Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mkuu hujachelewa, nakuhakikishia, ukiona mwanamke anakufanyia yasiyofaa ,ni wewe umeamua akufanyie hayo.
Kua kimya Kwa mwanamke, mwisho wake ni kukuona Boya.
Hii inawezekana kwasababu vinasaba vinaenda way back vizazi vingi sana.
[emoji28][emoji28][emoji28] Hii ni ukiona Manyoya ujue tayari- partenity test lazima iombwe ustawi wa jamii au mahakamani siyo jambo la kuzoana tu.
Siwezi mpiga mtu mzima mwenzangu mkuu nitamwacha kistarabu kuliko kupiganaMkuu hujachelewa, nakuhakikishia, ukiona mwanamke anakufanyia yasiyofaa ,ni wewe umeamua akufanyie hayo.
Kua kimya Kwa mwanamke, mwisho wake ni kukuona Boya.
Mimi Huwa napiga makofi san pale inapohitajikaz Huwa nawafinya mnooo , niliona Nimpe Emotional Distress ,nitamtesa akili haswaaaa .Siwezi mpiga mtu mzima mwenzangu mkuu nitamwacha kistarabu kuliko kupigana
Mtu haitwi baba kwa ulezi.Mwanamke yupo sahihi.Mwanaume aache utoto alee mtoto wake.Kitanda cha ndoa hakizai haramu huyo mbaba hebu akue!
Huyo ndugu yako kabla ya kupima DNA na mtoto aanze kujipima mwenyewe kama ana uwezo wa kutungisha mimba, msimchefue Mama wawatu, huenda kafichiwa aibu yeye anaanza kuleta kidomo domo, huyo Mama kamfanya aitwe mwanaume [emoji16][emoji16]Wakuu tumefika mwisho. Tumekuwa watabe kushauri kwenye mahusiano ya wengine huku mtandaoni lakini huku field Mke wa Brother(rafiki yangu wa longtime) ametushinda.
Ni hivi Mwaka Jana Mke wa Huyu Best Yangu alijifungua mtoto wa kiume. Tulifurahi kupata mtoto wapili na sisi kama ndugu na jamaa wa karibu sana ukizingatia yeye jamaa alinisaidi sana kusoma enzi hizo kipesa na kimawazo basi tulimfanyia Tafrija ndogo ya kupata mtoto.
Siku chache baadae furaha ya jamaa iliingia shubiri kila alipokuwa akifatilia ukuaji wa mtoto.
Yaani mtoto amekuwa na sura na mwonekano tofauti na Baba na Mama yake.
Yaani Mshikaji ni Mweusi na Mke wake maji ya kunde lakini Mtoto ni Mweupe.
Kwa sayansi ndogo tuliyo nayo kama baba mweusi na Mama maji ya kunde sio rahisi kupata mtoto mweupe. Pengine angepata rangi ya kunde kama Mama yake au Mweusi kabisa kama Baba yake.
lakini Baba ni msomi hawezi kufanya maamuzu based on just feelings. Ameamua kushauriana na mkewe kuwa wakampime DNSA maana jamaa roho inakataa kumpenda mwanaye kati kati ya mashaka.
Mke amekataa kata kata kuwa Mwanaye hapimwi DNA ikibidi hata ndoa ivunjike.
Ana dai kama hamwamini mke wake basi bora waaachane.
Mimi na Braza tume baki mdomo wazi juu ya msimamo wa Mwanamama huyu.
Tulitegemea angekubali ili kumwondolea hofu mumewe na upendo uzidi kutamalaki. Hali imekuwa tofauti.
Umeona eee sasa acha ndoa ivunjike akaoe mwenye mdomo ndiyo atajua hajui!Ukute jamaa ni mgumba mwanamke kaamua amsitili kidogo
Kwani akiwa mtoto pili hata wakwanza anaweza kuwa alipata wakufanana rangi na mmeweMtoto wa pili huyo
Umeona eee sasa acha ndoa ivunjike akaoe mwenye mdomo ndiyo atajua hajui!
Siku akijua naye ni mgumba ndiyo atajua maumivu yake ndiyo atakufa kwa pressureShida ya hivi vitu wanatumia hulka sana kuliko hekima na busara
Aanze kupima yeye ajitambue kama anauwezo wakuzalisha sio kukimbilia kumpima mtoto.Mtu haitwi baba kwa ulezi.
Mtu anaitwa baba kwa Kutoa mbegu iliyotungisha mimba.
Kumbuka Kuna Mwanaharamu na Mwana wa Haramu.
Hivyo wasi wasi ndio akili
😅😅Umeona eee sasa acha ndoa ivunjike akaoe mwenye mdomo ndiyo atajua hajui!
DuuhMwanamke yupo sahihi.Mwanaume aache utoto alee mtoto wake.Kitanda cha ndoa hakizai haramu huyo mbaba hebu akue!
Nakazia.Mtu haitwi baba kwa ulezi.
Mtu anaitwa baba kwa Kutoa mbegu iliyotungisha mimba.
Kumbuka Kuna Mwanaharamu na Mwana wa Haramu.
Hivyo wasi wasi ndio akili
Siku akijua naye ni mgumba ndiyo atajua maumivu yake ndiyo atakufa kwa pressure
KweliMkuu hujachelewa, nakuhakikishia, ukiona mwanamke anakufanyia yasiyofaa ,ni wewe umeamua akufanyie hayo.
Kua kimya Kwa mwanamke, mwisho wake ni kukuona Boya.