Jinsia Yako tafadhari, yaani unatapika kisa Bata! Watu ugali anaekula mbwa tunamfukuza tunaliendeleza alipoishia. Hivi unaweza Kula ugali na sondo(ng'oni ng'oni/ funza wa kwenye miti) wewe?
Wewe hujui utamu wake waulize waliokula ila ukiwa Kama mleta mada utatapika kabla hujawashika.[mention]fullcup [/mention] mpaka ule funza umekosa hata mgagani jaman
[emoji23]Ukute mtu una mimba changa huko unamsingizia mtu uchafu
Huo ndio uungwana sasaKuna sehemu nilialikwaga sikukuu, kufika pale Yule dada kanunanuna, alikuwa anatematema mate, alikuwa na maralia, nimekaa nikaongea kamwita mtoto anipakulie chakula nikakataa nimeshiba, nikawaambia nimekuja kuwasalimia tu, kwani hata wewe ungejifanya nimekuja kuwasalimia tu ungekataa kula Basi.
Hiyo familia wote wachafu nakwambia sasaHuyu mke wa mshikaji wangu anashika rekodi ya uchafu.
Nilishindwa kuwatembelea jumapili ya pasaka nikasema niende jana jumatatu ya pasaka,wanamtoto mchanga na wanafuga bata,wakati wa naandalizi...
Jinsia Yako tafadhari, yaani unatapika kisa Bata! Watu ugali anakula mbwa tunamfukuza tunaliendeleza alipoishia. Hivi unaweza Kula ugali na sondo(ng'oni ng'oni/ funza wa kwenye miti) wewe?