoua
Hapana hakuna cha watu kuvutia upande wao.
Ila WATANZANIA huwa tunapenda kuhitimisha jambo pasi na kulichanganua.
Mimi nimeshikilia sehemu moja tu kuwa hakuna serikali isiyoua.
Ndio maana unakuta wazee wengi hawashauri vijana wao kujiingiza katika siasa.
Jitaftie zako ugali ule na family ulale.
 
Allah atuongoze, sio kila anayejiita sheikh naye ni sheikh
 
Back
Top Bottom