cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoj na wew mkeo aje awape kaka zako ndo akili itakaasawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoj na wew mkeo aje awape kaka zako ndo akili itakaasawa
Eeeh tunamshauri maana shetani na yeye ana nguvu.Kizazi cha ovyo kitakushauri kuwala
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Angeona chuchu sasa hivi angekuwa njiani anaelekea BBC
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kondoa,Singida,Dodoma,Wasukuma,na wanyakyusa ukioa usipokuwa mkali watajazana nyumbani kwako bila aibu
Ndiyo vaa yao wala hawakutegi1. Wadogo wa kike wa mke wangu Ni kama wamehamia kwangu kiaina. Walikuja kumtembelea dada yao toka Disemba 2023 Ila naona hawaondoki.
2. Vaa Yao ndo inaniacha njia panda, nawaza niruke nao Kama ilivyokua kwa siri kwa Shangazi wa mke wangu (Oktoba 2023) au nikaushe tu? maana mashallah, mkia si haba. Kama mnavyofahamu Kondoa si haba kwa rangi adhimu, mkia na sura.
Nampenda Sana baba angu Ni gentleman yupo vizuri Sana upstairs hanaga longo longoMwambie mke wako nampa pole
Mwanaume anayejitambua angemuita mke wake chumbani na kumwambia "Sitaki kuwaona wadogo zako wakivaa uchi nyumbani kwangu'
😀 😀😀 Hivi ukiliwa unakuwa na kiburi........Usiwakule, watakuwa na viburi😊
Duuh na wao wameridhia kabisa?Wapitie kiujanja hao chukulia kama marupurupu ya ndoa hao hata wife akistukia hawezi kumind sana.
Kuna jamaa kitaa mke wake alikuwa hajapata ujauzito kwa muda akamleta mdogo wake kisu balaa jamaa akajisevia hadi akapata ujauzito mke wake hakumaind wala nini.
Mke wake naye akajapata ujauzito sasahivi ana watoto 2 kwa mke wake na mdogo wa mke wake na anaishi nao wote
Asante studioPelekea moto
Ahahahahah ujiheshimu kumbeAsante studio
Ukute wameambiwa na dada yao mtegeni shemeji yenu tuone msimamo wake.1. Wadogo wa kike wa mke wangu Ni kama wamehamia kwangu kiaina. Walikuja kumtembelea dada yao toka Disemba 2023 Ila naona hawaondoki.
2. Vaa Yao ndo inaniacha njia panda, nawaza niruke nao Kama ilivyokua kwa siri kwa Shangazi wa mke wangu (Oktoba 2023) au nikaushe tu? maana mashallah, mkia si haba. Kama mnavyofahamu Kondoa si haba kwa rangi adhimu, mkia na sura. Japo swala 5
Macho ya kiume hata ukivaa magunia yataona tu kilichopo. Hapa jamaa anatafuta uhalali wa kuanza kuwatembezea rungu. Hao hata wavae nn atawala tu akipata uhalaleMwambie mke wako nampa pole
Mwanaume anayejitambua angemuita mke wake chumbani na kumwambia "Sitaki kuwaona wadogo zako wakivaa uchi nyumbani kwangu'
sasa huyo ndio superwoman...hamanaga wivu wa kijinga kwenye de linoloz bwana especially kama mwanaume mwenyewe anahudumia vizuriWapitie kiujanja hao chukulia kama marupurupu ya ndoa hao hata wife akistukia hawezi kumind sana.
Kuna jamaa kitaa mke wake alikuwa hajapata ujauzito kwa muda akamleta mdogo wake kisu balaa jamaa akajisevia hadi akapata ujauzito mke wake hakumaind wala nini.
Mke wake naye akajapata ujauzito sasahivi ana watoto 2 kwa mke wake na mdogo wa mke wake na anaishi nao wote
Awapelekeeeeeeeee motoooooosasa huyo ndio superwoman...hamanaga wivu wa kijinga kwenye de linoloz bwana especially kama mwanaume mwenyewe anahudumia vizuri
hahaha wewe usiseme kumbe wanyamwezi ndio zao hizo...itabidi nioe wakutoka hukoBila shaka mkeo ni mnyamwezi wa Tabora maana ndo wenye hizi tabia. Ila mkuu acha uoga kama wana mwelekeo wa kutafunwa we tafuna tu acha kujifanya niceguy