Shekh Zuberi Mufti wa Tanzania ni wazi anahitaji msaada

Shekh Zuberi Mufti wa Tanzania ni wazi anahitaji msaada

Heijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
5,466
Reaction score
8,937
Leo kwa bahati nzuri nimepitia sehemu nikakuta kuna issue ya msikiti wa Mtoro wakimuoba msamaha Mufti, nikataka kuangalia nini kimetokea tarehe 29 ya Ramadhan.

Nikarudi kutafuta clip nikaipata kumbe kuna Shekh msikitini alisahihisha kauli ya kidini aliyotoa siku alipoenda kufunga darsa wanaita "Busati" , Mufti alisema siku ya shaka ni 29 Ramadhan kwa maana hujui mwezi umeandama au hapana lakini baada ya kuondoka Shekh wa msikiti akasema kwa heshima tu Mufti ulimi umeteleza kidini imeandikwa siku ya shaka ni 30 sio 29. Bwana jamaa wakapigiwa simu saa 7 usiku watu wameshalala kuwa lazima waombe radhi msikitini kabla swala ya Eid kuanza na wakafanya hivyo.

Kwa maoni yangu Mufti ni kweli aliteleza lakini namuona ni mtu fulani anapenda kutukuzwa sana na yuko busy kupigania kitu kinaitwa mamlaka hata mambo ya mwezi alitumia dakika 15 kulilia mamlaka ya kutangaza mwezi kuwa ni yeye tu, sasa shida yote hii ya nini? yuko busy kutishia watu wanao pingana naye kielimu tu watu wakitaka kutoa matamko kwa kudai mamlaka hiyo ni yake tu lakini kikubwa kuliko yote, mtu ukiwa unashaka na elimu yako hujiamini basi unakuwa muoga kulinda kiti chako lakini kama elimu imejaa basi wala asingetafuta heshima kwa nguvu heshima ingemfuata tu. Mufti umekuwa muoga sana nini unaogopa? au unahisi wako watu nje huko wamekuzidi elimu kwa mbali sana. Mimi naamini kuwa Mufti ni lazima elimu yako iwe juu ya wengine hapo heshima itakuja tu automatic.
 
Huyu naye mleta amepuyanga mbona na wewe elim yako kama muft hivyo ulikuwa na haja gan kukimbilia kuleta mada hapaa ovyoo na kutuaminisha kuna bifu kumnee bure kbs na wewe
 
Ebu Leta hapa hiyo elimu ya mufti, ili tulinganishe na hao masheikh wengine unao dhani anawaogopa kielimu. 🤒🤒🤒🤒
 
Leo kwa bahati nzuri nimepitia sehemu nikakuta kuna issue ya msikiti wa Mtoro wakimuoba msamaha Mufti, nikataka kuangalia nini kimetokea tarehe 29 ya Ramadhan.

Nikarudi kutafuta clip nikaipata kumbe kuna Shekh msikitini alisahihisha kauli ya kidini aliyotoa siku alipoenda kufunga darsa wanaita "Busati" , Mufti alisema siku ya shaka ni 29 Ramadhan kwa maana hujui mwezi umeandama au hapana lakini baada ya kuondoka Shekh wa msikiti akasema kwa heshima tu Mufti ulimi umeteleza kidini imeandikwa siku ya shaka ni 30 sio 29. Bwana jamaa wakapigiwa simu saa 7 usiku watu wameshalala kuwa lazima waombe radhi msikitini kabla swala ya Eid kuanza na wakafanya hivyo.

Kwa maoni yangu Mufti ni kweli aliteleza lakini namuona ni mtu fulani anapenda kutukuzwa sana na yuko busy kupigania kitu kinaitwa mamlaka hata mambo ya mwezi alitumia dakika 15 kulilia mamlaka ya kutangaza mwezi kuwa ni yeye tu, sasa shida yote hii ya nini? yuko busy kutishia watu wanao pingana naye kielimu tu watu wakitaka kutoa matamko kwa kudai mamlaka hiyo ni yake tu lakini kikubwa kuliko yote, mtu ukiwa unashaka na elimu yako hujiamini basi unakuwa muoga kulinda kiti chako lakini kama elimu imejaa basi wala asingetafuta heshima kwa nguvu heshima ingemfuata tu. Mufti umekuwa muoga sana nini unaogopa? au unahisi wako watu nje huko wamekuzidi elimu kwa mbali sana. Mimi naamini kuwa Mufti ni lazima elimu yako iwe juu ya wengine hapo heshima itakuja tu automatic.
Bakwata siyo taasisi ya Kiislam ni ya baadhi ya Waislam.
 
Khaa, labda sijaelewa...lkn siku ya shake ni mwezi 29!! Au umekusudiaje?
Mimi sina elimu kubwa lakini katika dini imesemwa 30 na sababu ni kuwa sisi tumeharamishwa kufunga siku ya Eid kwa maana kufunga siku ya Eid haramu sasa ukiwa 30 halafu huna uhakika je leo hii ni siku ya Eid au la, inawezekana mwezi umeandama jana hatukuona lakini 29 sio shaka kwa maana tunarusiwa kufunga 29 au 30 zote ni sawa tu. Siku ya 29 kama mwezi hatukuona au mifarakano yetu tuliyozoea ya viburi mwezi unaonekana lakini kama Mufti yeye mwenyewe alisema mpaka amri toka juu wakubali ndio wanatangaza.

Haya maneno alisema yeye mwenyewe na hili lilivunjia heshima sana Bakwata lakini hapa ndio utajuwa nafasi ya elimu. Kwa hali ya kawaida yako mambo yakuongea hadharani na yako private.
 
Bakwata siyo taasisi ya Kiislam ni ya baadhi ya Waislam.
Najuwa hilo lakini mzee Mufti hilo hataki anasema yeye ndio mwenye mamlaka na yuko busy kila mara kugombania mamlaka. Ndio kila mara akiitwa sehemu basi anahitaji sana kuitwa kwa majina ya kutukuzwa sijui mheshimiwa mkuu na makorokoro mengi kutukuzwa. Lakini yote mimi ya hawa jamaa kuvaa mipete kama waganga wa kienyeji mpaka leo sielewi ya nini yale? na sio Mufti wengi 95%, je hawa wanaamini kweli Mungu au nyuma ya pazia washirikina.
 
Ila wanachafua dini tunaonekana vituko tu sababu ya hawa watu. Kugombani mamlaka na mwezi basi ndio kazi yao. Narudia tena ile mipete mikubwa kazi zake ni nini? sio hawa wanaamini Allah pekee? au na majini pia.
Ngoja wavaa kobazi waje kukujibu
 
Iko siku nikiwa kwenye darasa zao nitainuka na kuwauliza mipete kazi yake ni nini? Mimi binafsi nikiona mtu na mipete mikubwa utasema hirizi hapo hapo namdharau tu. Pete ya ndoa tu vaa lakini mahirizi hapana.
 
Nahisi sheikh ni kama wewe ndiye unayehitaji msaada sio muft. Kama limeisha huko msikitini huku unataka nini?
 
Back
Top Bottom