Shemeji yangu amekataa! Abadani, Mwanangu hapimwi DNA ikibidi ndoa ivunjike tu

Shemeji yangu amekataa! Abadani, Mwanangu hapimwi DNA ikibidi ndoa ivunjike tu

Hapo ndio inaboa sana. Usiku hulali mtoto ana homa unajichanga changa hospitali anakuangalia tu. Huku mwanaume mwingine anatumiwa msg tu. Tumeenda hosp na yula fala😅😅
Wanawake akili zao wanazijua wao wenyewe, ukiwafatilia Sana jela itakuhusu
 
Kwani wewe huwezi kulea mtoto asiye wako?
kama baba yake yupo siwezi kulea,, kufanya hivyo ni kuonyesha udhaifu wa hovyo kabisa,, hujawahi kujiuliza kwanini most of women huwa hawataki kulea watoto wasiotoka kwenye matumbo yao??
 
Sawa mi mtoto sina amani nae nataka niujue ukweli ila si expect response ya ukali. Always response ya aina hio inaashiria kutojiamini ambako kunakuwa backed up na vitabia flani vya kishetani ambavyo mwanamke anavyo ikiwa ni pamoja na uchepukaji.

Wanawake huwa naamini wanaelewaga mimba ni ya nani toka awali ila swala la kuikabidhi ataangalia sehemu ambapo anahisi mtoto wake atalelewa kwa amani.

Kigezo kikubwa mwanamke anachoangalia ni kuwa je, mtoto huyo baba yake ana hela. Ikiwa baba mwenye uwezo kamkataa kibabe basi jua atasakiziwa asiye na uwezo alimradi tu anajua mtoto atasitirika. Ishu inakuja ambapo huyu baba wa kusakiziwa amekuwa makini zaidi kufuatilia mimba na akahisi kapigwa.
Maelezo yametosha kabisa
 
Sisi tumesimuliwa tunajuaje huyu jamaa kama kaongeza chumvi kumfanya shemeji yake aonekane mbaya. Maana hatukuwepo kny eneo la tukio [emoji846][emoji846]
Mbona mada imenyoka wala haina chumvi yoyote
 
Nina watoto mapacha wale mapacha wasiofanana
Mimi ni mweusi kabisa Ile wanaitwa black beauty, baba mtu akicheka gizani utaona meno tu lakin katika wale mapacha wawili mmoja ni mweupe Sana na mwingine ni mweusi Sana,
Hii imekaaje? Rangi sio inshu Kuna Mambo ya ukoo,
Kuna kipindi flan flan Mr alianzaga my question lakin lilipofika kwa baba mkwe akamwita na kumlazimisha aniombe radhi, kwani alipokua anamuona Yule mweupe ndivyo alivyokuwa Bibi yake mzaa baba yake
So kabla ya yote angalieni asili kwanza
Bibi yake mzaa baba yake.
 
Kwa tz hawatoi ya kweli,mwanzo walipokua wakitoa ya kweli ndoa zilivunjika na watoto kukosa matunzo,kwa kuwa jamhuri Haina uwezo wa kuhudumia watoto hao ikaona Bora ikubebeshe mzigo mwanaume wa kitanganyika maana wakiona pumbu hazitoshi kuwa mzigo
Hahaha! Duuh
 
Rangi ya mtoto haitoshi tu kumshuku, mimi mwenyewe chocolate, mke wangu mweusi ila binti wetu cheupeee!!! Lakini muonekano wa uso wa binti tunafanana balaa belua.
Chukueni nywele ya huyo mtoto kisiri mkapime ili kuondoa mashaka.
Ni kweli rangi sio kugezo pekeee
 
Hii rahisi sana. Kinachohitajika ni vinasaba vya mtoto na aba. Baba amchukue achukue vinasaba vyake na mtoto apeleke kupima. Kwani lazima mama aambiwe? Vinasaba vya mama havihitajiki katika kupima DNA ya baba na mtoto. Vinasaba vya mama vinahitajika tu kuthibtisha kama huyo maa ni mama wa mtoto kweli. Saa sioni niny mnahangaika na huyo mama vipi. Chukuwa mwanao nenda mkapimwe DNA, kwisha. Au mnaogopa huyo mama atawakunja!
Wewe ndio umetoa maelezo mazuri. Asante.
 
ni rahisi kwa mtoto mmoja.... walio wengi wamefanikisha hilo. Changamoto kuongeza mtoto wa pili?

Tatizo hawana fact za kumkataa mtoto ina maana mtoto ni lazima afanane na baba na mama? Maana ya genetic nini? Na wanasema wamesoma sasa sijui wameelimika au
 
Wakuu tumefika mwisho. Tumekuwa watabe kushauri kwenye mahusiano ya wengine huku mtandaoni lakini huku field Mke wa Brother(rafiki yangu wa longtime) ametushinda.

Ni hivi Mwaka Jana Mke wa Huyu Best Yangu alijifungua mtoto wa kiume. Tulifurahi kupata mtoto wapili na sisi kama ndugu na jamaa wa karibu sana ukizingatia yeye jamaa alinisaidi sana kusoma enzi hizo kipesa na kimawazo basi tulimfanyia Tafrija ndogo ya kupata mtoto.

Siku chache baadae furaha ya jamaa iliingia shubiri kila alipokuwa akifatilia ukuaji wa mtoto.

Yaani mtoto amekuwa na sura na mwonekano tofauti na Baba na Mama yake.

Yaani Mshikaji ni Mweusi na Mke wake maji ya kunde lakini Mtoto ni Mweupe.

Kwa sayansi ndogo tuliyo nayo kama baba mweusi na Mama maji ya kunde sio rahisi kupata mtoto mweupe. Pengine angepata rangi ya kunde kama Mama yake au Mweusi kabisa kama Baba yake.

lakini Baba ni msomi hawezi kufanya maamuzu based on just feelings. Ameamua kushauriana na mkewe kuwa wakampime DNSA maana jamaa roho inakataa kumpenda mwanaye kati kati ya mashaka.

Mke amekataa kata kata kuwa Mwanaye hapimwi DNA ikibidi hata ndoa ivunjike.

Ana dai kama hamwamini mke wake basi bora waaachane.

Mimi na Braza tume baki mdomo wazi juu ya msimamo wa Mwanamama huyu.

Tulitegemea angekubali ili kumwondolea hofu mumewe na upendo uzidi kutamalaki. Hali imekuwa tofauti.
Kuchapiwa siri ya ndani.
 
Wakuu tumefika mwisho. Tumekuwa watabe kushauri kwenye mahusiano ya wengine huku mtandaoni lakini huku field Mke wa Brother(rafiki yangu wa longtime) ametushinda.

Ni hivi Mwaka Jana Mke wa Huyu Best Yangu alijifungua mtoto wa kiume. Tulifurahi kupata mtoto wapili na sisi kama ndugu na jamaa wa karibu sana ukizingatia yeye jamaa alinisaidi sana kusoma enzi hizo kipesa na kimawazo basi tulimfanyia Tafrija ndogo ya kupata mtoto.

Siku chache baadae furaha ya jamaa iliingia shubiri kila alipokuwa akifatilia ukuaji wa mtoto.

Yaani mtoto amekuwa na sura na mwonekano tofauti na Baba na Mama yake.

Yaani Mshikaji ni Mweusi na Mke wake maji ya kunde lakini Mtoto ni Mweupe.

Kwa sayansi ndogo tuliyo nayo kama baba mweusi na Mama maji ya kunde sio rahisi kupata mtoto mweupe. Pengine angepata rangi ya kunde kama Mama yake au Mweusi kabisa kama Baba yake.

lakini Baba ni msomi hawezi kufanya maamuzu based on just feelings. Ameamua kushauriana na mkewe kuwa wakampime DNSA maana jamaa roho inakataa kumpenda mwanaye kati kati ya mashaka.

Mke amekataa kata kata kuwa Mwanaye hapimwi DNA ikibidi hata ndoa ivunjike.

Ana dai kama hamwamini mke wake basi bora waaachane.

Mimi na Braza tume baki mdomo wazi juu ya msimamo wa Mwanamama huyu.

Tulitegemea angekubali ili kumwondolea hofu mumewe na upendo uzidi kutamalaki. Hali imekuwa tofauti.
Very interesting.....Mambo ni magumu sana, huyo jamaa atumie busara na hekima kuling'amua hilo.
 
Tatizo hawana fact za kumkataa mtoto ina maana mtoto ni lazima afanane na baba na mama? Maana ya genetic nini? Na wanasema wamesoma sasa sijui wameelimika au
Kusoma ndio kumewafanya wasiamini kila kitu. Fact pekee ya uhakika ni DNA ndio usomi huo.
 
H
Wewe umeoa? Mnapendaga kuingilia mambo ya watu ya nini? Lione lilivyokomaa! Mwanaume unakuwa kama binti? Wacha hizo mwamba jali business zako! Nimeupenda msimamo wa huyu binti! Hakuna kurudi nyuma!
Duuh we Mama kiboko.
 
Back
Top Bottom