Haiingii akilini hiiHuyo shelutete ni fisadi mkubwa ni sawa alivyoondolewa
Pascal Shelutete amewekeza mabilioni aliyoyatoa TanapaShirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limetangaza ukomo wa utumishi wa maofisa wake wawili kwa sababu ambazo ufanya hivyo (kueleza sababu) tutawaambia, lakini for now (kwa sasa) tuna hilo tangazo tu,” amesema Mbena
Uhujumu upi? Alifanya nini tuambie..Sababu ni uhujumu kwa serikali na usaliti kwa nchi
Msambaa wamejazana San tanapa kipindi Cha Dr kijaziDaaaah ila Shulutete alikuwa miyeyusho sana
Ufisad upi amaeshiriki ..tatizo Happ hkn hat kakijan wa tanapa atupe za ndani ndani wote tunaokoment Happ hatuna kazi za serekali nimenotice hiloHuyo shelutete ni fisadi mkubwa ni sawa alivyoondolewa
Mleta tarifa umeingia mitiniShirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limetangaza ukomo wa utumishi wa maofisa wake wawili kwa sababu ambazo hazijawekwa bayana.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa umma, watumishi hao ni Kamishna Mwandamizi wa Uhifadhi, Pascal Shelutete na Ofisa Uhifadhi Mwandamizi, Justin Lema na kwamba utumishi wao umekoma kuanzia Septemba 15, 2022.
“Uongozi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania unaujulisha umma wa Watanzania na wadau wote wa uhifadhi na utalii kuwa waliokuwa watumishi waandamizi wa TANAPA, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhifadhi, Pascal Shelutete na Ofisa Uhifadhi Mwandamizi, Justin Lema, utumishi wao umekoma kuanzia Septemba 15, 2022.
“Shirika halitahusika na jambo lolote watakalojihusisha nalo kwa niaba ya shirika,” inaeleza taarifa hiyo ambayo hata hivyo haijabainisha sababu za kukoma kwa utumishi wao.
Mwananchi lilimtafuta Ofisa Uhifadhi Mwandamizi wa Tanapa anayeshughulika na Mawasiliano, Catherine Mbena kujua sababu za kukoma kwa utumishi wa maofisa hao, hata hivyo hakuwa tayari kuzungumzia sababu hizo akidai kwamba shirika halijataka kuweka bayana.
“Tukiwa tunataka kufanya hivyo (kueleza sababu) tutawaambia, lakini for now (kwa sasa) tuna hilo tangazo tu,” amesema Mbena
Afisa habari anahusika vipi na mambo ya vibaliHawa walizuia kuruhusu vibali vya kusafirisha wanyama uarabuni.Nimeamini ukiwa mwema kwenye hii serikali utaishia kufukuzwa.Sisi wana Tanapa tumeumizwa sana na wazalendo wenzetu kufukuzwa
Ajabu sababu ya kuondolewa kwao inafichwa.
watakuwa wameonewa tuBila kutaja sababu ina maana mnalea uovu
Madhara ya TANAPA KUJIUNGA KUWA JESHI USU NDIO HAYA. Mtumishi unafukuzwa kijeshi.Pascal Shelutete amewekeza mabilioni aliyoyatoa Tanapa
Lete Maneno.....Shelutete ni mwizi mkubwa
Kuna hotel moja huko kilimanjsro , moshi mjini alikuwa anakwenda kuchukua invoice za madai ya mikutano, kulala na ukumbi . Bila hata kuwepo kwa mikutano ili akuchukue fedha TanapaLete Maneno.....
Ndugu Zangu Majizi Yapo Hata CcmKuna hotel moja huko kilimanjsro , moshi mjini alikuwa anakwenda kuchukua invoice za madai ya mikutano, kulala na ukumbi . Bila hata kuwepo kwa mikutano ili akuchukue fedha Tanapa
CCM usinikumbushe ni mchwaNdugu Zangu Majizi Yapo Hata Ccm
Alikuwa Ananenepesha Ng'ombe Siku Ya Mnada Sasa Ameharisha Hauziki