Decree Holder
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,559
- 3,745
We mtu amekwambia hiyo ni "Aqiqah" bado hujajua hawa wanazungumzia dini gani? Mkuu hebu jiongeze hatupimani argumentation skills tunasaidiana kueleweshana.Dini ni nini Kwani mkuu? Je unataka kusema ni uislamu na Ukiristo tu ndio dini?
Duuuh.Hana mvuto hata kidogo...
Mapaja yote nje.... miguu na mwili ni inproportionalShamsa kaharibu [emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kabisaaAliyeshona gauni ya shamsa hatouona ufalme wa mungu
Niliona zama alipanic hatari. Sema Zama hela ipo bwana itakua kina Aunt ndo walileta vimbelembele vya kuchangisha
Asipofanya hivyo si hamtomuangalia mlivyo nyie.Mapaja yote nje.... miguu na mwili ni inproportional
Hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23]Aliyeshona gauni ya shamsa hatouona ufalme wa mungu
HahahahaJikazee jikazee kipato + sponsor+loan
Mjengo unasmama
Wachina sio watu wazuri ray c alisema wakamwona mgonvi hihihihihihihih gauni bayaaaaaa kama mfuko wa machine khaaaKaletewa na hubby kutoka China
Hawa ndio maskini wa kutupwa kama huelewi, maisha yao ya Instagram ni maigizo tu, siku hizi wanakunywa konyagi wanasingizia wanakata mafuta kumbe urongo mtupu ni hali ngumu.Hao sio masikini.
Hiyo taulo ya watoto aliyovaa king salah ndio wadhamini zama mwenyewe ziko hela mumewe kadhalika tabu lazima muione sana tafuteni hela ....acheni uchuroNashangaa kweli sherehe ya kiimani kuwa ya kidunia. Sema kapigia mahesabu hela hapo mkuu maana anajua mastaa wanapenda sifa watashindana kumtunza wakati yeye anarudisha gharama zake
Unechelewa, masponsor wote wana visukari waliosalimika maradhi wapo keko na segerea nenda mahakama ya kisutu ndio outing yao mpya.Duh ngoja na Mimi nitafute sponsor nna usongo na huo mjengo mweeeeh
we ni muislam au mkristoUnajua jamaa haujielewi aisee hivi maswala ya arobaini ni dini au duwaa? Unaweza kuthibitisha kutoka katika vitabu vya dini kwa kutaja aya inayozungumzia arobaini? Au unafuata mkumbo? Mambo ya arobaini ni mila tu na utaratibu kwa hiyo sioni kwamba kunahitajika heshima au kitu chochote wapo sahihi na hakuna walichokosea.
Hawakawii kusema wachangiwe,kwani wameitangaza Tanzania .Wamependeza.View attachment 818689
BTW inaonekana hata wewe hauko informed vizuri kuhusu asili ya adhimisho hili la 40. Hence judging aint a must.Arobaini siyo sherehe ya kiimani najua utasema ya waislamu siyo kweli tutajie aya ulikoitoa hiyo arobaini. Arobaini ni mila Fulani Mimi nafananisha na ushirikina hivyo hata wangetambika uchi sawa tu
baba watoto RugeHivi zamaradi huu mjengo kajenga kwa msaada wa nani jamani
Duh hatari sana....kwahiyo ruge katoa pesa ya mjengo zama anaishi na shabani wakebaba watoto Ruge
Nyumba yake ipo wapi?Nyumba yake nzuri. ..Ina nafasi ya kutosha