Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Nina kubaliana na wewe Malkia ni Mwanachama Mkuu wa Freemason. Kwa hiyo kumuweka hapo mbuzi ni ishara ya hao Ma-Freemason aaagwa .Symbol ya mbuzi kwa Freemason ni Lucifer au shetani
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Mbuzi ni alama ya Satanism yenye nguvu sana, hivyo hapo zaidi ya mila kuna imani pia.. Kuna wale nyuki pia ambao nao kwa utaratibu maalum walijulishwa kifo cha malkiaDESTURI.
Nimemfuatilia huyu mbuzi anayeonekana kwenye taratibu za msiba wa Malkia maana ni wazi wenzetu wanaheshimu jadi zao.
Mbuzi anaitwa SHENKIN. Inasemekana mbuzi huyu anatokana na kizazi cha mbuzi waliokuwa wakitumiwa kama "hirizi?" wakati wa vita kwa karne nyingi. Mila hii ilianzia mwaka 1775 wakati wa Vita vya Uhuru wa Marekani.
Bado natafiti.
Tusidharau vya Zamani jamani maana tunaheshimu mababu!
=====
View attachment 2361401
Hatimaye beberu mwenyewe kaonekana.Ndiyo maana wanaitwa mabeberu
Mwafrika alishasahau Mila zake Kwa kigezo Cha dini
Sent from my RMX2189 using JamiiForums mobile app