Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Mwafrika alishasahau Mila zake Kwa kigezo Cha diniDESTURI.
Nimemfuatilia huyu mbuzi anayeonekana kwenye taratibu za msiba wa Malkia maana ni wazi wenzetu wanaheshimu jadi zao.
Mbuzi anaitwa SHENKIN. Inasemekana mbuzi huyu anatokana na kizazi cha mbuzi waliokuwa wakitumiwa kama "hirizi?" wakati wa vita kwa karne nyingi. Mila hii ilianzia mwaka 1775 wakati wa Vita vya Uhuru wa Marekani.
Bado natafiti.
Tusidharau vya Zamani jamani maana tunaheshimu mababu!
=====
View attachment 2361401
Symbol ya mbuzi kwa Freemason ni Lucifer au shetaniDESTURI.
Nimemfuatilia huyu mbuzi anayeonekana kwenye taratibu za msiba wa Malkia maana ni wazi wenzetu wanaheshimu jadi zao.
Mbuzi anaitwa SHENKIN. Inasemekana mbuzi huyu anatokana na kizazi cha mbuzi waliokuwa wakitumiwa kama "hirizi?" wakati wa vita kwa karne nyingi. Mila hii ilianzia mwaka 1775 wakati wa Vita vya Uhuru wa Marekani.
Bado natafiti.
Tusidharau vya Zamani jamani maana tunaheshimu mababu!
=====
View attachment 2361401
Baharia kutoka buza amesemaSymbol ya mbuzi kwa Freemason ni Lucifer au shetani
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Wachagga bado wanaendeleza na zinawapa mafanikio.Mwafrika alishasahau Mila zake Kwa kigezo Cha dini
Sent from my RMX2189 using JamiiForums mobile app
😀😃😃Baharia kutoka buza amesema
Mlevi akiropoka ukweli,, japo ukweli haupokelewi sababu ya ulevi,hata akisema hapo mbele kuna simba mpaka mkutane na simba kwanzaSymbol ya mbuzi kwa Freemason ni Lucifer au shetani
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Si desturi, washirikina hao kizazi cha Lizabeti!DESTURI.
Nimemfuatilia huyu mbuzi anayeonekana kwenye taratibu za msiba wa Malkia maana ni wazi wenzetu wanaheshimu jadi zao.
Mbuzi anaitwa SHENKIN. Inasemekana mbuzi huyu anatokana na kizazi cha mbuzi waliokuwa wakitumiwa kama "hirizi?" wakati wa vita kwa karne nyingi. Mila hii ilianzia mwaka 1775 wakati wa Vita vya Uhuru wa Marekani.
Bado natafiti.
Tusidharau vya Zamani jamani maana tunaheshimu mababu!
=====
View attachment 2361401
Katika ulimwengu wa kiroho huyu bibi alikuwa MTU mkubwa sana zaidi ya umalikia.....
Mnaanza sasaKatika ulimwengu wa kiroho huyu bibi alikuwa MTU mkubwa sana zaidi ya umalikia.....
Alikuwa mlinzi wa Imani...Alikuwa Nani?
Alikuwa mlinzi wa Imani...
Ipi? Sijui...
But always these powers works in combination.
She was at the top cast of the pinnacle.
Umefatilia coronation? Yamefanyika mengi sana pale sema Kwa ukawaida ni ya kawaida ila Sio kawaida.