mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Huyu mke wa mshikaji wangu anashika rekodi ya uchafu.
Nilishindwa kuwatembelea Jumapili ya Pasaka nikasema niende jana Jumatatu ya Pasaka. Wana mtoto mchanga na wanafuga bata, wakati wa naandalizi ya msosi kwa macho yangu niliona akimtawaza mtoto bila kunawa mikono, mara akajikuna sehemu za siri akaenda kukata kachumbari.
Hatujakaa sawa, bata wake akadokoa mboga kwenye sufuria, lakini kiumbe huyu wala hakujali, like nothing happened. Wakati wa msosi ulipofika nikakumbuka hayo matukio nikajikuta natapika, nikasingizia Malaria.
Wanaume wa kwenye ndoa mnavumilia mengi sana.
Nilishindwa kuwatembelea Jumapili ya Pasaka nikasema niende jana Jumatatu ya Pasaka. Wana mtoto mchanga na wanafuga bata, wakati wa naandalizi ya msosi kwa macho yangu niliona akimtawaza mtoto bila kunawa mikono, mara akajikuna sehemu za siri akaenda kukata kachumbari.
Hatujakaa sawa, bata wake akadokoa mboga kwenye sufuria, lakini kiumbe huyu wala hakujali, like nothing happened. Wakati wa msosi ulipofika nikakumbuka hayo matukio nikajikuta natapika, nikasingizia Malaria.
Wanaume wa kwenye ndoa mnavumilia mengi sana.