Shemeji 3 wamehamia kwangu, wanavaa ovyo kunitega?

Shemeji 3 wamehamia kwangu, wanavaa ovyo kunitega?

1. Wadogo wa kike wa mke wangu Ni kama wamehamia kwangu kiaina. Walikuja kumtembelea dada yao toka Disemba 2023 Ila naona hawaondoki.

2. Vaa Yao ndo inaniacha njia panda, nawaza niruke nao Kama ilivyokua kwa siri kwa Shangazi wa mke wangu (Oktoba 2023) au nikaushe tu? maana mashallah, mkia si haba. Kama mnavyofahamu Kondoa si haba kwa rangi adhimu, mkia na sura.

ENDELEA NA HIZI NJOZI. UKIKUA UTAGUNDHA UNACHOWAZA SI UHALISIA. SHULE SI ZINEFUNGULIWA LEO? AU UNAENDA NEXT MONDAY? SHEMEJI YAKO ATACHOKA KUMLISHA DADA YAKO NA WEWE PIA.
 
Mwambie mke wako nampa pole

Mwanaume anayejitambua angemuita mke wake chumbani na kumwambia "Sitaki kuwaona wadogo zako wakivaa uchi nyumbani kwangu'
Kumbe una akili sasa kwa nn ukampenda chawaaaa 🤣🤣🤣
Mwambie mke wako nampa pole

Mwanaume anayejitambua angemuita mke wake chumbani na kumwambia "Sitaki kuwaona wadogo zako wakivaa uchi nyumbani kwangu'
Kumbe una akili sasa kwa nn ukampenda chawa🤣🤣🤣
 
Kuwa mwnaume kaka usiwe mvulana. Nini maana yake. Mwnaume anafikiri matokeo ya akifanyacho mvulana hajali kitu ilimradi alikojoa. Una mke mweshimu, kma unahis unakwazika watafutieni kazi au warudi kwao. Story za kijiweni wahuni watakujaza "kula baba,walee" ila hakuna siri wakianza kutemeana nyongo (wao kwa wao, juu ya wivu)ikijulikana mzee baba unalo. Mkeo anaweza kusamehe baad ya kujua ila "Uaminifu "ukimtoka juu yako,kukusaliti ni jambo rahis sana.
 
Lazima kuna wadau wanakushauri uwalale mashemeji. Kuna Dr mmoja very respectful kwa nje, siku tunapiga saga akaanza kusifia shemeji yake ana nundu hatari...tukacheeeka, siku kaja amelewa akaanza kusema lazima atimize jambo lake, tukasema pombe imefichua yaliyokuwa moyoni.
 
Yaani hadi leo watu wanaenda kukaa kwa mashemeji.Hao watakuwa hawana ndoa na ndio maana wamekuja kwako kupunguza mawazo kwanza ili wapange mbinu za kutafuta ndoa. Hizi tabia za kukaa kwa mashemeji huwa naona ni ujinga tu,hata kukaa kwenye nyumba ya ndugu,utamsikia nina nyumba naomba ukkakae kwenye nyumba yangu..
Vijana kabla hamjaoa chunguzeni kwanza ukoo wa mwanamke uko vipi
 
Lazima kuna wadau wanakushauri uwalale mashemeji. Kuna Dr mmoja very respectful kwa nje, siku tunapiga saga akaanza kusifia shemeji yake ana nundu hatari...tukacheeeka, siku kaja amelewa akaanza kusema lazima atimize jambo lake, tukasema pombe imefichua yaliyokuwa moyoni.
Mkuu. Shida ni kuwa tunapangwa sana na wadau(washkaji) mara weka heshima km mwnaume ila siku yanakurudia unaumbuka mwenyewe halafu ndio hao hao watasema yule jamaa mpuuzi sana analala washemeji zake. Kikubwa akili kumkichwa. Shemeji wanapaswa waone wivu unavyompenda dada yao sio wivu kisa nao wanaliwa kama dada yao.mwisho wa siku dharau.
 
1. Wadogo wa kike wa mke wangu Ni kama wamehamia kwangu kiaina. Walikuja kumtembelea dada yao toka Disemba 2023 Ila naona hawaondoki.

2. Vaa Yao ndo inaniacha njia panda, nawaza niruke nao Kama ilivyokua kwa siri kwa Shangazi wa mke wangu (Oktoba 2023) au nikaushe tu? maana mashallah, mkia si haba. Kama mnavyofahamu Kondoa si haba kwa rangi adhimu, mkia na sura.
Tunasubiri mrejesho ndugu mh
 
Back
Top Bottom