Shemeji yangu amekataa! Abadani, Mwanangu hapimwi DNA ikibidi ndoa ivunjike tu

Huenda hapo kwenye bold ndio kwenye majibu "kauziwa mbuzi kwenye gunia"
 
Kitanda hakizai haramu
 
Yaan Kwa kubisha tu tayari mngekua mmeshampa Talaka
 
Jibu tayari, mtoto sio wake.
 
Poleni, hapo mmepigwa
 
Nyie wote ni wajinga asingemshirikisha mke wake kwenye suala la kupima DNA in first place
 
Wewe huyo kaka yako mgumba bhna sema watu wanapendagaa kuwasingizi wanawake kumbe ata wanaume wagumb uwend mAma kila anapo jaribu kumtegea jamaa jamaa azalishi matunda afanyaje sasa
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Tafuta muda kasome khs genetic mkuu, jambo la kawaida hlo, au tafuta daktari akuelezee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…