Shelutete na Lema wang'olewa TANAPA

Huyo shelutete ni fisadi mkubwa ni sawa alivyoondolewa
Haiingii akilini hii
Ingekua ndo sababu S/Kali ingesema kujisifia upgaj kazi wake

Ila hapa itakua Wameziba Wale kina Somalia Wamerudi kazini kuchukua vyao
 
Mleta tarifa umeingia mitini

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hawa walizuia kuruhusu vibali vya kusafirisha wanyama uarabuni.Nimeamini ukiwa mwema kwenye hii serikali utaishia kufukuzwa.Sisi wana Tanapa tumeumizwa sana na wazalendo wenzetu kufukuzwa
Afisa habari anahusika vipi na mambo ya vibali
 
Hukawii kusikia wamainglia wa nyama kinyume cha maumbe na bila hiari
 
Lete Maneno.....
Kuna hotel moja huko kilimanjsro , moshi mjini alikuwa anakwenda kuchukua invoice za madai ya mikutano, kulala na ukumbi . Bila hata kuwepo kwa mikutano ili akuchukue fedha Tanapa
 
Kuna hotel moja huko kilimanjsro , moshi mjini alikuwa anakwenda kuchukua invoice za madai ya mikutano, kulala na ukumbi . Bila hata kuwepo kwa mikutano ili akuchukue fedha Tanapa
Ndugu Zangu Majizi Yapo Hata Ccm

Alikuwa Ananenepesha Ng'ombe Siku Ya Mnada Sasa Ameharisha Hauziki
 
Ila adhabu za vigogo raha sana, unapigwa chini kazi lakini hawachukui hata senti yako wala kukufunga, ila nesi angeiba panado hospitali shughuli yake angeiona aisee
 
Mchakato Umewaponza Hasa Kiongozi Mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…