Ha ha....We nae siku hizi unakuwa mtu mzima hovyo, sasa hapo hujaelewa nini?
Legend unashindwa kitendawili cha VIDUDU kweli.
Mzee mwenzangu matukio kama haya unatukosea heshima kuleta huku, hili linakuja huku likiwa lishasolviwa.
Kamanda vipi, unalega siku hizi au tukupunguze cheo toka general mpaka kanali?
Jitahidi asijevunja mipaka yako, punguza kumuendekeza… its like una huruma and unamtreat vizuri na pengine kwake ana idefine as “unamtaka ila unaogopa au huwezi kusema” so anakurahisishia mchakato ko kuwa makiniAnajua tu,
Mi mwnyw nalijua ilo ndo maana pia nmeweka mipaka yangu
Hahaa...Ha ha....
Pamoja na ubazazi wangu,
Bado Nina standards na limits zangu kwa mtu wa kutembea nae.
Ha ha ha....Hahaa...
Pamoja na utetezi wako ulioonyoka, nimekusamehe.
Ila mimi Vladimir MAKAVELI10 putin, nasema kamanda rudi nyumbani, utapigana vita tokea huko, huko UKRAINE tutapeleka mwingine.
Ningekua na minyege ya ovyo mbona nishamparamia,Jitahidi asijevunja mipaka yako, punguza kumuendekeza… its like una huruma and unamtreat vizuri na pengine kwake ana idefine as “unamtaka ila unaogopa au huwezi kusema” so anakurahisishia mchakato ko kuwa makini
Ha ha ha....Na wewe tunakuona bonge la baharia kumbe Hanna kitu, usichoelewa hapo nikipi,!! We sema kipi usichoelewa? Au unataka kumkosoa aliyeimba "shemeji shemeji usiku mwazima taa" Mashemeji wa zamani ndio waliozima taa wasl sasa hivi wanaongeza mwanga waonane vizuri. Tens kasema kafanganya anaanza safari Leo, kusema hujaelewa nimetamani nikuchape makofi.
Hamna hata mmoja alieko jf,Ivi mkuu hawa watu wako hawapo jamiiforum? au katika wote kwenye story hawana connection jf? Ata huyoo rafiki yako?
Ndo anachotakaNingekua na minyege ya ovyo mbona nishamparamia,
Mi Ayo yote niliamua kumpuuza maana nilielewa Ni pombe,
Sio nivanye ndivyo sivyo,
akili ikija mrudia nishindwe hata kumtizama usoni.