Shemeji 3 wamehamia kwangu, wanavaa ovyo kunitega?

Shemeji 3 wamehamia kwangu, wanavaa ovyo kunitega?

1. Wadogo wa kike wa mke wangu Ni kama wamehamia kwangu kiaina. Walikuja kumtembelea dada yao toka Disemba 2023 Ila naona hawaondoki.

2. Vaa Yao ndo inaniacha njia panda, nawaza niruke nao Kama ilivyokua kwa siri kwa Shangazi wa mke wangu (Oktoba 2023) au nikaushe tu? maana mashallah, mkia si haba. Kama mnavyofahamu Kondoa si haba kwa rangi adhimu, mkia na sura.
ebwanaeee kama uliruka na shangazi ambae ni sawa na Baba wa Mkeo nashauri hao shemeji zako uruke nao at your own risk
 
Watatu wote? Umeoa singida au mbeya?
Jikaze, bado na mama mkwe akipata nauli tu utamuona
Kwahiyo watu wa Singida na Mbeya ndo walivyo ili nioe huko kabisa? Unajua michepuko ya ndani haina gharama wala usumbufu!! Sema Andrew123 mi ningekuwa ndo huyo mkweo ningekugongea mtu ambae usingenisahau kamwe kwa sababu haiwezekani Binti yangu umgonge na dada yangu pia umgonge halafu mie nisikutafunie viumbe wa damu kutoka familia yako!
 
1. Wadogo wa kike wa mke wangu Ni kama wamehamia kwangu kiaina. Walikuja kumtembelea dada yao toka Disemba 2023 Ila naona hawaondoki.

2. Vaa Yao ndo inaniacha njia panda, nawaza niruke nao Kama ilivyokua kwa siri kwa Shangazi wa mke wangu (Oktoba 2023) au nikaushe tu? maana mashallah, mkia si haba. Kama mnavyofahamu Kondoa si haba kwa rangi adhimu, mkia na sura.
usiwe na tamaa kaka
 
1. Wadogo wa kike wa mke wangu Ni kama wamehamia kwangu kiaina. Walikuja kumtembelea dada yao toka Disemba 2023 Ila naona hawaondoki.

2. Vaa Yao ndo inaniacha njia panda, nawaza niruke nao Kama ilivyokua kwa siri kwa Shangazi wa mke wangu (Oktoba 2023) au nikaushe tu? maana mashallah, mkia si haba. Kama mnavyofahamu Kondoa si haba kwa rangi adhimu, mkia na sura.
shemeji zako wana mikia? umeoa ng'ombe?
 
1. Wadogo wa kike wa mke wangu Ni kama wamehamia kwangu kiaina. Walikuja kumtembelea dada yao toka Disemba 2023 Ila naona hawaondoki.

2. Vaa Yao ndo inaniacha njia panda, nawaza niruke nao Kama ilivyokua kwa siri kwa Shangazi wa mke wangu (Oktoba 2023) au nikaushe tu? maana mashallah, mkia si haba. Kama mnavyofahamu Kondoa si haba kwa rangi adhimu, mkia na sura.
Pole Kaka. (Hizo tabia ndio tabia ya mkeo akiwatembelea ndugu zake)
 
1. Wadogo wa kike wa mke wangu Ni kama wamehamia kwangu kiaina. Walikuja kumtembelea dada yao toka Disemba 2023 Ila naona hawaondoki.

2. Vaa Yao ndo inaniacha njia panda, nawaza niruke nao Kama ilivyokua kwa siri kwa Shangazi wa mke wangu (Oktoba 2023) au nikaushe tu? maana mashallah, mkia si haba. Kama mnavyofahamu Kondoa si haba kwa rangi adhimu, mkia na sura.
Hivi huwa mnashindwaje kuwala hao?
 
Tumwambie ukweli mkuu. Moja ya Mechanism yao ni kukutafutia mbadala kwa siri. Ndio ile utatoka ukichelewa huulizwi utaomba excuse sijui leo kazini nn na nn utajibiwa kistaarabu hakuna shida,kumbe amesha add member. Usivunje uaminifu wa mkeo.kamwe!
Wengi huwa wanashtuka ishakuwa too late
 
1. Wadogo wa kike wa mke wangu Ni kama wamehamia kwangu kiaina. Walikuja kumtembelea dada yao toka Disemba 2023 Ila naona hawaondoki.

2. Vaa Yao ndo inaniacha njia panda, nawaza niruke nao Kama ilivyokua kwa siri kwa Shangazi wa mke wangu (Oktoba 2023) au nikaushe tu? maana mashallah, mkia si haba. Kama mnavyofahamu Kondoa si haba kwa rangi adhimu, mkia na sura.
Wambeto tu
 
Back
Top Bottom