jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Hizi dini zisitufanye kuwa wapumbavu jamani
Unaposema mbele ya waziri kisha unatambua waziri ni wa kike na hapo ni msikitini wanawake wana upande wao na wanaume pia hakuna mikhalafati(michanganyiko) unakusudia nini? Huwezi kuandika mada yako pasina kuandika uongo? PunguzaSasa wewe unachobishia ni nini? Hebu chagua hapa:
A. Huo ni msikiti au la?
B. Waziri wa Afya haruhusiwi kuingia msikitini?
C. Shehe kasema uwongo au ukweli?
Wanawake na wanaume ni kweli hawachanganyiki. Huoni wakati anamtaja Waziri aligeuka upande wa wanawake alikokuwa ameketi? Kusoma hujui hata picha unashindwa kuona? Acha ubishi wa kwenye vijiwe vya kahawa.Unaposema mbele ya waziri kisha unatambua waziri ni wa kike na hapo ni msikitini wanawake wana upande wao na wanaume pia hakuna mikhalafati(michanganyiko) unakusudia nini? Huwezi kuandika mada yako pasina kuandika uongo? Punguza
Watakagua kupitia vifaa vya kutoka ofisi za lumumba au nje ya nchiNimeicheki video.
Ameongea vema. Nami kidogo nimuhukumu kwa kufuata comments za baadhi ya watu. Mwisho kaweka wazi rai yake kwamba wataalam wetu wazikague vema chanjo na kujiridhisha kabla hazijaachwa zitumike na watu wetu. Hivyo kwa muktadha huo yupo sahihi.
Nyie ndiyo ambao hamjui mifumo ya kuendesha Nchi. Huwa mnafikiri vitu vinaingia nchini bila ya taratibu. Nendeni wizara ya afya mkaone jinsi vitengo vinavyofanya kazi kulinda afya za watanzania. Shame on youNimeicheki video.
Ameongea vema. Nami kidogo nimuhukumu kwa kufuata comments za baadhi ya watu. Mwisho kaweka wazi rai yake kwamba wataalam wetu wazikague vema chanjo na kujiridhisha kabla hazijaachwa zitumike na watu wetu. Hivyo kwa muktadha huo yupo sahihi.
Acha kujitoa ufahamu kana kwamba mgeni wa hii nchi wewe nyau. Kwahiyo mtu kutoa rai yake akasisitiza umakini na wahusika kufanya kazi yao vyema kuna ubaya? Ukisikiliza video hapingi chanjo ila amesema wanaomba mkazo wa kuthibitishwa kwa chanjo kutokana na vuguvugu linaloendelea la harakati za ushoga.Nyie ndiyo ambao hamjui mifumo ya kuendesha Nchi. Huwa mnafikiri vitu vinaingia nchini bila ya taratibu. Nendeni wizara ya afya mkaone jinsi vitengo vinavyofanya kazi kulinda afya za watanzania. Shame on you
Asilimia kubwa ya hao jamaa sijui Huwa wanawaza kwa kutumia nn? Kuna sehemu walishawahi kupinga mpaka hizi chanjo za watoto chini ya miaka mi5, ukija kwenye njia za uzaz wa mpango ndio hawataki kusikia kabisa wakat mwingine busata ni kuwaacha tu na maisha Yao.
Kama hausomi wewe kinyumenyume inakuuma nini? ujinga alioongea huyo mzee sote tumempinga.
Lakini kukuweka sawa sisi kipaumbele chetu si kutengeneza aspirin na panadol, hizo tengenezeni ninyi sisi tutatumia hakuna ubaya, wacha tuhangaike na kitabu chetu raha na furaha ya moyo tunayopata maishani tunaijua wenyewe, na tunamhimidi allah kwa neema ya Qur'an na sunnah.
"Na hiki ni Kitabu tulichokiteremsha kilichobarikiwa, basi kifuateni na muogopeni allah ili mpate kurehemewa."
Qur'an 6:155
Kwani wanawake hawaruhusiwi kuingia mskitini mkuu?
Nakushauri Soma Dini zote mbili uzielewe vizuriKwenye usilamu mwanamke ni kiumbe dhaifu na ni najisi kama nguruwe akiwa katika hezi zake,huo ndio uislamu dini ya haki,bila kusahau mwanamke ni chombo cha starehe kuanzia kwa mtume wao kulala na kibint kidogo hadi kwenye brothel ya akher ambapo watapewa mabikra 72,
Tuanze na tendeShehe mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja amesikika na kuonekana hadharani akipinga vikali chanjo ya malaria kwa watanzania kwa kuhofia kuwa huenda imechanganywa na homoni za ushoga. Alitamka maneno hayo mbele ya Waziri wa Afya, huku akishangiliwa na kutuzwa na waislamu wenzake waliohudhuria mhadhara huo. Waziri alikaa kimya bila kujibu chochote akiashiria kuwa amekubaliana na maoni ya shehe.
View attachment 2622866
Kitendo cha shehe huyo kukataa chanjo kinatokana na kushamiri vitendo vya kishoga siku za hivi karibuni ambapo mwanaharakati aitwaye Catherine Kahabi alizitaja hadharani taasisi zinazofadhili vitendo vya kishoga hapa nchini.
MAONI YANGU
Nawakubali sana waislamu kwa misimamo yao isiyoyumba, hasa pale unapotaka kuwachomea jambo au hoja kengeufu. Kama wakristo wangekuwa na misimamo isiyoyumba kama hii ya waislamu, nchi hii ingekuwa mbali sana kimaendeleo. Tatizo wakristo ni wapole sana. Mambo yanapokuwa magumu utawasikia wakisema: “Tunamuachia Mungu”. Waislamu hawana ujinga huo. Wakiamua kuwasha moto wanawasha kweli kweli bila kurudi nyuma mpaka kieleweke. Hapa ndipo waislamu na wakristo wanapotofautiana katika mambo ya muhimu na msingi katika ujenzi wa taifa letu tukufu.
Pia soma:
https://www.bbc.com/swahili/habari-58843546
Shehe mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja amesikika na kuonekana hadharani akipinga vikali chanjo ya malaria kwa watanzania kwa kuhofia kuwa huenda imechanganywa na homoni za ushoga. Alitamka maneno hayo mbele ya Waziri wa Afya, huku akishangiliwa na kutuzwa na waislamu wenzake waliohudhuria mhadhara huo. Waziri alikaa kimya bila kujibu chochote akiashiria kuwa amekubaliana na maoni ya shehe.
View attachment 2622866
Kitendo cha shehe huyo kukataa chanjo kinatokana na kushamiri vitendo vya kishoga siku za hivi karibuni ambapo mwanaharakati aitwaye Catherine Kahabi alizitaja hadharani taasisi zinazofadhili vitendo vya kishoga hapa nchini.
MAONI YANGU
Nawakubali sana waislamu kwa misimamo yao isiyoyumba, hasa pale unapotaka kuwachomea jambo au hoja kengeufu. Kama wakristo wangekuwa na misimamo isiyoyumba kama hii ya waislamu, nchi hii ingekuwa mbali sana kimaendeleo. Tatizo wakristo ni wapole sana. Mambo yanapokuwa magumu utawasikia wakisema: “Tunamuachia Mungu”. Waislamu hawana ujinga huo. Wakiamua kuwasha moto wanawasha kweli kweli bila kurudi nyuma mpaka kieleweke. Hapa ndipo waislamu na wakristo wanapotofautiana katika mambo ya muhimu na msingi katika ujenzi wa taifa letu tukufu.
Pia soma:
https://www.bbc.com/swahili/habari-58843546
Hatujui zinakotoka, zina nini au zinaweza kuchochea nini.Halafu mkuu hivi Sondoma na Gomora ilikuwa wapi hapa duniani?Kwani tende zinaingiaje kwenye chanjo mkuu?
Utaalamu na facts unaweza ukamzidi ila jambo lamsingi kabisa shekhee kuna jambo la msingi analisema asikikizwe na azingatiwe, wazungu wanaharibu vijana huo ndio ukweli na wamedhamiria kweli kweli, so wanaweza fanya lolote, wanajaribu kukontrol population kifala sana....Mkuu mimi nimeleta maoni ya shehe na aliyatamka mbele ya Waziri wa Afya. Sasa kama angekuwa hayuko sahihi mbona waziri alikaa kimya? Mimi na waziri nani mwenye facts na utaalamu zaidi?