Shemeji yangu ananilaumu sana kwenda kwake na Mchepuko Wangu

Shemeji yangu ananilaumu sana kwenda kwake na Mchepuko Wangu

Ni kweli ndo inavyokuwaga,umejuaje?
Nimejua sababu nawapelekaga mademu anajifanya akai kitandani anakimbilia kiti afu unamwagizia chakula na Savana baridi kama 3 zikianza kumpanda unashangaa ameshaikamata koni anaanza kuilamba full denda
 
Nimejua sababu nawapelekaga mademu anajifanya akai kitandani anakimbilia kiti afu unamwagizia chakula na Savana baridi kama 3 zikianza kumpanda unashangaa ameshaikamata koni anaanza kuilamba full denda
Unashangaa nini wakati ndo kilichowapeleka?
 
Heh!!..nimeishia hapo nakufa shemeji nakufaaa.. naendelea kusoma comments za wajumbe.
 
Ngoja nimtag Iblis Bin Shetan anisaidie kulijibia hili[emoji4]
Aisee walokole wanashida sana mwambie huyo NYANYANTOLE mungu hawezi kukuchoma kisa umesex uwezo wako tu wa kutafuna ukipata we kula hata 100 kama Selemani wa biblia ukiweza kunywa pombe kunywa ili mradi usiudhi watu katika biblia kuna mtu anaitwa Nuhu alikuwa mlevi sana anapiga pombe mpk anakaa uchi kuna mwingine anaitwa Lutu huyu jamaa Angekuwa sasa hivi Angekuwa sasa angefungwa huyu alilala na watoto wake wawili mabinti zake wote aliwala na kuna huyo Ibrahim alitafuna beki tatu lakini hakuna mtu anaesema hizi stori tukifanya sisi nongwa
 
Ni shemej yangu kwa rafiki yangu yule,siwez kabisa kutembea nae mkuu
Sasa yeye umbeto hio iko live, kama hutaki akiongea live na wewe mrekodi akipiga simu mrekodi kwa ufupi mrekodi muda wote ili siku unamchana unamkatalia usilete ujinga ikahaharibu urafiki akasingizia wewe ndio unamtaka. Pia iweje jamaa asijue na usimwambie kuja kwa demu wake hio tahadhari ya kudumisha urafiki wa kiume
 
We nae binam sijui huwa akili unaiweka wapii wakat ni mjanja tuu
Huyo anataka akutunuku sema wewe hujajua tu
Kwa hayo makea yako hakunaga mwanamke anayeweza kupangua gia
We hukumbuki hadi mwaliko wa kwa prime minister ulipewa kwa huduma zaidii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
👏
 
Back
Top Bottom