- Thread starter
- #41
Mkuu unazungumzia Ndoa sio combination ya Mwanaume na Mwanamke.Nyie wote ni wajinga asingemshirikisha mke wake kwenye suala la kupima DNA in first place
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unazungumzia Ndoa sio combination ya Mwanaume na Mwanamke.Nyie wote ni wajinga asingemshirikisha mke wake kwenye suala la kupima DNA in first place
Kama upo vizuri tafuta mtaalamu amchukue sample tuma nairobi wakupe majibuDaah sa itakuwaje?
Na matokeo ya DNA skhz hawatak watoto wa mtaan, so mtoto ni wake even through DNA testWakuu tumefika mwisho. Tumekuwa watabe kushauri kwenye mahusiano ya wengine huku mtandaoni lakini huku field Mke wa Brother(rafiki yangu wa longtime) ametushinda.
Ni hivi Mwaka Jana Mke wa Huyu Best Yangu alijifungua mtoto wa kiume. Tulifurahi kupata mtoto wapili na sisi kama ndugu na jamaa wa karibu sana ukizingatia yeye jamaa alinisaidi sana kusoma enzi hizo kipesa na kimawazo basi tulimfanyia Tafrija ndogo ya kupata mtoto.
Siku chache baadae furaha ya jamaa iliingia shubiri kila alipokuwa akifatilia ukuaji wa mtoto.
Yaani mtoto amekuwa na sura na mwonekano tofauti na Baba na Mama yake.
Yaani Mshikaji ni Mweusi na Mke wake maji ya kunde lakini Mtoto ni Mweupe.
Kwa sayansi ndogo tuliyo nayo kama baba mweusi na Mama maji ya kunde sio rahisi kupata mtoto mweupe. Pengine angepata rangi ya kunde kama Mama yake au Mweusi kabisa kama Baba yake.
lakini Baba ni msomi hawezi kufanya maamuzu based on just feelings. Ameamua kushauriana na mkewe kuwa wakampime DNSA maana jamaa roho inakataa kumpenda mwanaye kati kati ya mashaka.
Mke amekataa kata kata kuwa Mwanaye hapimwi DNA ikibidi hata ndoa ivunjike.
Ana dai kama hamwamini mke wake basi bora waaachane.
Mimi na Braza tume baki mdomo wazi juu ya msimamo wa Mwanamama huyu.
Tulitegemea angekubali ili kumwondolea hofu mumewe na upendo uzidi kutamalaki. Hali imekuwa tofauti.
Ndio kaka unaweza kweli kuzaa mtoto msifanane hilo linawezekana. Ila panapokuwa na mashaka ili kurejesha amani ya moyo DNA inashauriwaTafuta muda kasome khs genetic mkuu, jambo la kawaida hlo, au tafuta daktari akuelezee
Daah itakuwa hasara kubwa sana kwa hii familia. Kama kweli Mke kachepuka nje amemuumiza sana Bro wangu mchapa kazi. Furaha yoote imeingia shubiriYuko tayari kuvunja Ndoa?
Mnasubiri nn? Anataka apate sababu ya kuhalalisha ukosefu wake, ionekane kwamba mtoto wa ni wajamaa, ila amemkataa.
Sasa Basi, mwambie jamaa akomaez bila DNA, hamna ndoaa.
Ikibidi aanze mchakato za kibabe kabisaz kumwambia asepe .
Siku hizi Kila mtu anashinda mechizake.
🤣🤣🤣 Acha bhana?Wanasema mtoto wa pili huwa ni wa DEAR EX
[emoji28][emoji28][emoji28]
Hii ya nairobi naiunga mkono kibongo bongo Ummy kasema wataalum wa maabara watende haki. Sasa hajaspecify ni haki ya mtoto au ya dingiKama upo vizuri tafuta mtaalamu amchukue sample tuma nairobi wakupe majibu
Kitendo cha kupima dna ni wazi huna iman na mke wako ilo ni doa kubwa sana kwenye mahusiano ni bora ufanye sirisiriMkuu unazungumzia Ndoa sio combination ya Mwanaume na Mwanamke.
Nyie mbona mnataka kuchezea standards za watu. Yaani mtoto apimwe upewe majibu hasi kwa sababu za kitoto kama hizo?Na matokeo ya DNA skhz hawatak watoto wa mtaan, so mtoto ni wake even through DNA test
Ni kweli inatia doa kubwa mno.Kitendo cha kupima dna ni wazi huna iman na mke wako ilo ni doa kubwa sana kwenye mahusiano ni bora ufanye sirisiri
Hapana , Unapoona suala halipo sawa ni vema Uchukue hatua Mara Moja.Kitendo cha kupima dna ni wazi huna iman na mke wako ilo ni doa kubwa sana kwenye mahusiano ni bora ufanye sirisiri
Apige show wapi?Amini maneno yangu af mshikaji alie zaa na shemeji yak inaelekea anajiweza sana kasha tengeneza mazingira uyo kaka yako awe mpole au utafute tiba apige show mwezi mzima mfululizo akishindwa na hapo basi kaka yako hana jambo tena
Apige show wapi?
Mkuu hamu inatoka wapi?Kwa mkewe
😅😅😅😅sawa mkuu huu ushauri umefikaMwanaume ndo kichwa Cha familia, we ndo mwenye maamuzi, usipoonyesha uanaume wako, mwanamke huyo atakudharau na atakuletea mtoto mwingine wa nje.
Baiolojia ya kawaida tu, ni kwamba wewe na yeye mnachangia chromosome 23, so kiumbe anakua na 46 huku akiwa na sifa zenu zote, usikubali ya kuwa mtoto anafanana ujombani, huo ni ujinga mtupu hata mwenye elimu ya kidato Cha nne atakucheka.
Ukionyesha udhaifu mwanamke atakudharau mwisho utaachika kama Ricardo Momo.
Kampime DNA, Kwa lazima, muambie asipopima basi asitumie ubini wako Wala jina lako la ukoo.
Be a man.
Tafuta muda kasome khs genetic mkuu, jambo la kawaida hlo, au tafuta daktari akuelezee