TANZIA Shekhe Basaleh Afariki Dunia. Aliitetea vyema imani akiwa mwanzuoni

TANZIA Shekhe Basaleh Afariki Dunia. Aliitetea vyema imani akiwa mwanzuoni

Lengo lilikuwa ni lipi? Achana na petty ißues katika dunia.
Kwani mkuu kila chenye kufanyika shuleni kinahusu kukuza elimu? Shuleni kunafundishwa hadi nidhamu na usafi, suala la hijabu ni suala la kiimani kitu ambacho kinaweza kuwa sio muhimu kwako ila muhimu ni kuheshimu na kuvumiliana tunaishi kwa kutofautiana imani na mitazamo.

Hivyo sioni sababu ya wewe kuwa na ghadhabu labda kama itakuwa hijabu hushusha kiwango cha elimu cha wanafunzi wa kike.
 
Kwani mkuu kila chenye kufanyika shuleni kinahusu kukuza elimu? Shuleni kunafundishwa hadi nidhamu na usafi, suala la hijabu ni suala la kiimani kitu ambacho kinaweza kuwa sio muhimu kwako ila muhimu ni kuheshimu na kuvumiliana tunaishi kwa kutofautiana imani na mitazamo.

Hivyo sioni sababu ya wewe kuwa na ghadhabu labda kama itakuwa hijabu hushusha kiwango cha elimu cha wanafunzi wa kike.
Shuleni tunakwenda kujifunza issue that can not be attained at home! Usafi, nidhamu vyote vinaweza kufanyika nyumbani bila formal schooling, but chemistry, physics, biology, "advanced" maths and the like not at home.
Nakumbuka rafiki yangu mkubwa Muislamu alisherehekea sana hilo na swali langu lilikuwa hilo hilo.... alilijibu kama ulivyojibu!
 
Shuleni tunakwenda kujifunza issue that can not be attained at home! Usafi, nidhamu vyote vinaweza kufanyika nyumbani bila formal schooling, but chemistry, physics, biology, "advanced" maths and the like not at home.
Nakumbuka rafiki yangu mkubwa Muislamu alisherehekea sana hilo na swali langu lilikuwa hilo hilo.... alilijibu kama ulivyojibu!
Hata huo usafi na nidhamu wa kujifunzia nyumbani bado tutahitaji kuuona kivitendo kwenye jamii ikiwemo huko mashuleni, hivyo kuvaa hijabu halikuwa suala la kuhusu elimu hadi uulize limekuza vp elimu.
 
Huyu Shehe alikuwa na itikadi kali sana,aende anakostahili!Amen
Hakuwa Mnafiki

Alimchana za uso wazi wazi Hayati Benjamin Mkapa alipopewa fursa ya kuzungumza nae 2004 wakati wa Hafla ya uzinduzi wa Chuo kikuu cha Waislam Morogoro kwny Ukumbi wa Diamond jubilee

tena akujua Mkapa ni Mtu wa Riwaya nae akatumia Riwaya za Shaaban Robert kutengeneza hoja baadae akamsagia live live hadi waliompa kipaza sauti walitamani kumpora

Pengine hakuna Mtanzania mwingine kishawahi hili zaid yake

Mungu ampokee Mwanazuoni mahiri
 
Shuleni tunakwenda kujifunza issue that can not be attained at home! Usafi, nidhamu vyote vinaweza kufanyika nyumbani bila formal schooling, but chemistry, physics, biology, "advanced" maths and the like not at home.
Nakumbuka rafiki yangu mkubwa Muislamu alisherehekea sana hilo na swali langu lilikuwa hilo hilo.... alilijibu kama ulivyojibu!
Shule za kata zimeharibu ubongo wako ndio sababu unahisi masuala ya usafi, nidhamu n.k hayafundishwi shule

Wenzio shule tulizosoma tulifundishwa hadi namna ya kupiga mpira, kufagia, kushika kijiko wakati wa kula, namna ya kunyanyua mkono ukipeleka chakula kinywani …Mwalimu wa shule ya kata hana muda huo kwa stress za marejesho ndio sababu unahisi umepelekwa shule kujifunza namna ya kurusha pendulum kwny Physics na kuchora Panzi
 
Hakuwa Mnafiki

Alimchana za uso wazi wazi Hayati Benjamin Mkapa alipopewa fursa ya kuzungumza nae 2004 wakati wa Hafla ya uzinduzi wa Chuo kikuu cha Waislam Morogoro kwny Ukumbi wa Diamond jubilee

tena akujua Mkapa ni Mtu wa Riwaya nae akatumia Riwaya za Shaaban Robert kutengeneza hoja baadae akamsagia live live hadi waliompa kipaza sauti walitamani kumpora

Pengine hakuna Mtanzania mwingine kishawahi hili zaid yake

Mungu ampokee Mwanazuoni mahiri
Alikuwa na elimu gani,tunaweza pata cv yake?
 
Back
Top Bottom