Shekhe aipinga vikali chanjo ya malaria mbele ya Waziri wa Afya, kisa ushoga; hamuogopi mtu yeyote!

Shekhe aipinga vikali chanjo ya malaria mbele ya Waziri wa Afya, kisa ushoga; hamuogopi mtu yeyote!

Mkuu mimi nimeleta maoni ya shehe na aliyatamka mbele ya Waziri wa Afya. Sasa kama angekuwa hayuko sahihi mbona waziri alikaa kimya? Mimi na waziri nani mwenye facts na utaalamu zaidi?
Nadhani kwavile tuna laboratory ya mkemia mkuu wa serikali ni bora hizo chanjo akapelekewa azichunguze tuondoe ubishi! Au vp
 
Utaalamu na facts unaweza ukamzidi ila jambo lamsingi kabisa shekhee kuna jambo la msingi analisema asikikizwe na azingatiwe, wazungu wanaharibu vijana huo ndio ukweli na wamedhamiria kweli kweli, so wanaweza fanya lolote, wanajaribu kukontrol population kifala sana....
Una kiwango gani Cha elimu
 
Hatujui zinakotoka, zina nini au zinaweza kuchochea nini.Halafu mkuu hivi Sondoma na Gomora ilikuwa wapi hapa duniani?
Mwambie kabisa. Kwani tende na nyama ya ngamia Huwa zinatoka wapi na Huwa Zina virutubisho au hormones gani. Na wengi Huwa wanafurahi wanapoletewa manukato au kanzu kutoka Arabia. Je Huwa hawajiulizi kama wamepandikiza vishawishi gani
 
Acha kujitoa ufahamu kana kwamba mgeni wa hii nchi wewe nyau. Kwahiyo mtu kutoa rai yake akasisitiza umakini na wahusika kufanya kazi yao vyema kuna ubaya? Ukisikiliza video hapingi chanjo ila amesema wanaomba mkazo wa kuthibitishwa kwa chanjo kutokana na vuguvugu linaloendelea la harakati za ushoga.
Bado nasema. Wewe ni miongoni mwa elimu ahera. Jaribu kidogo kujifunza jinsi serikali inavyo fanya kazi. Halafu weka ushahidi kuonyesha kwamba wewe siyo mgeni wa Nchi hii na unajua vitu vingi vya hovyo vinaingia nchi Kwa kuonyesha ushahidi.
 
Bado nasema. Wewe ni miongoni mwa elimu ahera. Jaribu kidogo kujifunza jinsi serikali inavyo fanya kazi. Halafu weka ushahidi kuonyesha kwamba wewe siyo mgeni wa Nchi hii na unajua vitu vingi vya hovyo vinaingia nchi Kwa kuonyesha ushahidi.
We taahira kweli nani kakuambia mimi muislam? Kwahiyo ukiunga hoja kwa sababu ni suala la dini basi una generalise kwamba huyo mtu wa dini hiyo. Unaona usivyo na akili. Kiazi kweli wewe. Mimi nasifu na kukosoa neno la kiongozi wa imani yoyote hata ikiwa za mizimu.

Halafu hujui kuandika neno inavyofanya haturuki nafasi wewe kiazi. Na sio hovyo ni ovyo. Lugha tu inakushinda. Makosa mjazo.
 
We taahira kweli nani kakuambia mimi muislam? Kwahiyo ukiunga hoja kwa sababu ni suala la dini basi una generalise kwamba huyo mtu wa dini hiyo. Unaona usivyo na akili. Kiazi kweli wewe. Mimi nasifu na kukosoa neno la kiongozi wa imani yoyote hata ikiwa za mizimu.

Halafu hujui kuandika neno inavyofanya haturuki nafasi wewe kiazi. Na sio hovyo ni ovyo. Lugha tu inakushinda. Makosa mjazo.
Yaani Sasa ndiyo kabisa umeonyesha elimu ahera na hata kiswahili hukusoma. Yaani unaandika jinsi unavyotamka eti ovyo . Labda ya kamusi ya elimu ahera inatumia neno ovyo badala ya hovyo. Bado unatakiwa utoe ushahidi kuonyesha kuwa nchini Tanzania Huwa kunaingia vitu vya hovyo na mamlaka zimelala. Ukishindwa kutaja ni lazima uwajibishwe Kwa uchochozi
 
Tatizo kubwa katika nchi hii ni Ujinga. Na huu Ujinga ndio ambao unamfanya mtu aibuke na hoja kama hii bila kuweka ushahidi wa kitaalamu. Huu upumbavu miaka na miaka watu wanaibuka nao. Kuna chanjo za tetekuwanga watu walisema hivi, kuna. Tetenus, kuna polio, kuna pepopunda, kuna TB. Na Wakristo wakianza kuwa wapumbavu hivi sasa Tanzania si itakuwa ya ajabu sana? Of course wapo wapumbavu. Hebu na wewe elimika kidogo. Weka hapa ushahidi kuwa hizo zina hormones za ushoga. Yaani nyie muamue kuwa mashoga msingizie chanjo? Mashoga wapi since 1990s mimi nawafahamu hawakuwahi kuwa hata na TV wala magazeti toka ulaya.
Huo ushoga umeanza leo?!!!
 
Yaani Sasa ndiyo kabisa umeonyesha elimu ahera na hata kiswahili hukusoma. Yaani unaandika jinsi unavyotamka eti ovyo . Labda ya kamusi ya elimu ahera inatumia neno ovyo badala ya hovyo. Bado unatakiwa utoe ushahidi kuonyesha kuwa nchini Tanzania Huwa kunaingia vitu vya hovyo na mamlaka zimelala. Ukishindwa kutaja ni lazima uwajibishwe Kwa uchochozi
Sawa nimekosea ni hovyo sio ovyo. Ila wewe kiazi una makosa elfu. Umeandika kiswahili kwa herufi ndogo ndio unafundishwa hivyo kiazi? Mimi nime-admit kosa. Wewe kiazi hujakubali makosa yako elfu mengine ya sarufi kiazi mbatata.

Nenda ukawape masaburi serikali yako. Chawa mkubwa.
 
Sawa nimekosea ni hovyo sio ovyo. Ila wewe kiazi una makosa elfu. Umeandika kiswahili kwa herufi ndogo ndio unafundishwa hivyo kiazi? Mimi nime-admit kosa. Wewe kiazi hujakubali makosa yako elfu mengine ya sarufi kiazi mbatata.

Nenda ukawape masaburi serikali yako. Chawa mkubwa.
Umeshindwa kuthibitisha uzembe wa serikali unaleta mambo ya lugha. Kwanini unataka kukimbia mada. Tabia ya kujifanya unajua wakati hujui lolote ni sehemu ya mapungufu ya afya akili. Huo uchochezi wako lazima uuthibitishe Kwa njia yeyote ile
 
Wewe utakua una shida sehemu kila mtu uko kinyume naye. Njoo upakwe mafuta ya baraka utoe huo uchafu ulionao kwenye hilo tofali unalotembea nalo.
Jibu hoja acha kuhamisha mada. Great thinkers Huwa wanajibu hoja
 
Wewe utakua una shida sehemu kila mtu uko kinyume naye. Njoo upakwe mafuta ya baraka utoe huo uchafu ulionao kwenye hilo tofali unalotembea nalo.
Huyo jamaa ndio wale wajuaji, yan hata mtaani akiona mtu anasema kitu cha ukweli sababu tu kipo against na mtawala basi ni kosa, what a stupid guy, yan ndio mijitu mingine ya ccm ilivyo, huwa ni bendera fata upepo, ukihoji anajifanya anakimbikia kwenye elimu 😂😂😂, wasomi wakuunga unga bwana wanamatatizo sana... Kijijin kwao atakuwa kasoma pekeake so atakachosema yeye ndio kauli ya mwisho, hataki kuwa challenged, sasa kwa huku haiwezekan, watu wana akili timamu. Tumesoma shule alafu tukaelimika...
Wewe utakua una shida sehemu kila mtu uko kinyume naye. Njoo upakwe mafuta ya baraka utoe huo uchafu ulionao kwenye hilo tofali unalotembea nalo.
 
Huyo jamaa ndio wale wajuaji, yan hata mtaani akiona mtu anasema kitu cha ukweli sababu tu kipo against na mtawala basi ni kosa, what a stupid guy, yan ndio mijitu mingine ya ccm ilivyo, huwa ni bendera fata upepo, ukihoji anajifanya anakimbikia kwenye elimu [emoji23][emoji23][emoji23], wasomi wakuunga unga bwana wanamatatizo sana... Kijijin kwao atakuwa kasoma pekeake so atakachosema yeye ndio kauli ya mwisho, hataki kuwa challenged, sasa kwa huku haiwezekan, watu wana akili timamu. Tumesoma shule alafu tukaelimika...
Jibu hoja badala ya kunishambulia. Shule ya elimu ahera usichanganye na elimu dunia. Mpaka hapo hujui hormones ni nini. Muwe mnaacha kuchangia kwenye mada zilizowazidi uwezo
 
Jibu hoja badala ya kunishambulia. Shule ya elimu ahera usichanganye na elimu dunia. Mpaka hapo hujui hormones ni nini. Muwe mnaacha kuchangia kwenye mada zilizowazidi uwezo
We jamaa huna akili na huwez kuwa nazo hata siku moja, yan me nisijue hormones ni nini?
 
Back
Top Bottom