Shemeji zako wa kiume wakija kukutembelea, siku hiyo usilale na dada yao (Mke Wako). Kalale nao chumba kimoja

Shemeji zako wa kiume wakija kukutembelea, siku hiyo usilale na dada yao (Mke Wako). Kalale nao chumba kimoja

Sasa... Wakija tu wananikuta nagonga hii kitu.. alaf nawaagiza waniletee maziwa mtindi nishushie.... Manina zao wakat wanachukua mahari walichekelea[emoji1664]
Screenshot_20210131-094533.jpg
 
Nasema ukweli mbele za mungu mpaka sasa aliemwoa dada yangu tangu siku ya harusi yao nishiriki tena kwa kushinikizwa huwa sipatani nae na hatujawahi onana kuanzia siku ile hadi anamulizaga sista amenikosea nini. Yaani simpendi na sijhi kwa nini hata sitaki kumwona.
Huu mwaka wa 5 tangu waowane. Na nimisikia anakuja home siku hiyo nachelewa makusudi kama siku aliokuja jitambulisha nilisacifi uongo

Sent using Jamii Forums mobile app
Wa stendi ulikuwa hufanyi matusi na dada kabla hajaolewa kweli? 🤔
 
Rule No.1 Kulala na mashemeji ni Big NO NO NO, haijalishi iwe kwangu iwe ugenini iwe msibani. Ukishaoa dada yao then wakaja kwako ile ni himaya na heshima ya nyumba yako wakae tena kwa kutulia, kama vitu vipo usiwabanie mashemela waachie wajichane mpk wakasimulie kwao ila mwisho wa siku lala na mke wako kwa amani, hujaiba.

Rule No.2 Usiwe na urafiki wa karibu kiasi hicho na mashemeji wa kiume kwanza huo urafikia hamnaga. Kusocialize nao yes kuwa peace nao shangwe lakini iwe kwa kiasi na mipaka iwepo bcuz wanaume tunajijua tulivyo. Huwezi kula nao bata kma washkaji zako kwanza inategemea umri wao, hobbies na namna mlivyojuana.

Rule No.3 Mtoto wa kiume usijenge mazoea kwenda sana kwa dada yako tena mbaya zaidi unalala huko labda kma ni emergency. Salimia then amsha majeshi rudi home kuepusha ukakasi.
 
Rule No.3 Mtoto wa kiume usijenge mazoea kwenda sana kwa dada yako tena mbaya zaidi unalala huko labda kma ni emergency. Salimia then amsha majeshi rudi home kuepusha ukakasi.
Hii ni kawaida sana kwa makabila ya watu wa pwani lakini sisi wa bara ni mara chache saaaaana...
 
Rule No.1 Kulala na mashemeji ni Big NO NO NO, haijalishi iwe kwangu iwe ugenini iwe msibani. Ukishaoa dada yao then wakaja kwako ile ni himaya na heshima ya nyumba yako wakae tena kwa kutulia
Mimi kama shemeji ni age mate (rika moja na mimi) alafu sijamuona muda mrefu, tena mwaaana, lazima akija kwangu kulala siku ya kwanza nile naye bata na mziki plus story mpaka asubuhi...
 
Mambo vp jamiiforums.

Ninaomba kuanza kwa kutangua kusema maneno haya machungu ambayo yatawauma wanaume wengi sana. Hata mimi nilikuwa hivi hivi. Mwanaume wengi sana huwa hawawapendi shemeji zao wa kiume siku za mwanzoni.

Just imagine, kwa akili ile ya kitoto unajua kabisa huyu ndio anataka kumchukua dada yangu aende naye kwake awe analala naye siku zote for the rest of their lives. Huwaga kunakuwa na hali fulani hivi ya wivu kwa siku za kwanza ile baadae unaona kawaida tu na maisha yanaendelea.

Kuna watu watakuwa wanajiuliza wivu huu unatokea wapi wakati huyu ni kaka na dada yake na kamwe hawawezi kuoana. Wakaka wengi wanakuwaga na wivu na dada zao na mara nyingi jaribu kuangali watoto wakubwa wa kiume wanavyowachapa wadogo zao wa kike.

Huwa wanawachapa pindi wakisikia wadogo zao wapo katika uhusiano na vijana fulani wa mtaani hapo ambao ni washkaji zao wanaokaa wote vijiweni au siku dada mdogo amechelewa kurudi nyumbani bila maelezo ya kutosha. Hiyo ni aina ya wivu wa asili ambao wanaume wengi huwa nao dhidi ya ndugu zao wa kike wakiwa katika uchumba na shemeji zao.

BACK TO THE TOPIC
=====
Ewe kijana ambaye bado haujaoa mpaka sasa, siku utakapooa, shemeji zako wa kiume wakija kukutembelea, siku hiyo usilale na dada yao. Kalale nao chumba kimoja mpige story mpaka asubuhi.

Kama wao ni watu wa tungi kama wewe, siku hiyo nunua beer, choma nyama, kunyweni mlewe, msikilize mziki. Kama ni watu wa mpira, wachukue uende nao sehemu wanayoonesha mpira tofauti na hapo kwako.

Nenda nao hata huukoooo city center Kariakoo/Posta, angalieni mpira kula nao nyama choma, inelata raha na heshima sana. Unajua, unapoona katika familia fulani, wewe unakuwa ni sehemu ya familia ile. Hivi wewe kijana unalijua hili?

Kama mama mkwe wako ana watoto 3 wa kiume, basi wewe kama shemeji wa familia ile unakuwa mtoto wake wa 4. Kwa hiyo wale shemeji zako wa kiume wanakuwa brothers to you.

Wanakuwa brothers alafu washkaji zako, tena kama umri unalingana ndio raha zaidi kwa maana hata stories pamoja na interests zinaweza kufanana kwa sehemu kubwa.

Hata kama wamekuja kukaa kwa siku 5 tu, basi tenga siku moja ya kwanza kwa ajili yao.

Keep them close as if they are your siblings, na kumbuka kutokulala chumba kimoja na dada yao siku hiyo sio kwa sababu ya aibu bali inajenga "decency" na heshima ya aina fulani dogo lakini yenye maana sana.

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.

Maoni ya wadau
=====
SUBIRI UKIKUA. KWA SASA HUO UMRI WAKO UNAKUPA UHURU WA KUONGEA HAYA. UKUE NA UTOKE HAPO KWA SHEMEJI YAKO UELEWE MAISHA.
 
Kama shemeji yako ni rafiki yako mnaweza ku-spend the whole night talking politics, sports, economics na mambo mengine kadha wa kadha. Siku moja tu na sio siku zooooote...
Acha kurahisisha mambo kiasi hicho wewe, ulishawahi kujaribu hivo lakini au unaongea tu!
 
Mimi kama shemeji ni age mate (rika moja na mimi) alafu sijamuona muda mrefu, tena mwaaana, lazima akija kwangu kulala siku ya kwanza nile naye bata na mziki plus story mpaka asubuhi...
We utakuwa basha unataka umle dada mtu mbele na kaka mtu umle nyuma .otherwise umekurupuka kwa huu uzi.
 
Inabidi ule hii kitu
 

Attachments

  • CCE40E54-0698-463B-A75A-1D8A25586A65.jpeg
    CCE40E54-0698-463B-A75A-1D8A25586A65.jpeg
    127.3 KB · Views: 2
Rule No.1 Kulala na mashemeji ni Big NO NO NO, haijalishi iwe kwangu iwe ugenini iwe msibani. Ukishaoa dada yao then wakaja kwako ile ni himaya na heshima ya nyumba yako wakae tena kwa kutulia, kama vitu vipo usiwabanie mashemela waachie wajichane mpk wakasimulie kwao ila mwisho wa siku lala na mke wako kwa amani, hujaiba.

Rule No.2 Usiwe na urafiki wa karibu kiasi hicho na mashemeji wa kiume kwanza huo urafikia hamnaga. Kusocialize nao yes kuwa peace nao shangwe lakini iwe kwa kiasi na mipaka iwepo bcuz wanaume tunajijua tulivyo. Huwezi kula nao bata kma washkaji zako kwanza inategemea umri wao, hobbies na namna mlivyojuana.

Rule No.3 Mtoto wa kiume usijenge mazoea kwenda sana kwa dada yako tena mbaya zaidi unalala huko labda kma ni emergency. Salimia then amsha majeshi rudi home kuepusha ukakasi.
Ukakasi gani tena? Hivi unajua makabila yetu yanatofautiana mila na desturi?
 
ama wao ni watu wa tungi kama wewe, siku hiyo nunua beer, choma nyama, kunyweni mlewe, msikilize mziki. Kama ni watu wa mpira, wachukue uende nao sehemu wanayoonesha mpira tofauti na hapo kwako.

Nenda nao hata huukoooo city center Kariakoo/Posta, angalieni mpira kula nao nyama choma, inelata raha na heshima sana. Unajua, unapoona katika familia fulani, wewe unakuwa ni sehemu ya familia ile. Hivi wewe kijana unalijua hili?
Kama unapanga nyumba ya vyumba viwili ni sawa. Alafu huyo mtu ni mtu wa namna gani? ambaye atalala anapiga tungi na kesho aende kazini
hata kama amejiajiri? Kwa ushauri wako nadhani hakuna haja ya kumtembelea shemeji yako ukalala huko.
watembelee mchana,af rudi nyumbani kwako kapumzike, Kama umekuja wakutafutie kazi,basi kubaliana na mazingira utakayoyakuta
maana ''mtaka cha uvunguni sharti ainame''
 
Hii inaweza kusababisha pia wakuchukuloe vbaya wakuone ww muhuni itaonekana ndio tabia yako ya kukesha kwenye mabaa na kumuacha mkeo ndani na kufuata malaya wa mabaa na club...!!!

Kumbuka pombe, mziki na mademu ni ndugu wa damu kabisa hawaachani!!!

Nawasilisha!!!
 
Back
Top Bottom