BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Nilitaraji basi kuwe na Mabango ya wanawake wengi walio wahi kutoa mchango wao kwenye hili Taifa. Ila inaonekana mwanamke ni mmoja tu ni Mama, Wengine wote labda ni wanaume kwa mujibu wa chawa.
Ilipaswa kuwe na picha za wakina Bibititi Mohamed, Spika wa Bunge wa kipindi kile Anna Makinda,vna wa sasa na viongozi wengine.
Ila uwanja mzima umejaaa mabango yenye picha ya Mwanamke mmoja tu, Nyimbo uwanjani mzina zina mtukuza mwanamke mmoja tu, sasa hao wengine wameenda kufanya nini wanjani kama wao hawajulikani wala kuthaminiwq?
mbaya zaidi hata chawa wa kike wanajichukulia kama ni wanaume kwa siku ya leo.
Ilipaswa kuwe na picha za wakina Bibititi Mohamed, Spika wa Bunge wa kipindi kile Anna Makinda,vna wa sasa na viongozi wengine.
Ila uwanja mzima umejaaa mabango yenye picha ya Mwanamke mmoja tu, Nyimbo uwanjani mzina zina mtukuza mwanamke mmoja tu, sasa hao wengine wameenda kufanya nini wanjani kama wao hawajulikani wala kuthaminiwq?
mbaya zaidi hata chawa wa kike wanajichukulia kama ni wanaume kwa siku ya leo.