Binti Abdullah
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 653
- 538
Mbona nimeolewa ninajua?Ukioa jaribu halafu utupe matokeo, nadhani bado hujaoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona nimeolewa ninajua?Ukioa jaribu halafu utupe matokeo, nadhani bado hujaoa
Naona sasa Carleen umepona ileee the so-called homa ya kushindwa kunusa; ^ati listi^ sasa unaweza kunusa na kuandika. Tulikwambia uondoe hofu, ukawa unabishana na wenzio wajuba. Pole lakini. Mie mapema nilijua hayo maradhi yako siyo ileee C (corona), bali C (lack of Vitamin C) -- ndiyo maana ulipotumia citrus components mpaka kombolela sasa unacheza. Hongera sana kwa kutahafifu & kutononoka.[emoji23] [emoji23]
Kutoka out , na kufanya hobbies pamoja nami naunga mkono hoja, ila kitendo cha kulala chumba kimoja? Hapana kwakweli, mfano unakuwa karibu na Dee' si mtanichambua mpaka nikufe..!!?
Mimi shemeji wa kiume aje kusalimia na kusepa,wa kike hata akae miaka ni faida kwangu n watoto wanguMambo vp jamiiforums.
Ninaomba kuanza kwa kutangua kusema maneno haya machungu ambayo yatawauma wanaume wengi sana. Hata mimi nilikuwa hivi hivi. Mwanaume wengi sana huwa hawawapendi shemeji zao wa kiume siku za mwanzoni.
Just imagine, kwa akili ile ya kitoto unajua kabisa huyu ndio anataka kumchukua dada yangu aende naye kwake awe analala naye siku zote for the rest of their lives. Huwaga kunakuwa na hali fulani hivi ya wivu kwa siku za kwanza ile baadae unaona kawaida tu na maisha yanaendelea.
Kuna watu watakuwa wanajiuliza wivu huu unatokea wapi wakati huyu ni kaka na dada yake na kamwe hawawezi kuoana. Wakaka wengi wanakuwaga na wivu na dada zao na mara nyingi jaribu kuangali watoto wakubwa wa kiume wanavyowachapa wadogo zao wa kike.
Huwa wanawachapa pindi wakisikia wadogo zao wapo katika uhusiano na vijana fulani wa mtaani hapo ambao ni washkaji zao wanaokaa wote vijiweni au siku dada mdogo amechelewa kurudi nyumbani bila maelezo ya kutosha. Hiyo ni aina ya wivu wa asili ambao wanaume wengi huwa nao dhidi ya ndugu zao wa kike wakiwa katika uchumba na shemeji zao.
BACK TO THE TOPIC
=====
Ewe kijana ambaye bado haujaoa mpaka sasa, siku utakapooa, shemeji zako wa kiume wakija kukutembelea, siku hiyo usilale na dada yao. Kalale nao chumba kimoja mpige story mpaka asubuhi.
Kama wao ni watu wa tungi kama wewe, siku hiyo nunua beer, choma nyama, kunyweni mlewe, msikilize mziki. Kama ni watu wa mpira, wachukue uende nao sehemu wanayoonesha mpira tofauti na hapo kwako.
Nenda nao hata huukoooo city center Kariakoo/Posta, angalieni mpira kula nao nyama choma, inelata raha na heshima sana. Unajua, unapoona katika familia fulani, wewe unakuwa ni sehemu ya familia ile. Hivi wewe kijana unalijua hili?
Kama mama mkwe wako ana watoto 3 wa kiume, basi wewe kama shemeji wa familia ile unakuwa mtoto wake wa 4. Kwa hiyo wale shemeji zako wa kiume wanakuwa brothers to you.
Wanakuwa brothers alafu washkaji zako, tena kama umri unalingana ndio raha zaidi kwa maana hata stories pamoja na interests zinaweza kufanana kwa sehemu kubwa.
OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Hapo kwenye kupiga tungi sio ushauri mzuri,tungi linaharibu akili na mkishaelewa hakutakuwa na story tena mpaka asubuhi na shemejizo ni usingizi 444.Mambo vp jamiiforums.
Ninaomba kuanza kwa kutangua kusema maneno haya machungu ambayo yatawauma wanaume wengi sana. Hata mimi nilikuwa hivi hivi. Mwanaume wengi sana huwa hawawapendi shemeji zao wa kiume siku za mwanzoni.
Just imagine, kwa akili ile ya kitoto unajua kabisa huyu ndio anataka kumchukua dada yangu aende naye kwake awe analala naye siku zote for the rest of their lives. Huwaga kunakuwa na hali fulani hivi ya wivu kwa siku za kwanza ile baadae unaona kawaida tu na maisha yanaendelea.
Kuna watu watakuwa wanajiuliza wivu huu unatokea wapi wakati huyu ni kaka na dada yake na kamwe hawawezi kuoana. Wakaka wengi wanakuwaga na wivu na dada zao na mara nyingi jaribu kuangali watoto wakubwa wa kiume wanavyowachapa wadogo zao wa kike.
Huwa wanawachapa pindi wakisikia wadogo zao wapo katika uhusiano na vijana fulani wa mtaani hapo ambao ni washkaji zao wanaokaa wote vijiweni au siku dada mdogo amechelewa kurudi nyumbani bila maelezo ya kutosha. Hiyo ni aina ya wivu wa asili ambao wanaume wengi huwa nao dhidi ya ndugu zao wa kike wakiwa katika uchumba na shemeji zao.
BACK TO THE TOPIC
=====
Ewe kijana ambaye bado haujaoa mpaka sasa, siku utakapooa, shemeji zako wa kiume wakija kukutembelea, siku hiyo usilale na dada yao. Kalale nao chumba kimoja mpige story mpaka asubuhi.
Kama wao ni watu wa tungi kama wewe, siku hiyo nunua beer, choma nyama, kunyweni mlewe, msikilize mziki. Kama ni watu wa mpira, wachukue uende nao sehemu wanayoonesha mpira tofauti na hapo kwako.
Nenda nao hata huukoooo city center Kariakoo/Posta, angalieni mpira kula nao nyama choma, inelata raha na heshima sana. Unajua, unapoona katika familia fulani, wewe unakuwa ni sehemu ya familia ile. Hivi wewe kijana unalijua hili?
Kama mama mkwe wako ana watoto 3 wa kiume, basi wewe kama shemeji wa familia ile unakuwa mtoto wake wa 4. Kwa hiyo wale shemeji zako wa kiume wanakuwa brothers to you.
Wanakuwa brothers alafu washkaji zako, tena kama umri unalingana ndio raha zaidi kwa maana hata stories pamoja na interests zinaweza kufanana kwa sehemu kubwa.
OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Hii ndio sababu kwenda kukaa kwa shemeji ni ngumu😂😂😂Siku hiyo ndo nawahi kulala na dada yao mapemaaa. nawaachia remote na beers za kutosha wakeshe wanaangalia EPL mapa ahsubuhi wapunguze machungu ya kugongewa dada
Tatizo hana pesa bro, huyo ni mume wa dada sio shemeji 😂😂😂Nasema ukweli mbele za mungu mpaka sasa aliemwoa dada yangu tangu siku ya harusi yao nishiriki tena kwa kushinikizwa huwa sipatani nae na hatujawahi onana kuanzia siku ile hadi anamulizaga sista amenikosea nini. Yaani simpendi na sijhi kwa nini hata sitaki kumwona.
Huu mwaka wa 5 tangu waowane. Na nimisikia anakuja home siku hiyo nachelewa makusudi kama siku aliokuja jitambulisha nilisacifi uongo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta mada akili yake haiko sawaHaileti maana kabisa.
Lengo la kulala nao pamoja halionekani mkuu.
Hauwezi kuvua nguo mbele ya kadamnasi halafu ukasema hayawahusu ndio maana nasema akili yako haiko sawaKama wewe una miongozo mizuri ya wazazi na walezi kwenye makuzi yako si uondoke, kwani umelazimishwa kusoma mada hii?
😁😁😁😁😁😂 😂
Kutoka out , na kufanya hobbies pamoja nami naunga mkono hoja, ila kitendo cha kulala chumba kimoja? Hapana kwakweli, mfano unakuwa karibu na Dee' si mtanichambua mpaka nikufe..!!?
Daaah, wee jamaa kiboko. Ukiwa na shemeji wa kiume 3 alafu usizoeane na hata mmoja ni issue aisee