TANZIA Shekhe Basaleh Afariki Dunia. Aliitetea vyema imani akiwa mwanzuoni

Unaposema alitetea sana dini, he sekuelewi inamaana kuna watu walikuwa wanaipinga hiyo dini yake?
 
Ndio mwalimu wa waislamu na sheikh Mwaipopo? Ndio alikuwa akifundisha kuwa bandari iuzwe kwa warabu ni ndugu zao? Ndio alifundisha kuteua Wazanzibar na kubagua wabara? Alale mahali anapostahili. RIP mwanazuoni


إذا لم يقبل يسوع المسيح ، فسيواجه موقفًا صعبًا للغاية
 
Pumzika kwa Amani sheikh
 
Pole kwa wafiwa wote.
 
aliwahi kumpa za uso rais mkapa na yeye yupo nae katika uzinduzi wa chuo cha waislamu morogoro alimpaka kwelikweli na pia tajiri mengi alijifanya mjuaji alikuta na ba saleh mengi akasema atampeleka mahakamani ba saleh akamwambia nakusubiri huko huko kama utanishida mengi alisarenda
 
Una clip?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…