Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Akishakojoa tu ataona amefanya ujinga mkubwa sanaAchana na tamaa kaka, hakuna jipya utakalolikuta humo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akishakojoa tu ataona amefanya ujinga mkubwa sanaAchana na tamaa kaka, hakuna jipya utakalolikuta humo.
Sasa wa Kondoa napo ni kuuliza, hao huwa hawakatai. Ila vi antenna wanavyo??1. Wadogo wa kike wa mke wangu Ni kama wamehamia kwangu kiaina. Walikuja kumtembelea dada yao toka Disemba 2023 Ila naona hawaondoki.
2. Vaa Yao ndo inaniacha njia panda, nawaza niruke nao Kama ilivyokua kwa siri kwa Shangazi wa mke wangu (Oktoba 2023) au nikaushe tu? maana mashallah, mkia si haba. Kama mnavyofahamu Kondoa si haba kwa rangi adhimu, mkia na sura.
Asante kwa ushauri wakoUsiwakule, watakuwa na viburi😊
Sahihi, unafkri Kuna jipya basii .,wanawake tofauti yao ni appearance tu ila ndani hakuna jipya.Akishakojoa tu ataona amefanya ujinga mkubwa sana
Chai ya nini hii? Mdalasini au tangawizi😅😅😅 Ruka nao tu. Ila soon ndoa yako nayo itaruka
True....nothing new, all sameSahihi, unafkri Kuna jipya basii .,wanawake tofauti yao ni appearance tu ila ndani hakuna jipya.
Sasa li mtu linakuja na Bonge la bag unafikili litaondoka leo hiloMbona tunatishana jamani, hahaha
Kwamba hawaji kutembea tu mara moja ila kuishi hapo hapo..?
Unakuwa unamuuliza mara kwa mara, unatarajia kuondoka lini???Sasa li mtu linakuja na Bonge la bag unafikili litaondoka leo hilo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watatu wote? Umeoa singida au mbeya?
Jikaze, bado na mama mkwe akipata nauli tu utamuona