Mchakato ganiMchakato Umewaponza Hasa Kiongozi Mpya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchakato ganiMchakato Umewaponza Hasa Kiongozi Mpya
Paschal gani huyo, unamaanisha Paschal Mayalla au mwingine?...Mbona Paschal alikuwa mahiri kuipigania serkali na chama tawala?? Paschal alianza lini usaliti?? Am shocked
Hapo CCM imehusikaje?CCM usinikumbushe ni mchwa
LEMA NI MKAGUZI WA NDANI NA SHELUTETE NI CORPORATE PERSON.....NINAJUA WATU WANAJISAFISHA LAKINI KWA HILI WATAJICHAFUA .....NGOJA TUONEShirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limetangaza ukomo wa utumishi wa maofisa wake wawili kwa sababu ambazo hazijawekwa bayana.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa umma, watumishi hao ni Kamishna Mwandamizi wa Uhifadhi, Pascal Shelutete na Ofisa Uhifadhi Mwandamizi, Justin Lema na kwamba utumishi wao umekoma kuanzia Septemba 15, 2022.
“Uongozi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania unaujulisha umma wa Watanzania na wadau wote wa uhifadhi na utalii kuwa waliokuwa watumishi waandamizi wa TANAPA, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhifadhi, Pascal Shelutete na Ofisa Uhifadhi Mwandamizi, Justin Lema, utumishi wao umekoma kuanzia Septemba 15, 2022.
“Shirika halitahusika na jambo lolote watakalojihusisha nalo kwa niaba ya shirika,” inaeleza taarifa hiyo ambayo hata hivyo haijabainisha sababu za kukoma kwa utumishi wao.
Mwananchi lilimtafuta Ofisa Uhifadhi Mwandamizi wa Tanapa anayeshughulika na Mawasiliano, Catherine Mbena kujua sababu za kukoma kwa utumishi wa maofisa hao, hata hivyo hakuwa tayari kuzungumzia sababu hizo akidai kwamba shirika halijataka kuweka bayana.
“Tukiwa tunataka kufanya hivyo (kueleza sababu) tutawaambia, lakini for now (kwa sasa) tuna hilo tangazo tu,” amesema Mbena
View attachment 2367706
Jamani hii issue ni magumashi matupu na kuna watu hapa wamebambikizwa ile wanasema funika kombe mwanaharamu apite, kwanza ni waambie tu mmoja hapa ni lema ambaye ni mkaguzi wa ndani mahiri sana, kwenye hili mwakilema alishauriwa na wabaya wake lema amwondoe ili maisha yawe mazuri mie niko ndani sana ya taasisi na nilijaribu kuelezea toka mwanzo hili walau mamlaka za juu zaidi ziweze kuingilia, lakini sasa naona watu wema wanadhulumiwa bila sababu.Ajabu sababu ya kuondolewa kwao inafichwa.
someni hii kitu mfanye uchambuzi vizuriShirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limetangaza ukomo wa utumishi wa maofisa wake wawili kwa sababu ambazo hazijawekwa bayana.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa umma, watumishi hao ni Kamishna Mwandamizi wa Uhifadhi, Pascal Shelutete na Ofisa Uhifadhi Mwandamizi, Justin Lema na kwamba utumishi wao umekoma kuanzia Septemba 15, 2022.
“Uongozi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania unaujulisha umma wa Watanzania na wadau wote wa uhifadhi na utalii kuwa waliokuwa watumishi waandamizi wa TANAPA, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhifadhi, Pascal Shelutete na Ofisa Uhifadhi Mwandamizi, Justin Lema, utumishi wao umekoma kuanzia Septemba 15, 2022.
“Shirika halitahusika na jambo lolote watakalojihusisha nalo kwa niaba ya shirika,” inaeleza taarifa hiyo ambayo hata hivyo haijabainisha sababu za kukoma kwa utumishi wao.
Mwananchi lilimtafuta Ofisa Uhifadhi Mwandamizi wa Tanapa anayeshughulika na Mawasiliano, Catherine Mbena kujua sababu za kukoma kwa utumishi wa maofisa hao, hata hivyo hakuwa tayari kuzungumzia sababu hizo akidai kwamba shirika halijataka kuweka bayana.
“Tukiwa tunataka kufanya hivyo (kueleza sababu) tutawaambia, lakini for now (kwa sasa) tuna hilo tangazo tu,” amesema Mbena
View attachment 2367706
Labda walivurugana kwenye ule ugawaji wa campsites! Kinachoendelea mle TANAPA ni balaa tu!Walihujumu nini?? Mbona Paschal alikuwa mahiri kuipigania serkali na chama tawala?? Paschal alianza lini usaliti?? Am shocked
Kamsomeni Kigogo utapata muendelezoRushwa na wizi wa kupindukia