Shemeji zako wa kiume wakija kukutembelea, siku hiyo usilale na dada yao (Mke Wako). Kalale nao chumba kimoja

Hili suala linategemea ntu na ntu ...haiwezekani nishindwe kulala na wife kiss mashemeji.
 
Huo ni uoga wa kifala

Ukishaoa wewe ni taasisi inajitegemea kabisa,kimsingi hao mashemeji ndio wapo kwako kimakosa halafu uanze kuwatreat kama wafalme,watakua wanarudi kila wikend hapo halafu kwenye kupiga na hizo story ndio watajua na madhaifu yako na hawatakua serious kabisa kuhusu wewe.

Unatakiwa kuwa shemeji fulani kauzu sana mtu wa mipango,mtu adimu kuonekana kama kakakuona...unarudi usiku sana unaondoka hawajaamka na mambo yao yote unasikia toka kwa dada yao,kama hela usiwanyime...acha kwa dada yao,outing ni moja tu baada ya kujua ratiba yao,may be siku ya mwisho kesho wanaondoka ndio tokeni nao tena na mke wako(dada yao),piga speech moja ambayo siyo ya kujadiliana na usiruhusu wakuzoee zoee kifala.

Yaani mimi nilale na shemeji zangu?!...ebooooo

Labda msibani huko na kwenye dharura.

Jamaa kama unafanya hivyo sahau kuheshimika ukweni
 
Watu wa umri wetu hatujawahi kuona baba zetu wakienda kwa shangazi zetu kulala ni taboo, mwiko,fedheha n uchuro. Mwanaume kwenda mji wa mwanaume mwenzako usiku dadako anashughulikiwa unasikia miguno na vilio!
 
Hii ndio sababu kwenda kukaa kwa shemeji ni ngumu😂😂😂

Mashemeji huwa wanaangalia familia na familia au tuseme ukoo kiujumla. Ukiona shemeji ana ngebe sana bhasi ukoo au familia aliyoingia inamtegemea ila akiingia kwenye ukoo ambao awepo au asiwepo watu wanaona sawa tu. Hata akienda kusalimia ukweni anaingia kwa adabu zote na mashemeji wakifika kwake wanaishia kusalimia tu na kulala pengine. Hapo hayo mawazo ya kipuuzi hawezi kuwa nayo
 
.Dogo....unatoa ushauri hata mahari hujawahi kutoa. Ndio kwanza bado u-msimbe
 
Vaa barakoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…