Bandar Abbas
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 468
- 1,219
DNA inahitaji nywele za mtoto za baba ,weka kwa nylon safi kila moja kivyake ,nenda kimya kimya ukapime
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuzaa nje na kuzalia ndani ni tofauti.
Kuzalia ndani kwa mume inahitaji roho ngumu na dharau iliyoshiba.
DNA test majbu utapewa ya ukwel km una dokta una muamin sana kbs ndo atakupanga ukwel tena hat akiwa mshkaj wako anaweza akaongopa ili kuzuia migogoro kwa ndoa yakoNyie mbona mnataka kuchezea standards za watu. Yaani mtoto apimwe upewe majibu hasi kwa sababu za kitoto kama hizo?
DuuhUkiona mndugu zako hawamfananishi mtoto na mtu yeyote kwenye ukoo ujue DNA inahusika
Skupng mkuuHilo ni kweli kabisa. Halafu utakuta huyo mtoto anayetiliwa mashaka atakuja kuzaa mtoto sawa kabisa na huyo jamaa.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Na wewe ungefanya kama shemeji kugomea DNA?Shida sisi wanaume ni wa binafsi na tunaogopa fedhea angekuwa mwanamke hana uwezo akushika mimba mwamba angeenda kuzaa njee na fresh anakuja home na kifua mbele ila mwanamke hapo huwenda kajaribu sana mwamba azalishi kaamua akajalibu njee ngoma imadaka atoe? Ww nipo upande wa shemeji yako ase
Naona comment z watu hapa.Watu wengi wanachukulia swala la kupima DNA ni kama unapima Malaria. Duh
Wakuu tumefika mwisho. Tumekuwa watabe kushauri kwenye mahusiano ya wengine huku mtandaoni lakini huku field Mke wa Brother(rafiki yangu wa longtime) ametushinda.
Ni hivi Mwaka Jana Mke wa Huyu Best Yangu alijifungua mtoto wa kiume. Tulifurahi kupata mtoto wapili na sisi kama ndugu na jamaa wa karibu sana ukizingatia yeye jamaa alinisaidi sana kusoma enzi hizo kipesa na kimawazo basi tulimfanyia Tafrija ndogo ya kupata mtoto.
Siku chache baadae furaha ya jamaa iliingia shubiri kila alipokuwa akifatilia ukuaji wa mtoto.
Yaani mtoto amekuwa na sura na mwonekano tofauti na Baba na Mama yake.
Yaani Mshikaji ni Mweusi na Mke wake maji ya kunde lakini Mtoto ni Mweupe.
Kwa sayansi ndogo tuliyo nayo kama baba mweusi na Mama maji ya kunde sio rahisi kupata mtoto mweupe. Pengine angepata rangi ya kunde kama Mama yake au Mweusi kabisa kama Baba yake.
lakini Baba ni msomi hawezi kufanya maamuzu based on just feelings. Ameamua kushauriana na mkewe kuwa wakampime DNSA maana jamaa roho inakataa kumpenda mwanaye kati kati ya mashaka.
Mke amekataa kata kata kuwa Mwanaye hapimwi DNA ikibidi hata ndoa ivunjike.
Ana dai kama hamwamini mke wake basi bora waaachane.
Mimi na Braza tume baki mdomo wazi juu ya msimamo wa Mwanamama huyu.
Tulitegemea angekubali ili kumwondolea hofu mumewe na upendo uzidi kutamalaki. Hali imekuwa tofauti.
Ndugu wa mume ndio refefence standardNijibu maana ninyi bhna ndugu wa mume mnakuwaga na kisilani sana
Na wewe ungefanya kama shemeji kugomea DNA?
Mama D na wewe umo?Ya ngoswe mwachie ngoswe
Tena uthubutu kupima watoto wangu wakati mimi najijua ndio utajua hujui
Hata wewe ukiwa na Familia jitahidi kuchukulia mambo poa, utawin!! Mkuu itakusaidia nini endapo utajua kuwa sio mtoto wako lakini amezaliwa nyumbani kwako?Hayo ya wazee wa zamani waliokuwa hawako responsible na familia ndio maana walichukulia mambo poa.
Ndugu wa mume ndio refefence standard
Anaweza kusema akazua balaa lingine kwamba hata huyo wa Mwanzo si wako😅Mimi mwanaume kwahio hpa na mtetea mwanamke kwasababu ana sababu za msingi ambazo haja amua kusema kama akiamua kusem uyo kaka yako naapa hapa anapata fedhea
Hili swala watu wanalisikia tu.Naona comment z watu hapa.
Akalelewe na baba yake, huu ndo mfumo wa Kibiblia.Hata wewe ukiwa na Familia jitahidi kuchukulia mambo poa, utawin!! Mkuu itakusaidia nini endapo utajua kuwa sio mtoto wako lakini amezaliwa nyumbani kwako?
Hii inashida gani? hata kama sio wa kwako na ukamlea tu
Kumbuka Waoongoza kujiua ni WanaumeMimi mwanaume kwahio hpa na mtetea mwanamke kwasababu ana sababu za msingi ambazo haja amua kusema kama akiamua kusem uyo kaka yako naapa hapa anapata fedhea