Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,723
- 7,408
Chogo ndingo upo? Naona leo, umepumzika na Vita ya Ukraine. Utakufa na usoshalistiBaharia kutoka buza amesema
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chogo ndingo upo? Naona leo, umepumzika na Vita ya Ukraine. Utakufa na usoshalistiBaharia kutoka buza amesema
You're right. The monarch of the UK is the custodian of the Anglican Church similar to Pope for Catholics.Malkia ni Mkuu wa kanisa la Anglikana duniani
Shabiki wa Putin, stress zitakuua shubamiti leo sio IjumaaMlevi akiropoka ukweli,, japo ukweli haupokelewi sababu ya ulevi,hata akisema hapo mbele kuna simba mpaka mkutane na simba kwanza
hahahahahaChogo ndingo upo? Naona leo, umepumzika na Vita ya Ukraine. Utakufa na usoshalisti
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Mkuu wa congregation nyingi tu.Malkia ni Mkuu wa kanisa la Anglikana duniani
Mkuu wa mataifa ya CommonwealthMkuu wa congregation nyingi tu.
Ndio, sahihi kabisa.Mkuu wa mataifa ya Commonwealth
Vijana hamna shughuli ya kufatilia mkiona mtu, kaeleza kitu mnaeleta ubishi wa Ukraine Vs Russia. Kama ulikuwa ujui kama queen Elizabeth ni member wa Freemason na ni mkuuu ungenyamaza au ungeingia uko Google na kufatilia na sio kuropoka ropoka tuuu. Sisi tunasoma na kufatilia vitu haturopoki kama wewe unavyoropoka tuuuu. Au MTU kuwa Freemason mpaka awe ameandikwa kwy paji la USO. Soma majarida na ufatilie mambo na ndio urete ubishi wako wa kitoto wa Facebookhahahahaha
we kweli jinga yaani vita ipiganwe huko mie huku nanjilinji nipaze shingo
hebu tafuta mchango wangu wowote kwenye mambo ya vita za hovyo
Pope hawezi kufananishwa na utawala wa kifalme wa Uingereza.You're right. The monarch of the UK is the custodian of the Anglican Church similar to Pope for Catholics.
The concept here is not the process to get the heads of the churches but their powers in the respective churches.Pope hawezi kufananishwa na utawala wa kifalme wa Uingereza.
Kwasababu, Pope anapata nafasi hiyo ya kuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani kwa kusomea sana na hatimaye huchaguliwa wakati Malkia au Mfalme hurithi kwa kigezo cha kuzaliwa bila kujali maarifa ya mhusika.
Sisi waafrika tunatabu sana hiyo dini tumeletewa na nani, HIYO Lisabeth umemjuaje bila wao na mabuku yao? Ha ha ha .(eti washirikina) Yaani walivyotuletea tumewapita wao Kwa kuvielewa.Si desturi, washirikina hao kizazi cha Lizabeti!
DESTURI.
Nimemfuatilia huyu mbuzi anayeonekana kwenye taratibu za msiba wa Malkia maana ni wazi wenzetu wanaheshimu jadi zao.
Mbuzi anaitwa SHENKIN. Inasemekana mbuzi huyu anatokana na kizazi cha mbuzi waliokuwa wakitumiwa kama "hirizi?" wakati wa vita kwa karne nyingi. Mila hii ilianzia mwaka 1775 wakati wa Vita vya Uhuru wa Marekani.
Bado natafiti.
Tusidharau vya Zamani jamani maana tunaheshimu mababu!
=====
View attachment 2361401
"Wametuletea dini wao,ajabu sisi tunajua dini zaidi kuliko wao waliotuletea" POOR AFRICAN.Matambiko kama kawaida , Ila mtu mweusi kwa kigezo cha dini anaita ushetani😆
Huu ushenzi wa dini za ng'ambo ambao mwafrika ana unyenyekea China waliukataa.
Wenye ufahamu finyu watakudhihaki.Symbol ya mbuzi kwa Freemason ni Lucifer au shetani
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Mtandaoni kuna mambo mengi sana, angalia sana na uchuje.Vijana hamna shughuli ya kufatilia mkiona mtu, kaeleza kitu mnaeleta ubishi wa Ukraine Vs Russia. Kama ulikuwa ujui kama queen Elizabeth ni member wa Freemason na ni mkuuu ungenyamaza au ungeingia uko Google na kufatilia na sio kuropoka ropoka tuuu. Sisi tunasoma na kufatilia vitu haturopoki kama wewe unavyoropoka tuuuu. Au MTU kuwa Freemason mpaka awe ameandikwa kwy paji la USO. Soma majarida na ufatilie mambo na ndio urete ubishi wako wa kitoto wa Facebook
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Dini zenyewe tumeletewa na hao hao wazungu ambao bado wanazienzi za kwao. Amka Afrika dini zote miyeyusho tuMwafrika alishasahau Mila zake Kwa kigezo Cha dini
Sent from my RMX2189 using JamiiForums mobile app
kajifunze kutofautisha kati ya r na l kwanzaVijana hamna shughuli ya kufatilia mkiona mtu, kaeleza kitu mnaeleta ubishi wa Ukraine Vs Russia. Kama ulikuwa ujui kama queen Elizabeth ni member wa Freemason na ni mkuuu ungenyamaza au ungeingia uko Google na kufatilia na sio kuropoka ropoka tuuu. Sisi tunasoma na kufatilia vitu haturopoki kama wewe unavyoropoka tuuuu. Au MTU kuwa Freemason mpaka awe ameandikwa kwy paji la USO. Soma majarida na ufatilie mambo na ndio urete ubishi wako wa kitoto wa Facebook
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app