Kuwadhibiti waislamu dhidi ya nini?
Dhidi ya watawala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwadhibiti waislamu dhidi ya nini?
Una mcha mungu aliekufa kabla ya aliewaumba?Waache wenye mwezi wapambane na mwezi wao
Waache wenye jiwe wazunguke jiwe lao
Sisi tunaomcha Mungu wa Kweli tuendelee bila kuchoka
Balaa kuu la waislam TanzaniaNini maana ya bakwata?
Mkuu ameongea haya maneno mbele ya waziri mkuu mwezi huu wa Ramadhan clip iko youtube ameongea zaidi ya dakika 15 kuhusu mamlaka yake. haya ni ya kweli kabisa 100% kaongea.Hakujazungumzwa lolote kuhusu mamlaka ya mwezi, are you sure una information sahihi mkuu?
Hakuna uislam unaoitwa bakwata waislam wa Tz asilimia kubwa wote ni SunniSiku ya shaka ni 29.
Ukitimiza 30 ni lazima ufungue kwa sababu hakuna Ramadan ya siku 31.
Sunni walianza kutazama mwezi siku ya J3 ambapo ilikuwa siku ya 29 kwao sababu waliwahi kuanza kufunga. Bakwata hawakuwa na uhalali wa kuanza kutafuta mwezi siku hiyo maana wao walikuwa wana siku 28 za Funga na hamna funga yenye siku 28( ni siku 29 au 30 ).
Sunni waliukosa mwezi siku hiyo ya J3 wakaamua kukamilisha siku 30 za Funga na J5 ikawa ni siku ya Eid kwa lazima kwao hata kama mwezi usingeandama. Bahati nzuri mwezi ukaandama Duniani kote na Bakwata wakawa hawana kipingamizi, wakati huo washatimiza siku 29 za Funga na wanaruhusiwa kufungua, ndipo walipofungua.
Anaefaa kuchorwa ni yesu tu mchoreni mtakavyo😅 😅 😅 😅
Kama watu waliandamana kisa mtume kachorwa unategemea nini, labda kama huwajui
Hapana nimeona anaitwa Shekh Othman, yule muongoza kipindi alikuwa ana support ila clip ya kuomba msamaha kamruka mwenzake kasema mwenzetu alikosea yeye kajitoa.Watu wa bida'a wanapenda kutukuzwa sana aliemkosoa ni nani? Yule muongoza kipindi anaeitwa Abas au nani,?
Nafahamu sana hilo, hapo nimetaja wakala wa Gavo anayesikilizwa na ndio huleta tofauti kila mwandamo wa mwezi unapofikaHakuna uislam unaoitwa bakwata waislam wa Tz asilimia kubwa wote ni Sunni
Kwamba serikali iuogope uislamu?Dhidi ya watawala
Hiyo mipete ni ya marangirangi km ya majini???? Hamuwezi maliza mijadala bila kujilinganisha???😇
Naona unatafuta nongwa...
Mipete wanavaa hadi maaskofu wa Kikristo...
Unatumia kipimo gani kusema asilimia kubwa ni suni?Hakuna uislam unaoitwa bakwata waislam wa Tz asilimia kubwa wote ni Sunni
Baba Mwajuma, nimeona clip zote Shekh aliyemkosoa Mufti na Shekh Othmana wa msikiti wa Mtoro na yule Shekh Abbas aliunga mkono sasa usiseme mtu yoyote alimpinga hapana ni Shekh wa msikiti wa Mtoro. Na wamesema pale wameambiwa usiku saa 7 waombe msamaha na msamaha uwe kabla ya swala ya Eid na haya sio maneno yangu yapo you tube sio mimi nasema.Huyo mleta mada hata hajui kinachozungumzwa kasikia sikia tu, na yeye kaongeza yake Kaleta.
Siku ya Eid mtoro walitolea ufafanuzi kuhusu Darsa ya Ramadan 29 ambapo kulikua na mtu alipingana na Mufti kuhusu Siku ya shaka Mufti alisema 29 na huyo jamaa alisema 30 that's it, sio mtaalam wa kilichozungumzwa ila Mufti alipiga simu kwa mshauri wake na Imamu wa mtoro saa 7 usiku wakajadili na kesho yake (siku ya Eid) mshauri wa Mufti akaja kulitolea ufafanuzi,
Hayo mambo ya Mufti kulazimishwa kuomba msamaha, sijui mwandamo wa mwezi na maneno mengine aliosema mleta mada sijayasikia, source nilikuwepo msikiti wa mtoro swala ya Eid wakati mshauri wa Mufti anaelezea.
Hakujazungumzwa lolote kuhusu mamlaka ya mwezi, are you sure una information sahihi mkuu?
Una mcha mungu aliekufa kabla ya aliewaumba?
Our God is trinity.Una mcha mungu aliekufa kabla ya aliewaumba?
Hata weww pia ni mbwa fala weweAcha matusi wewe toa hoja kama unayo basi mambo ya Mbwa koko ya nini? Mimi sifuatilii Bakwata lakini sina sababu ya kuwatukana matusi mepesi kama hayo. Kitu unaona wazi wanafanya mbele yako kosoa lile unalo ona sio Mbwa Koko, siajabu kukawa na Baba yako au Mama yako anafuata Bakwata sasa sijui tusi ni hilo hilo au....
Christian God is dead but Allah still remains with his absolute power.Our God is trinity.
Your god is black big stone called Kaaba. FULUSI......... FULUSI...,... FULUSI
Kabisa mimi muislamu 100% kwa maana kizazi chote sisi waislamu lakini shida yangu hawa ma Shekh wetu mapete yana nini? Kama maskofu wanavaa hilo mimi sio shida yangu ile sio dini yangu labda kwao ina maana fulani na wala sitaki kuongelea wengine. Hapa wajibu tu swali hawa ma Shekh mipete mikubwa zaidi 1Kg marangi ya ajabu ni ya nini?Hiyo mipete ni ya marangirangi km ya majini???? Hamuwezi maliza mijadala bila kujilinganisha???