t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Ndoa haifi kirahisi hivo siku hizi! There is scarcity of men out there, na wanawake ni kama wame adopt utaratibu wa ku survive kwenye ndoa, hata mahusiano😅😅😅 Ruka nao tu. Ila soon ndoa yako nayo itaruka
Mwanaume ndo anaua ndoa siku hizi