Shenkin: Mbuzi anayeonekana kwenye taratibu za msiba wa Malkia Elizabeth II

Shenkin: Mbuzi anayeonekana kwenye taratibu za msiba wa Malkia Elizabeth II

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
DESTURI.

Nimemfuatilia huyu mbuzi anayeonekana kwenye taratibu za msiba wa Malkia maana ni wazi wenzetu wanaheshimu jadi zao.

Mbuzi anaitwa SHENKIN. Inasemekana mbuzi huyu anatokana na kizazi cha mbuzi waliokuwa wakitumiwa kama "hirizi?" wakati wa vita kwa karne nyingi. Mila hii ilianzia mwaka 1775 wakati wa Vita vya Uhuru wa Marekani.

Bado natafiti.
Tusidharau vya Zamani jamani maana tunaheshimu mababu!

=====

Mbuzi Shenkin.jpg
 
DESTURI.

Nimemfuatilia huyu mbuzi anayeonekana kwenye taratibu za msiba wa Malkia maana ni wazi wenzetu wanaheshimu jadi zao.

Mbuzi anaitwa SHENKIN. Inasemekana mbuzi huyu anatokana na kizazi cha mbuzi waliokuwa wakitumiwa kama "hirizi?" wakati wa vita kwa karne nyingi. Mila hii ilianzia mwaka 1775 wakati wa Vita vya Uhuru wa Marekani.

Bado natafiti.
Tusidharau vya Zamani jamani maana tunaheshimu mababu!

=====

View attachment 2361401
Mwafrika alishasahau Mila zake Kwa kigezo Cha dini

Sent from my RMX2189 using JamiiForums mobile app
 
DESTURI.

Nimemfuatilia huyu mbuzi anayeonekana kwenye taratibu za msiba wa Malkia maana ni wazi wenzetu wanaheshimu jadi zao.

Mbuzi anaitwa SHENKIN. Inasemekana mbuzi huyu anatokana na kizazi cha mbuzi waliokuwa wakitumiwa kama "hirizi?" wakati wa vita kwa karne nyingi. Mila hii ilianzia mwaka 1775 wakati wa Vita vya Uhuru wa Marekani.

Bado natafiti.
Tusidharau vya Zamani jamani maana tunaheshimu mababu!

=====

View attachment 2361401
Symbol ya mbuzi kwa Freemason ni Lucifer au shetani

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
DESTURI.

Nimemfuatilia huyu mbuzi anayeonekana kwenye taratibu za msiba wa Malkia maana ni wazi wenzetu wanaheshimu jadi zao.

Mbuzi anaitwa SHENKIN. Inasemekana mbuzi huyu anatokana na kizazi cha mbuzi waliokuwa wakitumiwa kama "hirizi?" wakati wa vita kwa karne nyingi. Mila hii ilianzia mwaka 1775 wakati wa Vita vya Uhuru wa Marekani.

Bado natafiti.
Tusidharau vya Zamani jamani maana tunaheshimu mababu!

=====

View attachment 2361401
Si desturi, washirikina hao kizazi cha Lizabeti!
 
Back
Top Bottom