Shelutete na Lema wang'olewa TANAPA

LEMA NI MKAGUZI WA NDANI NA SHELUTETE NI CORPORATE PERSON.....NINAJUA WATU WANAJISAFISHA LAKINI KWA HILI WATAJICHAFUA .....NGOJA TUONE
 
Ajabu sababu ya kuondolewa kwao inafichwa.
Jamani hii issue ni magumashi matupu na kuna watu hapa wamebambikizwa ile wanasema funika kombe mwanaharamu apite, kwanza ni waambie tu mmoja hapa ni lema ambaye ni mkaguzi wa ndani mahiri sana, kwenye hili mwakilema alishauriwa na wabaya wake lema amwondoe ili maisha yawe mazuri mie niko ndani sana ya taasisi na nilijaribu kuelezea toka mwanzo hili walau mamlaka za juu zaidi ziweze kuingilia, lakini sasa naona watu wema wanadhulumiwa bila sababu.





Kuna siku nitaweka mwenendo wa kesi nzima na cooked evidence zao mtashangaa ila ngoja tusubiri kwanza. Kuna watu wamestaafu hapa na wako kwa mikataba(CIA, director of finance na chief engineer) wananunua mahotel kwa hela za kuchukua ofisini wanaogopa kuwa huyu mkaguzi atakuwa threat kwao in their absence.


Mimi niombe tu Mhe. Rais, VP au PM waingilie ili swala wamuite lema awafungukie mambo otherwise good people wanaumizwa sana hapa TANAPA. Naawambia this guy is good unbelievable.


Jiulize kwanini TANAPA HAWAWEKI WAZI KISA CHA KUWAONDOA? Na wanatumia polisi, takukuru na vyombo vingine kumtisha, hakika hiki ni kilio kwa watu wote wema nchi hii. Kwa heshima na tahadhima Mhe. Rais, VP au PM tumieni uwezo wenu kutoa haki hapa. Na issue yenyewe imeanzia hapa
 
someni hii kitu mfanye uchambuzi vizuri
https://www.jamiiforums.com/threads/public-funds-are-stolen-from-million-to-single-digit-billion-currently.1961194/

https://www.jamiiforums.com/threads/je-ni-sahihi-kwa-watumishi-wa-umma-waliofikisha-umri-wa-kustaafu-kuongezewa-mkataba.1950009/page-4#post-41757611

https://www.jamiiforums.com/threads/dear-controller-and-auditor-general-cag-take-note-on-this.1965530/
 
Walihujumu nini?? Mbona Paschal alikuwa mahiri kuipigania serkali na chama tawala?? Paschal alianza lini usaliti?? Am shocked
Labda walivurugana kwenye ule ugawaji wa campsites! Kinachoendelea mle TANAPA ni balaa tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…