Shekh Zuberi Mufti wa Tanzania ni wazi anahitaji msaada

Shekh Zuberi Mufti wa Tanzania ni wazi anahitaji msaada

BAKWATA sio waislamu
images(2).jpg
 
Hii nchi wagalatia wamejimilikisha, Na hakuna kikubwa wanachokiogopa zaidi ya Uislamu
Uislamu hauwezi kuogopwa hata kidogo kwasababu hata hao wapuuzi waislamu hawajawahi kuwa na umoja hii inatokana na kuwa akili zao ni fupi mno
 
Kasome Historia ya hii Nchi mkuu, kuanzia kutafuta Uhuru hadi hao walio tafuta uhuru kupigwa Pini. Hata kabla ya ujamaa na Azimio la Arusha, Tayari East Africa Muslim walfare ilibomolewa na kulazimishwa kutengenezwa Bakwata, wakachukuliwa Masheikh wa Tamta Tanga huko wakapewa Mali zote za waisilamu waendeshe wao na wale ambao walikua wasimamizi wa Mwanzo kukandamizwa, kufukuzwa nchini na kupewa Mateso na kesi kibao. EAMW walikuwa na Mali nyingi mno Hapa Dsm na ilikua Chini ya Aga khan kama sijakosea, Mohammed Said anaijua vizuri hii Historia.

So Bakwata ni CCM ya waisilamu, ni Chombo ambacho kipo kama danganya toto, wanapewa Vitu vyote vinavyohusu waisilamu kufaidisha matumbo yao na hawana time na maendeleo yoyote ya waisilamu. Kila sehemu unakuta migogoro Mali za waisilamu za wakfu zimeuzwa na wao wamo kupata migawo.
kweli wewe ni mama mwajuma yaani unasimulia kitu ambacho hauna uhakika nacho kumbe reference yako ni Mohamed said? Hizo mali za waislamu unazotaja ziliporwa na nani?
 
Wapi nimesema na elimu? Mimi sina elimu yoyote elimu yangu ni basic tu kama watu wengine. Nadhani nenda kaangalie timbwili huko youtube halafu uje hapa na mrejeo. Wewe unapigiwa simu saa saba usiku kesho asubuhi omba msamaha kabla ya swala ya Eid halafu unasema hakuna shida?
Sawa tumekuelewa hkn neno
 
Iko siku nikiwa kwenye darasa zao nitainuka na kuwauliza mipete kazi yake ni nini? Mimi binafsi nikiona mtu na mipete mikubwa utasema hirizi hapo hapo namdharau tu. Pete ya ndoa tu vaa lakini mahirizi hapana.
Huwa mnapenda kushambulia vitu ambavyo hamvielewi, Pete na hirizi wapi na wapi mara sijui majini.
 
Leo kwa bahati nzuri nimepitia sehemu nikakuta kuna issue ya msikiti wa Mtoro wakimuoba msamaha Mufti, nikataka kuangalia nini kimetokea tarehe 29 ya Ramadhan.

Nikarudi kutafuta clip nikaipata kumbe kuna Shekh msikitini alisahihisha kauli ya kidini aliyotoa siku alipoenda kufunga darsa wanaita "Busati" , Mufti alisema siku ya shaka ni 29 Ramadhan kwa maana hujui mwezi umeandama au hapana lakini baada ya kuondoka Shekh wa msikiti akasema kwa heshima tu Mufti ulimi umeteleza kidini imeandikwa siku ya shaka ni 30 sio 29. Bwana jamaa wakapigiwa simu saa 7 usiku watu wameshalala kuwa lazima waombe radhi msikitini kabla swala ya Eid kuanza na wakafanya hivyo.

Kwa maoni yangu Mufti ni kweli aliteleza lakini namuona ni mtu fulani anapenda kutukuzwa sana na yuko busy kupigania kitu kinaitwa mamlaka hata mambo ya mwezi alitumia dakika 15 kulilia mamlaka ya kutangaza mwezi kuwa ni yeye tu, sasa shida yote hii ya nini? yuko busy kutishia watu wanao pingana naye kielimu tu watu wakitaka kutoa matamko kwa kudai mamlaka hiyo ni yake tu lakini kikubwa kuliko yote, mtu ukiwa unashaka na elimu yako hujiamini basi unakuwa muoga kulinda kiti chako lakini kama elimu imejaa basi wala asingetafuta heshima kwa nguvu heshima ingemfuata tu. Mufti umekuwa muoga sana nini unaogopa? au unahisi wako watu nje huko wamekuzidi elimu kwa mbali sana. Mimi naamini kuwa Mufti ni lazima elimu yako iwe juu ya wengine hapo heshima itakuja tu automatic.
Ilimu ya kuran bila ilim ya mzungu ni hamna kitu
 
Leo kwa bahati nzuri nimepitia sehemu nikakuta kuna issue ya msikiti wa Mtoro wakimuoba msamaha Mufti, nikataka kuangalia nini kimetokea tarehe 29 ya Ramadhan.

Nikarudi kutafuta clip nikaipata kumbe kuna Shekh msikitini alisahihisha kauli ya kidini aliyotoa siku alipoenda kufunga darsa wanaita "Busati" , Mufti alisema siku ya shaka ni 29 Ramadhan kwa maana hujui mwezi umeandama au hapana lakini baada ya kuondoka Shekh wa msikiti akasema kwa heshima tu Mufti ulimi umeteleza kidini imeandikwa siku ya shaka ni 30 sio 29. Bwana jamaa wakapigiwa simu saa 7 usiku watu wameshalala kuwa lazima waombe radhi msikitini kabla swala ya Eid kuanza na wakafanya hivyo.

Kwa maoni yangu Mufti ni kweli aliteleza lakini namuona ni mtu fulani anapenda kutukuzwa sana na yuko busy kupigania kitu kinaitwa mamlaka hata mambo ya mwezi alitumia dakika 15 kulilia mamlaka ya kutangaza mwezi kuwa ni yeye tu, sasa shida yote hii ya nini? yuko busy kutishia watu wanao pingana naye kielimu tu watu wakitaka kutoa matamko kwa kudai mamlaka hiyo ni yake tu lakini kikubwa kuliko yote, mtu ukiwa unashaka na elimu yako hujiamini basi unakuwa muoga kulinda kiti chako lakini kama elimu imejaa basi wala asingetafuta heshima kwa nguvu heshima ingemfuata tu. Mufti umekuwa muoga sana nini unaogopa? au unahisi wako watu nje huko wamekuzidi elimu kwa mbali sana. Mimi naamini kuwa Mufti ni lazima elimu yako iwe juu ya wengine hapo heshima itakuja tu automatic.
Hivi mufti huwa ana bodyguard
Maana k
Akihutubia baraza LA eid Jana kuna mtu alisimama nyuma yake,
 

Mkuu,

Sijajua uelewa wako juu ya swala alilozungumza Mufti likoje. Kwa clip uliyoweka hapo ni kuhusu mamlaka ya kuatangaza swala la mwezi.

Kumbuka maswala haya yanategemea miandamo ya mwezi, kwahiyo ni sikukuu ambazo kiuhalisia hazina tarehe iliyo kamili. Sasa jiulize, mamlaka isingekuwepo ya kutangaza, maswala ya utendaji kazi wa taasisi mbalimbali ungekuwaje?, maana kutangazwa kwake kwa mfano kunatoa muelekeo wa kiutendaji kwa serikali na taasisi mbalimbali nchini, kwamba leo ni siku ya mapumziko naa itadumu kwa siku mbili mfano.


So swala la mwezi mnauonaje hilo tuwaachie wataalam, lakini mamlaka ya kutangaza ni muhimu. Vinginevyo itakuwa chaos
 
Leo kwa bahati nzuri nimepitia sehemu nikakuta kuna issue ya msikiti wa Mtoro wakimuoba msamaha Mufti, nikataka kuangalia nini kimetokea tarehe 29 ya Ramadhan.

Nikarudi kutafuta clip nikaipata kumbe kuna Shekh msikitini alisahihisha kauli ya kidini aliyotoa siku alipoenda kufunga darsa wanaita "Busati" , Mufti alisema siku ya shaka ni 29 Ramadhan kwa maana hujui mwezi umeandama au hapana lakini baada ya kuondoka Shekh wa msikiti akasema kwa heshima tu Mufti ulimi umeteleza kidini imeandikwa siku ya shaka ni 30 sio 29. Bwana jamaa wakapigiwa simu saa 7 usiku watu wameshalala kuwa lazima waombe radhi msikitini kabla swala ya Eid kuanza na wakafanya hivyo.

Kwa maoni yangu Mufti ni kweli aliteleza lakini namuona ni mtu fulani anapenda kutukuzwa sana na yuko busy kupigania kitu kinaitwa mamlaka hata mambo ya mwezi alitumia dakika 15 kulilia mamlaka ya kutangaza mwezi kuwa ni yeye tu, sasa shida yote hii ya nini? yuko busy kutishia watu wanao pingana naye kielimu tu watu wakitaka kutoa matamko kwa kudai mamlaka hiyo ni yake tu lakini kikubwa kuliko yote, mtu ukiwa unashaka na elimu yako hujiamini basi unakuwa muoga kulinda kiti chako lakini kama elimu imejaa basi wala asingetafuta heshima kwa nguvu heshima ingemfuata tu. Mufti umekuwa muoga sana nini unaogopa? au unahisi wako watu nje huko wamekuzidi elimu kwa mbali sana. Mimi naamini kuwa Mufti ni lazima elimu yako iwe juu ya wengine hapo heshima itakuja tu automatic.
Elimu...
 
Najuwa hilo lakini mzee Mufti hilo hataki anasema yeye ndio mwenye mamlaka na yuko busy kila mara kugombania mamlaka. Ndio kila mara akiitwa sehemu basi anahitaji sana kuitwa kwa majina ya kutukuzwa sijui mheshimiwa mkuu na makorokoro mengi kutukuzwa. Lakini yote mimi ya hawa jamaa kuvaa mipete kama waganga wa kienyeji mpaka leo sielewi ya nini yale? na sio Mufti wengi 95%, je hawa wanaamini kweli Mungu au nyuma ya pazia washirikina.
haya yoote ungeyaelekeza kwake mufti! kuja humu kutuambia sisi ni majungu ya kiwango cha PhD.. halafu utasema ulikuwa umefunga! hovyo kbs
 
Back
Top Bottom