Shemeji yangu ananilaumu sana kwenda kwake na Mchepuko Wangu

Shemeji yangu ananilaumu sana kwenda kwake na Mchepuko Wangu

Ila mkuu imagine rafiki yako anakukuta chumbani kwake akiwa naked..Do you think atakuelewa?
[emoji848][emoji848]

Kuna mda wazo Kama ilo ilo lilinijia pale asbh nmekaa kitandan kwake Yuko uchi tunaongea.

Ndo maana nikaona nisipotezea muda niondoke pale haraka Sana, nisije kutwa nikashindwa Cha kujieleza
 
Mzee DP. Vihela vyako vinasababisha hao wanawake wasione ajabu lolote kwako. Ndio maana Mchepuko haoni shida yeyote ile ilimradi unahudumia. Mwanamke mwenye upendo hawezi ruhusu mwanamke mwingine afanye hayo mbele yake
 
Ndugu ww nu mjanja Ila Hujui Shemeji anataka Fimbo ya Soseji keshaona Uza na Unaweza Hudumia Wote.. Yeye.. Mamaj na Shemeji

Ndio maana Mfalme solomon alikuwa na Wake wengi wote walifuata maisha Mtelezo
 
Mzee DP. Vihela vyako vinasababisha hao wanawake wasione ajabu lolote kwako. Ndio maana Mchepuko haoni shida yeyote ile ilimradi unahudumia. Mwanamke mwenye upendo hawezi ruhusu mwanamke mwingine afanye hayo mbele yake
Mkuu,
ujue Hawa mtu na shoga ake wamezoeana vibaya sana.
 
yani mtu unakaa unapiga story na shemeji yako masaa kibao na hana nguo -duuuh

na mtu anaoonyesha dalili zote za kukupa mbususu ila we umekaza kichwa kama hukutaka kumgonga usingekuwa unajiasssociate naye muda wote.

halafu unajiuuliza tena wakati mtu anataka kitomb*.....

kumbe wanaume tupo tofauti
 
Mkuuu hapo una feli sana ina maana hujagundua chochoteee kuwa anataka nini tembeza runguu mengine yaendeeleee we ni mtu mzima mengine jiongezeee tu
 
Back
Top Bottom