Decree Holder
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,559
- 3,745
We mtu amekwambia hiyo ni "Aqiqah" bado hujajua hawa wanazungumzia dini gani? Mkuu hebu jiongeze hatupimani argumentation skills tunasaidiana kueleweshana.Dini ni nini Kwani mkuu? Je unataka kusema ni uislamu na Ukiristo tu ndio dini?