To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Nimemshangaa sana aiseeWanyakyusa wenzake wote ni walokole, niaje yeye?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimemshangaa sana aiseeWanyakyusa wenzake wote ni walokole, niaje yeye?
Cha kujiuliza, kib.aka kama huyu anapewaje maiki nyingi hivyo? Atakuwa pandikizi la dola tu.Nimemshangaa sana aisee
Sheikh Mwaipopo akitetea mauaji yanayosaidikiwa kufanywa na Serikali.
View: https://x.com/HabarimpyaTv/status/1832868684123042098?t=8DdUDCy5V3sjmEYNW2J41w&s=19
Huyu ni Sheikh au muuaji amejificha kwenye uislamu?
WANYAKYUSA NAO WANACHANGAMKIA SANA FURSANishehe halafu ni mwaipopo. Kwisha kazi
It aint matterWhat is you take on this?
Sheikh Mwaipopo akitetea mauaji yanayosaidikiwa kufanywa na Serikali.
View: https://x.com/HabarimpyaTv/status/1832868684123042098?t=8DdUDCy5V3sjmEYNW2J41w&s=19
Hapo polisi wanatakiwa wamkamate Mwaipopo akatoe maelezo ya kinaMwaipopo anathibitisha kuwa Mzee Kibao ameuliwa na dola.
Kwanza ni aibu sana na upunguani mkubwa sana kwa mtu ambaye unachunga watu kuwa na uelewa finyu kama ulio nao wewe mwaipopo,msichanganye mada senario tuliyonayo tanzania msifananishe popote,watanzania wanatekwa ,wanauwawa............Shekh Mwaipopo wakati akizungumza na waandishi wa habari mapema leo jijini Dar es salaam kuhusu masuala ya utekaji. Amesema Dunia serikali zote zinawauwaji wake hakuna serikali isiyo fanya mauwaji.
Naomba niseme leo watu waviheshimu vitu vitatu na waviogope. Jambo la kwanza muogope sana Mwenyenzi Mungu na Manabii wake na Vitabu vyake, Waogope sana na kuheshimu baba yako na mama yako wana mamlaka makubwa sana na Jambo la tatu viogope Serikali na Vyombo vyake vya dola.
Soma Pia:
Fala sana huyu!Huyu dingi kadata