Shekh Zuberi Mufti wa Tanzania ni wazi anahitaji msaada

Shekh Zuberi Mufti wa Tanzania ni wazi anahitaji msaada

Weka clip hapa punguza kujieleza
Sasa unataka niweke katika kila post. Sikutaka kuiweka sababu kila mtu anaweza kwenda youtube na kuitazama lakini pamoja na hayo nimeiweka rudi kwenye moja ya post yangu number #56 clip ipo. Mimi sio naongea maoni yangu mimi naongea nilichosikia wakiongea wenyewe kwa midomo yao, Tech ipo hakuna kum quote wala nini yeye mwenyewe anaongea. Mamlaka yangu....
 
Tatizo la Msikiti wa Mtoro ni kwamba unachoita ugomvi kati ya serikali na Waislamu,huko ndiko ilikoanzia.
Kwa hiyo Mufti lazima awe sensitive kuhusu insurbodination kutoka kwa Msikiti wa Mtoro ama sivyo itaanza duru nyingine mpya ya ugomvi kati ya serikali na Waislamu.
 
T
Mimi sina elimu kubwa lakini katika dini imesemwa 30 na sababu ni kuwa sisi tumeharamishwa kufunga siku ya Eid kwa maana kufunga siku ya Eid haramu sasa ukiwa 30 halafu huna uhakika je leo hii ni siku ya Eid au la, inawezekana mwezi umeandama jana hatukuona lakini 29 sio shaka kwa maana tunarusiwa kufunga 29 au 30 zote ni sawa tu. Siku ya 29 kama mwezi hatukuona au mifarakano yetu tuliyozoea ya viburi mwezi unaonekana lakini kama Mufti yeye mwenyewe alisema mpaka amri toka juu wakubali ndio wanatangaza.

Haya maneno alisema yeye mwenyewe na hili lilivunjia heshima sana Bakwata lakini hapa ndio utajuwa nafasi ya elimu. Kwa hali ya kawaida yako mambo yakuongea hadharani na yako private.
Tatizo viongozi wengi WA kiislam HII elimu ya kawaida ya dunia iliwapita kushoto,MTU anaejua Quran lakini kaishia la 3 laZma atapuyanga tu,elimu zote ni muhimu
 
T

Tatizo viongozi wengi WA kiislam HII elimu ya kawaida ya dunia iliwapita kushoto,MTU anaejua Quran lakini kaishia la 3 laZma atapuyanga tu,elimu zote ni muhimu
Mimi sidhani kama dini imesema sehemu yoyote kuwa watu wasitafute elimu ya dunia, elimu tumeambiwa tuitafute shida yetu kubwa hapa Tanzania ni ma Sheikh kuifanya misikiti na dini kama miradi yao mikuu ya kuingiza pesa hapa kwa ufupi ni njaa. Nchi zingine mashekh wa misikiti ni waajiriwa tena kwa mikataba na walipwa vizuri sana tu njaa hawana kabisa wala huwezi kuingia misikiti yao ukakuta visanduku vya pesa.

Hapa imam hata hajamaliza salaam ya mwisho watu wa vikapu wameshakurupuka, kwanini? njaa.
 
Mimi kwenye hili simuongelei Mufti tu na wala haijalishi ni Askofu, Shekh au hata rafiki tu nikiona mtu ana dalili za kishirikina na hasa za waziwazi kama hizi kujivisha mipete mizito napata ukakasi na huyu mtu, hata nyumbani kwangu simkaribishi. Dini imetukataza kabisa shirki sasa siwezi kuongozwa na mtu anayebeba taswira ya shirki.

lakini sababu sijui kazi ya mipete ile wanayovaa hawa viongozi wa dini ndio maana nimeuliza na kama haya mapete ni sehemu ya ibada zetu basi wangekuwa wanahubiri kutuomba na sisi tuvae kama yana faida kwao kwanini yasiwe na faida na kwetu sisi waumini wao. Kuna siri gani mle??
Unauliza au unatuhumu kuwa kuvaa mipete ni ushirikina? Halafu katika vitu vyote wanavyovaa na kujipamba kwa nini mazingatio yako yawe kwenye pete tu?
 
Nadhani ungejibu tu sisi tusiojuwa yale mapete kumi kumi ni ya nini? mbona rahisi tu
Nadhani wewe ndio ungetueleza hayo unayoyajua kuhusu hayo mapete kiasi cha kuzitilia mashaka, maana uvaaji pete si kitu cha ajabu ila kama wewe unajua kuhusu uvaaji pete nyingi au kuna aina za pete ambazo ni shirki basi tueleze.
 
Nadhani wewe ndio ungetueleza hayo unayoyajua kuhusu hayo mapete kiasi cha kuzitilia mashaka, maana uvaaji pete si kitu cha ajabu ila kama wewe unajua kuhusu uvaaji pete nyingi au kuna aina za pete ambazo ni shirki basi tueleze.
Usijifanye mwehu humu, kuvaa mipete ya ajabu ni ushirikina tu hakuna maelezo zaidi ya hayo. usjitoe ufahamu na viswali vya kitoto hapa kutaka kuhalalisha ujinga huo. Kama unajuwa tusiyoyajuwa si useme tu kuzunguka kama umekuwa wakili wa utetezi ya nini. Mimi nasema mipete ya rangi za ajabu ni ushirikina.
 
kweli wewe ni mama mwajuma yaani unasimulia kitu ambacho hauna uhakika nacho kumbe reference yako ni Mohamed said? Hizo mali za waislamu unazotaja ziliporwa na nani?
Kama lengo lako ni matusi tafuta mtu mwengine akuelezee, kama lengo ni kupata elimu njoo kwa heshima.
 
Back
Top Bottom